joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE; Hivi umri wa katiba ni miaka mingapi?. Umri wa kipepeo ni siku tatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wamekuacha wewe. Pole.Jamaa wametuacha mbali sana kwenye mambo mengi likiwemo swala la demokrasia.
Wamekuacha wewe na mama yako.Jamaa wametuacha mbali sana kwenye mambo mengi likiwemo swala la demokrasia.
Kwahiyo matibabu ndio demokrasia?Huo ndio ukweli mtake msitake [emoji108]
Kuna huduma nyingi sana waTZ wakikwama kuzipata nchini wanaambiwa kama unahela Kimbilia Kenya ukapone swala lako!
Ikiwemo swala la matibabu na mengine mengi tu.
Huo ndio ukweli mtake msitake [emoji108]
Kuna huduma nyingi sana waTZ wakikwama kuzipata nchini wanaambiwa kama unahela Kimbilia Kenya ukapone swala lako!
Ikiwemo swala la matibabu na mengine mengi tu.
Sijui unabisha nini?Wamekuacha wewe na mama yako.
Mama yako anakaa kijiji gani? 😀 😀 😀Sijui unabisha nini?
Nyie ndio wajinga wa hii nchi.
Hamtaki kusikia ukweli.
Sasa unadhani tupo sawa na wakenya kwenye mambo ya uchumi, uongozi, maendeleo na utawala bora?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kipi Tanzania imei zidi Kenya? Kama hatuja achwa.Labda wamekuacha wewe. Pole.
Mimi nazungumzia nchi wewe unazungumzia mama yangu.Mama yako anakaa kijiji gani? 😀 😀 😀
MY TAKE; Hivi umri wa katiba ni miaka mingapi?. Umri wa kipepeo ni siku tatu.
Nakata nijue kama mbegu zilizotumika ni bora au siyo bora. Kwahiyo jibu swali. Au umevuta bangi?Mimi nazungumzia nchi wewe unazungumzia mama yangu.
Mama yangu atakusa idia nini?
Hujibu unacho ulizwa, Unajibu usicho ulizwa..
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kuna chizi hapa anasema Kenya imeizidi Tanzania kwasababu hawafuati katiba Yao wenyewetatizo si katiba, tatizo ni utashi wa kutii katiba. Africa hakuna utashi huo
Mimi nazungumzia nchi wewe unazungumzia mama yangu.
Mama yangu atakusa idia nini?
Hujibu unacho ulizwa, Unajibu usicho ulizwa..
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kuitii katiba kunategemea katiba yenyewe ilivyo. Katiba iliyo huru hasa ktk mamlaka za nchi ( mahakama, serikali na bunge) kuna uwezekano WA kuitii. Kuna siku JPM amewahisema Serikali ni mhimili uliojichimbia zaidi ya mihimili mingine, sasa serkali hapo hata ikiiba utaifanya nini? Inakuwa inaamrisha mihimili mingine kufuata matakwa yake yawe haki au hata kama sio haki!tatizo si katiba, tatizo ni utashi wa kutii katiba. Africa hakuna utashi huo
Wewe ni chawa wa CCM.
Tumewazidi kwa amani nchini
Tumewazidi kwa upatikanaji wa chakula nchinihttps://twitter.com/m/status/1645328259935272960
Watumishi wa serikali wanapata mishahara kwa wakati, Kenya hakuna pesa