Wakenya waanza kumuandika vibaya Ben Pol, kisa utajiri wa binti

Wakenya waanza kumuandika vibaya Ben Pol, kisa utajiri wa binti

Kwamba ben paul ana danga 254 😂😂
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll


Mimi natafuta fweza nije kubeba Mamito. Nampenda yule binti, lazima tufunge pingu za maisha.
 
CMB Prezo anatoka na Amber lulu! Wakenya mukuje Tanzania tutawapa Gigy Money na Amber Rutty bure bila mahari!
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Mkuu pamoja na hayo ila tanzania tuna utajiri wa mabinti wengi wazuri.....lakini kenya wengi wao wamenyata .......
 
Ben naye asituangushe watanzania atuwakilishe vyema kimataifa
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Njoo na wewe uvute hku

Ova
 
Hata ungekua wewe lazma roho ingekuuma,Kiba kabeba mkenya,Mond anakula mkenya,Benpizo nae kabeba mkenya,ila Dimpoz tu ndo anatuangusha sisi wanaume wa bongo yeye kaenda kwa gavanna,sijui wanamfanyaje huko mombasa!!
hahahahaaa...eti dimpoz anatuangusha.
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Hahaaha... Salamu zao huko Kenya bro.
 
Nategemea Pol
Alifanyizia Kazi Suala Hili Haraka
Akachukue Haraka Haraka
Ngoja Ngoja....
 
Mwenye dada hakosi shemeji yakhee....!
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
Nasikia wadada wa Kenya ni watamu sana.
 
Hata mimi nilimpata mdada wa kikenya anatokea mahali panaitwa kiambuu...tuliishi naye Muthaiga kipindi flani karibu na kwa Moi ila alinipenda sanaaa now ni mke wa mtu...!
 
Asante kwa kuniita huku....afu naona kama mumeanza kutuzoea vibaya, Ali Kiba kaja na kunyakua binti wetu wa Pwani tukainyamazia, huyu Ben Pol naye keshaleta pua huku.... Hivi hiyo Bongo hakuna warembo muishie huko huko....hehehe
Diamond kafuata Zari Uganda, AY akafuata Mnyarwanda....mbona mnawakimbia mabinti wenu.....mtuachie wetu la sivyo tutachomoa mapanga na kuonana wabaya.....wivu unaniuma fulllllll
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom