Wakenya, naskia kuna Wakurya na Wachaga upande wa Kenya, can you share with us your views on them?

Wakenya, naskia kuna Wakurya na Wachaga upande wa Kenya, can you share with us your views on them?

Yes, i remember Total station and Okwanyo residence. Nakumbuka wakati fulani nilienda huko na kulikuwa na msiba kwake na kama sikosei alikuwa msabato na Kijana wake alikuwa pia diwani (before decentralization during Moi era). Ila misiba ya huko yaani inachukua almost two weeks.

Kijaluo sikijui labda maneno kama Oyaore, Oimore,kunywa nyuka kwa agwata nk. Japo kukielewa kwa mbali mtu akizungumza. Hivi Total station ilikuwa karibu na Migori Primary?
Wah! You know this place really well. Yes, familia ya Okwanyo ni wasabato na pia ni kweli kijana wake alikuwa diwani. Sadly huyo diwani aliaga mwaka wa 2008. Misiba za huku huchukua hata wiki tatu 😂. Sounds funny I know.

Yes, total petrol station iko karibu na Migori primary ila hazijakaribiana sana. Migori primary inakaribiana na Migori Teachers College then Total iko roughly 500 meters upande wa juu ukitoka town, on your way to Sirare/Isebania
Nimecheza mpira hapo migori teachers college kombe la trust ilikuwa mipira y kiume tukawa washindi wa pili kisha tukaenda chuo cha kamagambo cha wasabato tukapiga match na kuwa wa pili tukapiga hela kama zote

Mazingira ya migori hasa ukiwa unapita barabara kilipo kiwanda cha sukari ni kijani kwa mwaka mzima

Watoto wa kenya weusi wazuri na wanapenda sana wanaume kutoka Tanzania nilipiga kamoja kalinifuata tarime .
Missed those old days. Ila my friend chunga sana those areas, Aids iko mingi sana, i mean Lake zone, from Tanzania to Migori, Awendo, Homabay, Karachuonyo, mpaka Kiaumu. Hata Kijana wa Okwanyo Watu walikuwa gossip kuwa hata Wanakwaya wanaimba ila miongoni mwao wana majonzi kwa kuwa walikuwa in cycle!
Dah, mkiendelea kudadavua mnaweza kujikuta kumbe ni jamaa moja mmechangia ukoo, au mmeoleana...
 
Kumbe you schooled in my home county! I attended many school functions at Isebania during my high school days. I know that place quite well.

A point of correction though. Chacha, Marwa and Mwita are not kisii names. Those are Kuria names.
Given to first born only
 
Boss wewe ukiingia JamiiForums ulikuwa unaongea sheng tu. Hukuwa unaweza kuconstruct sentence hata moja ya Kiswahili. I am happy to see the transformation. Haha. Hata mimi I was just the same nikiingia huku.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kiswahili tunaielewa but Sheng' ndio tumezoea Kenya.
 
Hapa Kenya ni desturi ya wengi wetu kwenda vijijini musimu wa Krisimasi, huwa tunakwenda kuchinja mbuzi na kujumuika na ndugu zetu huko, ila kunao wengine hutumia hii fursa kutalii nchi yetu na pia kusafiri hadi Zanzibar na Arusha. Yaani kwamba mwaka mzima unajituma kikazi kisha ikifika Krisimasi unajiachia full bata.
Kwetu hamna jamii ya Wachagga ila kunao wajasiria mali maelfu ya maelfu wa kutokea jamii hiyo waliozagaa kote wanaojituma balaa kwenye mishe zao katika kila pembe za nchi hii, na ikifika Krisimasi huwa tunawaona wote wakiondoka kurudi kwao huko Kilimanjaro.
Mkikuyu kupenda pesa ni kama mchaga mm nasema hakuna kabila la wachaga kenya ila kuna makabila yabafanana desturi kama mluhya anapenda ugali na msukuma yuko ivyo
 
Kumbe you schooled in my home county! I attended many school functions at Isebania during my high school days. I know that place quite well.

A point of correction though. Chacha, Marwa and Mwita are not kisii names. Those are Kuria names.
Proud alumni of Kanga High SSchool😀😀
 
Mkikuyu kupenda pesa ni kama mchaga mm nasema hakuna kabila la wachaga kenya ila kuna makabila yabafanana desturi kama mluhya anapenda ugali na msukuma yuko ivyo

Hivi leo hii nani hana mahaba na pesa, sio tena kama ilivyokua kitambo, dunia ya leo kila mtu anafata hela kichizi, nenda kwa Wazaramo au Wagogo ujaribu kucheza na hela yao kisa unawachukulia poa.
 
Back
Top Bottom