Wakenya muoneeni huruma huyo Gidhiri man, atapata vidonda vya tumbo, kila mtu anataka kupiga naye picha akila.

Wakenya muoneeni huruma huyo Gidhiri man, atapata vidonda vya tumbo, kila mtu anataka kupiga naye picha akila.

mbere

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
6,967
Reaction score
6,465
Wakuu kwanza nawapongeza kwa uchaguzi.
Nsiwachoshe sasaaa
Huyu baba wa watuu mnataka kupiga naye pichaaaa, kila mtu, makampuni n.k,
Si atapata vidonda vya tumbo kwa hayo maharage?
Muoneeni huruma jamani huyu baba wa watu maharage ni chakula kizuri ila yakizidi husababisha vidonda vya tumbo
 
Wakuu kwanza nawapongeza kwa uchaguzi.
Nsiwachoshe sasaaa
Huyu baba wa watuu mnataka kupiga naye pichaaaa, kila mtu, makampuni n.k,
Si atapata vidonda vya tumbo kwa hayo maharage?
Muoneeni huruma jamani huyu baba wa watu maharage ni chakula kizuri ila yakizidi husababisha vidonda vya tumbo
Enzi zetu O level mpaka advance shule za serikali kila siku jioni ilikuwa ugali maharage. Na hakuumwa matumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kashakuwa celebrity na iyo itamlipa big time.Jana nimechek Samsung wamempa S8 mpya na kampuni nyigne ya Biscuits Britania wamempa kopo mbili za Biscuits.What next ni deal za matangazo.Chezea Githeri wewe.I miss those days tukila Githeri high School.Tulikuwa tunalalamika lakini ni chakula kizuri.
 
Wakuu kwanza nawapongeza kwa uchaguzi.
Nsiwachoshe sasaaa
Huyu baba wa watuu mnataka kupiga naye pichaaaa, kila mtu, makampuni n.k,
Si atapata vidonda vya tumbo kwa hayo maharage?
Muoneeni huruma jamani huyu baba wa watu maharage ni chakula kizuri ila yakizidi husababisha vidonda vya tumbo
c9862dfb76b85a3a23c3a638aaf426ba.jpg

d46921e6c27cca23c8d07625a267ab73.jpg

0ec2147f0d9a3810ebe6442fa06e2234.jpg

158dd3107fc25e36ffd79f3985601ce2.jpg

41a79ce15477bb6a28520f8482da70e8.jpg

c35eef0fca6005463b080d91a9bcf30b.jpg
 
Ni githeri aisee linatamkwa getheri kwa kikikuyu. Huyu jamaa ikifika usiku kazi yake itakuwa ni mbio ya 100mita tu! Maanake githeri chote hicho ni hatari sana kwa afya ya binadamu na hata wanyama!
 
Ni githeri aisee linatamkwa getheri kwa kikikuyu. Huyu jamaa ikifika usiku kazi yake itakuwa ni mbio ya 100mita tu! Maanake githeri chote hicho ni hatari sana kwa afya ya binadamu na hata wanyama!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Jamaa kashakuwa celebrity na iyo itamlipa big time.Jana nimechek Samsung wamempa S8 mpya na kampuni nyigne ya Biscuits Britania wamempa kopo mbili za Biscuits.What next ni deal za matangazo.Chezea Githeri wewe.I miss those days tukila Githeri high School.Tulikuwa tunalalamika lakini ni chakula kizuri.
Wamempa biscuits hahaha aache uroho
 
Back
Top Bottom