Wakenya, Waganda na Watanzania wanalala nje katika mitaa nchini Canada

Wakenya, Waganda na Watanzania wanalala nje katika mitaa nchini Canada

Mara nyingi nchi kama ufilipino, India serikali zao zinachangamkia sana hizi fursa.
Kwenye health cares nakubaliana na wewe
Na pia kabla ya brexit walikuja sana eastern European countries kwa wingi sana na walioamua kuendelea kuishi huku wamebaki pia ila wengi waliondoka
 
Sawa,

lakini mkubwa hapo juu alikuwa anazungumzia mahusiano ya nchi na nchi, mfano kuna baadhi ya nchi ambazo zina policies za kusupply labor. Mfano ufilipino wana supply sana labour western hasa kwenye health na care kwa ujumla.

Now narudi kwetu, nchi kama nchi ipambanie jambo moja tunaloliweza tupeleke wafanyakazi nje, iwe wakulima, au wajenzi……. Etc.
Tatizo ni skills, lugha na pia ukaribu wa nchi na nchi
Unakuta balozi anadhani kazi yake ni kutoa Visa tu na kuwabadilishia wananchi wake passports zinapoisha mda

Ila kutafuta fursa na ajira au elimu au wawekezaji anaona ni sio kazi yake au ni kutokuelewa au labda ni ule uoga wa kujiona dhalili mbele ya wazungu hata sielewi

Mbona wengine wanasaidia sana wananchi wao hata kuwaombea fursa nyingi tu

Policies zetu zikoje maana tunaona labda wafanyakazi wa ndani tu Uarabuni
Mbona hata Ulaya wanahitaji wa ndani na hawana shida? Na mishahara ni minono tu
 
Sema kwanini msingeunda group wanaotaka kwenda nje then mkapata wazoefu wakuwaongoza hii ushaur through id ambazo hujui ni nan ni shughuli pia ukipata mwenzio ata ana 1 mkiongez nguvu mtaend 2 na 3
 
Back
Top Bottom