Wakenya waanza kumuandika vibaya Ben Pol, kisa utajiri wa binti

Wakenya waanza kumuandika vibaya Ben Pol, kisa utajiri wa binti

Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Huku kwetu tumejawa na zero brains Kama amberruty gigy,sanchoka na wema
 
SIJAONA MAHALI WAMEMUANDIKA VIBAYA. KAMA ULIMAANISHA PALE WALIPOSEMA "AMEMCHUMBIA KIJANA TOKA TANZANIA" UTAKUA HUJAWATENDEA HAKI, HAPO WATAKUWA WAMETAFSIRI KIINGEREZA MOJA KWA MOJA KUJA KISWAHILI (DIRECT TRANSLATION)
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Unajua? Wanasiasa wetu wameshindwa kuleta umoja katika nchi za EAC lakini watu kama wewe, Bel Pol, Anerlise, Ali Kiba, Amina mwaweza kufanikisha hii kitu😊
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Usipate shida mkuu, si uje tu huku Bongo na wewe uchukuwe wa huku!!
 
Ni wivu tu hamna kingine. Hata kama mwanamke kamchumbia mwanaume wao haiwahusu
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
sisi ni familia ya afrika mashariki
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Tafadhali sana, kama akikupa jibu la hili naomba uniite.
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Shemeji (In Ben Pol's voice) Habari za siku?
 
Huku kwetu tumejawa na zero brains Kama amberruty gigy,sanchoka na wema
Ila sanchoka kakosa tu dalali mzuri! Yule tukipata dalali mzuri tunamuuza kwa bei nzito tu kwa tajiri la kijaluo!
 
Ila sanchoka kakosa tu dalali mzuri! Yule tukipata dalali mzuri tunamuuza kwa bei nzito tu kwa tajiri la kijaluo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tatizo wakenya hawako romantic Kama machalii wa chuga
 
Back
Top Bottom