Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Mama yake kaingiaje hapa mbona wepesi sana kutukana wazazi wa mwenzio. Hivi unamjua mama wewe? Acha kbs hii tabia muwaze mama yako halafu waza mtu amtukane utajisikiaje? Hauna sifa ya kuitwa binadamu.Wamekuacha wewe na mama yako.