Wakenya, Waganda na Watanzania wanalala nje katika mitaa nchini Canada

Wakenya, Waganda na Watanzania wanalala nje katika mitaa nchini Canada

Hao wote wanataka goverment support ili maisha yawe mepesi kwa kupewa housing allowance and un employment benefits baada ya kupata wanaingia knye ajira rasmi za kawaida yaani kupiga box, kama mjanja najiongeza muda mfupi baadae anaingia shule ana upgrade credentials anaingia knye professional jobs, au wengine ndo wanafungua biashara zao japo Watanzania sio sana, ila wakenya na waganda wengi sana wana biashara za maana na ni wakubwa kweli kweli
 
Stop using Xylazine, it makes you slow.

I was talking about the increase of homelessness in North America due to inflation being sent back home, as countries around the world start ditching the use of USD, as the world reserved currency.
.
20230423_193630.jpg
 
Si waende basi huko Russia wanakoitwa manyani au Iran au uarabuni waone kama wataachwa wawe hai tena. Bahati yao wameenda uzunguni ambapo watu walau wana utu.

Na wana sababu zipi za kukimbia nchi zao? Si wapambane tu na hizi tawala feki za kiimla na mwisho watashinda tu kuliko kwenda kujiaibisha huko ughaibuni na huku tunaona kila siku mama ni kusifiwa tuu na sijui kwa lipi.
Russia na mwarabu wamefikaje hapa, kumbe kulala nje ni utu.
 
Wanaoishi nje wote watwana tuu hawana jipya na lugha Yao at Diaspora , use_enge mtupum....mi pia Nina ndoto za kupotelea huko , Ila nitakuwa mtumwa tuu , japo Kwa sababu ya background yetu ya kimaskini basi huwa tunaona kama tumewin
Kwani ukija ukafanya kazi na kuwa na malengo ya kufungua biashara kuna ubaya gani?
Huenda ukasomea kitu ukafanikiwa na kuwa na kampuni yako

Kwa sasa kwa mfano UK wanahitaji laborer 45,000 kwa mwaka hao ni wajenzi tu
Sasa kama wewe ni electrician au carpenter au brick layers njoo baba kazi za kumwaga na unapanga unavyotaka wewe
 
Stop using Xylazine, it
Stop using Xylazine, it makes you slow.

I was talking about the increase of homelessness in North America due to inflation being sent back home, as countries around the world start ditching the use of USD, as the world reserved currency.

You are disgracing yourself but you refused to shut up your wider mouth.
Speaking nonsense from both parties of you mouth.
Prices of commodities and cost of living have skyrocketed worldwide, not only in US Or Canada. Anyone with a functioning brain is aware of this.
At least out there people have something to do end of day the got something on the table.
 
You are disgracing yourself but you refused to shut up your wider mouth.
Speaking nonsense from both parties of you mouth.
Prices of commodities and cost of living have skyrocketed worldwide, not only in US Or Canada. Anyone with a functioning brain is aware of this.
At least out there people have something to do end of day the got something on the table.
You're all over the place like cheese on pizza.
 
Nimepita hapo Stadium Arusha muda si mrefu naona wadogo wanaolala nje wanajiandaa na boxi zao...hao wanalala nje leo baada ya mwaka na kupata karatasi sio hao tena maisha ya Nje yana Code nyingi sana...
 
Back
Top Bottom