Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Hata kwao zero brain watakuwepoHuku kwetu tumejawa na zero brains Kama amberruty gigy,sanchoka na wema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kwao zero brain watakuwepoHuku kwetu tumejawa na zero brains Kama amberruty gigy,sanchoka na wema
Zero brains WA bongo ni pasua kichwaHata kwao zero brain watakuwepo
😂😁😁😂😂😂😂Hata ungekua wewe lazma roho ingekuuma,Kiba kabeba mkenya,Mond anakula mkenya,Benpizo nae kabeba mkenya,ila Dimpoz tu ndo anatuangusha sisi wanaume wa bongo yeye kaenda kwa gavanna,sijui wanamfanyaje huko mombasa!!
mkuu mbona Prezoo anamla dada yetu AMBER LULU?Tutawapa Gigy Money.
mchukueni amber ruttyHuu undugu wa kuchukuliana mabinti nina mashaka nawo.
Derby ya mashemeji teh teh tehAsante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Muwaonee huruma.Kiswahili hawajui.Hawajui ni nani kati ya mwanaume au mwanamke ndiyo huchumbia.Hahaha mwandishi kaona wivu