Wakenya sio watu wa kuaminika, wavunja makubaliano ya amani na Uganda

Wakenya sio watu wa kuaminika, wavunja makubaliano ya amani na Uganda

Katika hilo hakuna cha kujitetea, ni jukumu la nchi kuhakikisha usalama katika maeneo yake yote bila kujali kuna maendeleo au hakuna, kuna nchi nyingi sana zinaumasiki mkubwa zaidi ya huko Turkana na Pokot, lakini bado usalama umeimarishwa, Serikali kamwe haiwezi kuvumilia uvunjifu wa amani na sheria kwa watu kumiliki silaha kinyume cha sheria.

Sababu kubwa ya hao waturkana kutafuta silaha ni baada ya kugundua kwamba wanavamiwa na jamii zingine Mara kwa Mara kutoka nchi Jirani, kama Serikali ingeweza kulinda mipaka yake bila kuruhusu wavamizi toka nchi Jirani, wasingeona umuhimu wa kumiliki hizo silaha. Kiufupi ni kwamba udhahifu na kushindwa kwa Serikali yenu kuwalinda ndio sababu kubwa, hakuna lingine, lazima mkubali kwamba Serikali yenu ni dhahifu na imeshindwa katika hili.
Ikiwa serekali ya Kenya imeshindwa, pia lazima ukubali serekali ya Uganda pia imeshindwa, na serekali ya Ethiopia pia imeshindwa!
 
Katika hilo hakuna cha kujitetea, ni jukumu la nchi kuhakikisha usalama katika maeneo yake yote bila kujali kuna maendeleo au hakuna, kuna nchi nyingi sana zinaumasiki mkubwa zaidi ya huko Turkana na Pokot, lakini bado usalama umeimarishwa, Serikali kamwe haiwezi kuvumilia uvunjifu wa amani na sheria kwa watu kumiliki silaha kinyume cha sheria.

Sababu kubwa ya hao waturkana kutafuta silaha ni baada ya kugundua kwamba wanavamiwa na jamii zingine Mara kwa Mara kutoka nchi Jirani, kama Serikali ingeweza kulinda mipaka yake bila kuruhusu wavamizi toka nchi Jirani, wasingeona umuhimu wa kumiliki hizo silaha. Kiufupi ni kwamba udhahifu na kushindwa kwa Serikali yenu kuwalinda ndio sababu kubwa, hakuna lingine, lazima mkubali kwamba Serikali yenu ni dhahifu na imeshindwa katika hili.
Serikali zote nne South Sudan, Ethiopia, Uganda na Kenya zimeshindwa kudhibiti umiliki haramu wa silaha.
 
Jirani yako akishindwa kulea vizuri familia yake na kusababisha watoto wake kupachikwa mimba, hiyo ni excuse kwa binti yako pia kudungwa mimba?.
 
Serikali zote nne South Sudan, Ethiopia, Uganda na Kenya zimeshindwa kudhibiti umiliki haramu wa silaha.
Kule kaskazini mwa Msumbiji sasa hivi kuna mapigano makali sana kati ya vikundi vya kigaidi vya kiisilamu na majeshi ya Msumbiji, baadhi ya miji imetekwa na hao magaidi, hiyo miji imepakana na Tanzania.

Kama tukizembea ni rahisi sana kusini mwa Tanzania kukapata athari itokanayo na hivyo vita, magaidi wanaweza kuingia Tanzania kujificha, kuutafuta chakula, au kuuza silaha ili wapate pesa za kugharimia vita.

Tanzania tumepeleka vikosi vya POLISI na JWTZ kulinda huo mpaka kwa wingi sana, sidhani kama hata panya ataweza kuvuka huo mpaka. Ni udhahifu kwa Serikali yoyote kushindwa kuimarisha usalama wake kwa kisingizio cha ukosefu wa amani wa nchi jirani, Burundi na DRC zimekua katika vita kwa miaka mingi, lakini tulifanikiwa kuwazuia wasitetereshe usalama wa Tanzania, GoK ni dhahifu sana, hilo lazima mkubali.
 
Kule kaskazini mwa Msumbiji sasa hivi kuna mapigano makali sana kati ya vikundi vya kigaidi vya kiisilamu na majeshi ya Msumbiji, baadhi ya miji imetekwa na hao magaidi, hiyo miji imepakana na Tanzania.

Kama tukizembea ni rahisi sana kusini mwa Tanzania kukapata athari itokanayo na hivyo vita, magaidi wanaweza kuingia Tanzania kujificha, kuutafuta chakula, au kuuza silaha ili wapate pesa za kugharimia vita.

Tanzania tumepeleka vikosi vya POLISI na JWTZ kulinda huo mpaka kwa wingi sana, sidhani kama hata panya ataweza kuvuka huo mpaka. Ni udhahifu kwa Serikali yoyote kushindwa kuimarisha usalama wake kwa kisingizio cha ukosefu wa amani wa nchi jirani, Burundi na DRC zimekua katika vita kwa miaka mingi, lakini tulifanikiwa kuwazuia wasitetereshe usalama wa Tanzania, GoK ni dhahifu sana, hilo lazima mkubali.
Basi pia serikali za Uganda, Ethiopia na South Sudan ni hafifu. Hilo lazima ukubali.
 
Kule kaskazini mwa Msumbiji sasa hivi kuna mapigano makali sana kati ya vikundi vya kigaidi vya kiisilamu na majeshi ya Msumbiji, baadhi ya miji imetekwa na hao magaidi, hiyo miji imepakana na Tanzania.

Kama tukizembea ni rahisi sana kusini mwa Tanzania kukapata athari itokanayo na hivyo vita, magaidi wanaweza kuingia Tanzania kujificha, kuutafuta chakula, au kuuza silaha ili wapate pesa za kugharimia vita.

Tanzania tumepeleka vikosi vya POLISI na JWTZ kulinda huo mpaka kwa wingi sana, sidhani kama hata panya ataweza kuvuka huo mpaka. Ni udhahifu kwa Serikali yoyote kushindwa kuimarisha usalama wake kwa kisingizio cha ukosefu wa amani wa nchi jirani, Burundi na DRC zimekua katika vita kwa miaka mingi, lakini tulifanikiwa kuwazuia wasitetereshe usalama wa Tanzania, GoK ni dhahifu sana, hilo lazima mkubali.
Yes mimi nlishiriki op kadhaa kwe mapori ya mpakani
Op ziliendelea hadi lake tanganyika

Tatizo ke hawako serious na wana intel mbovu kuwah kutokea.

Miaka ya nyuma Loliondo pia walwah kuingia wamasai na jamii flan iv wote from ke `nmeisahau jina walkua na silaha lkn ffu ilidhibiti hali (haikua rahisi.

C ajabu ke kuwekwa kwe kundi la nchi hatari kuishi
 
Basi pia serikali za Uganda, Ethiopia na South Sudan ni hafifu. Hilo lazima ukubali.
Ukiambatana na wajanja 5 basi utakua mjanja wa6
Ukiambatana na matajiri wa 4 basi utakua tajiri wa5
Ukiambatana na wajinga5 basi utakua mjinga wa6

Akili ku mkichwa za kuambiwa changanya na zako
 
Back
Top Bottom