Tz hamuui kwa sababu watu wenu waoga, wakiskia mikwara kama hiyo wanaufyata na kujifungia ndani, hadi nakumbuka Mange Kimambi alibaki kuandamana mwenyewe kule Marekani, na hata wachache walioandamana naye walificha nyuso zao. Kenya watu hutoka, nyomi balaa, maandamano kama ya Kikenya ni vigumu sana kukamilika bila maafa.
Ndio imetuwezesha kupata katiba bora kuliko zote ukanda huu, tumeendelea kiuchumi na kijeshi na kutawala EAC na Kati kwa kila kitu ikiwemo kielimu....
Nyie mna kila kitu lakini maskini wa kutupwa maana uwoga wa kuthubutu, hamna jeuri ya kuhoji, leo hii spika wenu amekua mungu mtu..
Ona picha hapa ya Watanzania walioandamana na Mange Kimambi, wameficha nyuso, yaani watu wako Ulaya lakini full uwoga
Angalia hapa maandamano ya Kikenya