Wakenya waandamana Nairobi kumpinga Trump, washambuliwa mitandaoni kwa kuingilia yasiyowahusu

Wakenya waandamana Nairobi kumpinga Trump, washambuliwa mitandaoni kwa kuingilia yasiyowahusu

hawa jamaa kwa kulilia vitu vya watu usije shangaakusikia wakenya wakisema marekani ni yao.
 
Wakenya mmamambo ya kike sana nyie...matatizo yenu mbona hamyapi kipaumbele?
America inawahusu vipi?mtaolewa sasa maana mnajibebisha
First and foremost!, learn to respect women. wamaanisha nini ukisema mambo ya kike. Mambo yetu twayapa kipao mbele kama kawa. Kuandamana kwa ajili ya jambo la ugaibuni ni moja tuu kati ya mambo tunayofanya kwa sasa. As we speak, we are registering for our next general election, recently president Kenyatta was busy launching 'police security gear', while Opposition chief and govt representatives were busy at the KICC helping unlock on how to have credible election. Yesterday our president was making a deal with Ethiopian authorities about the oil pipeline. Kenyan workers are busy pushing for their rights as per the constitution provisions of the right to picket etc. So what do you mean by 'hatupei mambo yetu kipau mbele?'.
 
First and foremost!, learn to respect women. wamaanisha nini ukisema mambo ya kike. Mambo yetu twayapa kipao mbele kama kawa. Kuandamana kwa ajili ya jambo la ugaibuni ni moja tuu kati ya mambo tunayofanya kwa sasa. As we speak, we are registering for our next general election, recently president Kenyatta was busy launching 'police security gear', while Opposition chief and govt representatives were busy at the KICC helping unlock on how to have credible election. Yesterday our president was making a deal with Ethiopian authorities about the oil pipeline. Kenyan workers are busy pushing for their rights as per the constitution provisions of the right to picket etc. So what do you mean by 'hatupei mambo yetu kipau mbele?'.
Uyajui mambo ya kike? Waulize wakuambie
 
Siasa za tumbo na siasa za haki msingi za binadamu wapi wapi. Siasa za KE tofauti na siasa zetu za zidumu fikra za mwenyekiti.
 
To make demonstration in Kenya is not way of changing trump altititude but those women are nothing
 
Wakenya wanataka ushoga kama braza wao Obama, Trump haya mambo ya kufumuana marinda hana time nayo wakenya wanaumia wanataka kufumuliwa marinda
 
Dah! Wabongo nuksi sana si kwa makombora hayo mliowapatia!. Nadhani wamelewa wanajifanya Viherere wakati hapo kwao Madaktri bado wamewagomea Wagonjwa wanakufa bila huduma zozote na wameshindwa hata kuandamana na Wanaoathirika saana ni wanawake, huo ni Unafiki!.
Juzi juzi nakasikia hao hao Wanawake wa Kenya, Wanasema eti "Kama mumeo hajajiandikisha usimpe unyumba" Weeee! kwani kupiga Kura ni lazima? nisipopiga nirakufa? Viongozi wenyewe MAFISADI na Wahujumu Uchumi tu. Juzi juzi wameanza kulalamika kwamba wizi umefanyika kwenye SGR [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa ndugu zangu si bora mungeendama kwa ajili ya ufisadi wa SGR ambayo imejengwa Kenya kuliko kuandamana kwa ajili Rais wa Marekani!
 
Na huu pia ni wendawazimuuu...Obama mlifaidika nn alipokuwa rais wa marekani????

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
tangu Obama aingie campuni nyingi sana za marekani zilihamisha HQ zao za Africa na kuzileta Kenya, akina google, General motors, IBM, VISA, Cocacola,... nk. hata ule wakati alikuja kwenu na ku launch ile project ya 'Power Africa' alafu meishowe HQ yake ikawekwa kenya, kwa sasa campuni za matekani kupitia power africa zimewekeza zaidi ya $2 Billion ndani ya kenya pekee, tanzania ambapo Obama ali launch hio initiative haijawekezwa hata robo ya hio billioni mbili, hakuna nchi nyengine imefaidi zaidi kupitia power afrika kushinda kenya, alafu chini ya Obama., msaada wa marekani haswa kwa utafiti wa magonjwa uliongezeka zaidi, nchi nyingi za africa hua zinadai Obama hakuwafaidi sana ukilinganisha na bush lakini kwa kenya, ukichunguza ki undani utaona mengi yalifanywa kenya kimia kimia, dili zilikua zinapigwa tu ndani ndani... Chini ya Obama, Kenya ilikua number 1 african exporter to the US kupitia AGOA.... mambo mengi sana tumefaidi
 
tangu Obama aingie campuni nyingi sana za marekani zilihamisha HQ zao za Africa na kuzileta Kenya, akina google, General motors, IBM, VISA, Cocacola,... nk. hata ule wakati alikuja kwenu na ku launch ile project ya 'Power Africa' alafu meishowe HQ yake ikawekwa kenya, kwa sasa campuni za matekani kupitia power africa zimewekeza zaidi ya $2 Billion ndani ya kenya pekee, tanzania ambapo Obama ali launch hio initiative haijawekezwa hata robo ya hio billioni mbili, hakuna nchi nyengine imefaidi zaidi kupitia power afrika kushinda kenya, alafu chini ya Obama., msaada wa marekani haswa kwa utafiti wa magonjwa uliongezeka zaidi, nchi nyingi za africa hua zinadai Obama hakuwafaidi sana ukilinganisha na bush lakini kwa kenya, ukichunguza ki undani utaona mengi yalifanywa kenya kimia kimia, dili zilikua zinapigwa tu ndani ndani... Chini ya Obama, Kenya ilikua number 1 african exporter to the US kupitia AGOA.... mambo mengi sana tumefaidi
Sawa endeleeni kuandamana pamoja na wanaune.....
Ovyoo kweli nyie.,mnamtisha nyau Trump!!!!!
Mlidanganywa na CNN.aljazeera,BBC,na fox mkiaminishwa Hillary atashinda..
Usiye mpenda kaja. ..you beggars you will develop by our own resources.. Time has come now.
 
Back
Top Bottom