Wakenya Wadai kuandika katiba mpya, hii iliopo imezeeka

Wakenya Wadai kuandika katiba mpya, hii iliopo imezeeka

Sio kweli!

Thibitisha huo ukabila!

Huo ni mtazamo tu.

Ingekuwa ni kweli wangeshapigana vita Kama Burundi Na kwingine.

Sio kiasi hicho unavyozani.

Jamaa kidemokrasia wako juu kuliko sisi kwa mbali sana.

Wako flexible kubadilisha katika yao pale wanapoona kuna haja ya kufanya hivyo kwa manufaa ya wengi.

Kwenye mambo ya uteuzi wa Viongozi walishatokaga huko siku nyingi,

Raia wanaweza kukusanyika, kuandamana bila kibali cha police na hakuna polisi atamzuru raia Kwa hila,


Watu wana Uhuru wa kuongea chochote ilimradi hawavunji sheria bila kisakamwa na vyombo vya dola.

Upo ?

Niamdelee ?

Au imetosha?
Umeandika ushuzi mtupu. Kwa hiyo madhara ya ukabila ni hadi kutokee vita? Machafuko ya 2007 haikuwa sababu ya ukabila? Ukienda Nairobi utakuta mjaluo hataki kula kwenye mgahawa wa Mkikuyu. Je hiyo ni sahihi?
 
1 Kenyan shilling= 17 TZS...

Na hapa imeshuka huwa ni:

1 Kenyan shilling= 21-22, Kenyan shilling.View attachment 2583143

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Halafu hii hoja ya thamani ya fedha huwa ni ya kipumbavu mno. Kwamfano kwacha ya Zambia ina thamani kuliko Kenya shilling, kwahiyo kiuchumi Zambia imeizidi Kenya? Pesa ya China imezidiwa na nchi nyingi, je hizo nchi zina uchumi mkubwa kuliko China?
 
Umeandika ushuzi mtupu. Kwa hiyo madhara ya ukabila ni hadi kutokee vita? Machafuko ya 2007 haikuwa sababu ya ukabila? Ukienda Nairobi utakuta mjaluo hataki kula kwenye mgahawa wa Mkikuyu. Je hiyo ni sahihi?



Kwani mwenzetu Mbona unajadili Kwa kufoka ?

Una matatizo gani?

Kajifunze kwanza kuchangia mada huku emotional health yako ikiwa imeimarika!

Mwenyewe unajiona kujua kwiiingiiii kumbe bure kabisa!

[emoji3][emoji28]
 
Umeandika ushuzi mtupu. Kwa hiyo madhara ya ukabila ni hadi kutokee vita? Machafuko ya 2007 haikuwa sababu ya ukabila? Ukienda Nairobi utakuta mjaluo hataki kula kwenye mgahawa wa Mkikuyu. Je hiyo ni sahihi?



Hilo jina ulojiweka hulitendei haki hata nukta.

Mwenye jina ni mtu wa subira nyingi.

Sio kama wewe mamuma!
 
Tunasema wakenya wametuzidi kwenye aspects nyingi Eti Kilaza anakuja na hoja ya ukabila [emoji848][emoji848]

Hata kama ingekuwa ni kweli lakini bado haiondoi ukweli kuwa wanatuzidi kwenye maendeleo ya mambo mengi kadha wa kadha!

Nyie msio na huo ukabila ilihali mambo mengine mko nyuma kupita kiasi inawasaidia nini?

Ukosefu wa huduma ya Maji kama hitaji la msingi la mwanadamu na wanyama zaidi ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika [emoji848][emoji848]

Ukosefu wa huduma ya nishati ya umeme,

Huduma za afya na vifaa tiba,

Miundombinu,

Demokrasia, alikufa yule binti kizembe kabisa sababu tu mawakala walikuwa wanaenda Kwa mkurugenzi kufuata form za uchaguzi!
 
Labda tukubaliane hivi kuna vitu Kenya ime tuzidi uchumi ukiwemo..

Na sisi kuna vitu tume wazidi Kenya

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hapo Sasa umesema, jambo la kujifunza ni kwamba usiseme kabla ya kujiridhisha kutoka katika vyanzo vya kuaminika kuhusu unalosema. Usikubali kusombwa na kelele za wakenya, hao ni watu wa kupenda sifa na kelele nyingi.
 
Tunasema wakenya wametuzidi kwenye aspects nyingi Eti Kilaza anakuja na hoja ya ukabila [emoji848][emoji848]

Hata kama ingekuwa ni kweli lakini bado haiondoi ukweli kuwa wanatuzidi kwenye maendeleo ya mambo mengi kadha wa kadha!

Nyie msio na huo ukabila ilihali mambo mengine mko nyuma kupita kiasi inawasaidia nini?

Ukosefu wa huduma ya Maji kama hitaji la msingi la mwanadamu na wanyama zaidi ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika [emoji848][emoji848]

Ukosefu wa huduma ya nishati ya umeme,

Huduma za afya na vifaa tiba,

Miundombinu,

Demokrasia, alikufa yule binti kizembe kabisa sababu tu mawakala walikuwa wanaenda Kwa mkurugenzi kufuata form za uchaguzi!
Mkuu, ukizingumza jambo lazima uwe na ushahidi, huku hatujazoea watu wa namna yako ambao mnazungumzia bila kuwa na ushahidi wa uhakika.
1)Tuanze na demokrasia, reports za human right watch(HRW), na Transparency International(TI) zote zinaiweka Tanzania kuwa juu ya Kenya katika "Democracy perception Index". Wewe unayesema Kenya imeizidi Tanzania ktk demokrasia umetukia tafiti ipi?.
Punguza mdomo
 
Tunasema wakenya wametuzidi kwenye aspects nyingi Eti Kilaza anakuja na hoja ya ukabila [emoji848][emoji848]

Hata kama ingekuwa ni kweli lakini bado haiondoi ukweli kuwa wanatuzidi kwenye maendeleo ya mambo mengi kadha wa kadha!

Nyie msio na huo ukabila ilihali mambo mengine mko nyuma kupita kiasi inawasaidia nini?

Ukosefu wa huduma ya Maji kama hitaji la msingi la mwanadamu na wanyama zaidi ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika [emoji848][emoji848]

Ukosefu wa huduma ya nishati ya umeme,

Huduma za afya na vifaa tiba,

Miundombinu,

Demokrasia, alikufa yule binti kizembe kabisa sababu tu mawakala walikuwa wanaenda Kwa mkurugenzi kufuata form za uchaguzi!
Wewe jamaa hamia tu Kenya kama unaona kuna maisha mazuri sana. Hayo maendeleo ya Kenya yanawahusu familia chache za waasisi wa taifa na matajiri hasa familia ya Kenyata na Odinga. Wakenya wengi wana maisha magumu kupitiliza. Wanaishi kwenye nyumba za mabati na kwa ubepari wao hakuna kuoneana huruma. Hapa Tanzania mwananchi wa kawaida unakuta anamiliki eka 40 ya ardhi jambo ambalo huwezi kukuta Kenya. Kuhusu umeme na maji hatujapishana... hali zinafanana.
 
Back
Top Bottom