Mamlukii
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 1,063
- 2,387
kweliNi changamoto za muda tuu, mambo yakikaa sawa mtaanza kuwaomba hizo dollar, watoto wao watakapo kuwa wanapata elimu Bora tofauti na ya huku Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweliNi changamoto za muda tuu, mambo yakikaa sawa mtaanza kuwaomba hizo dollar, watoto wao watakapo kuwa wanapata elimu Bora tofauti na ya huku Tanzania.
Hawana Akili hivyo acheni Wateseke tu.Kwanini umesema hivyo?
Mkuu mimi ni electrician nipe muongozo nitingeKwani ukija ukafanya kazi na kuwa na malengo ya kufungua biashara kuna ubaya gani?
Huenda ukasomea kitu ukafanikiwa na kuwa na kampuni yako
Kwa sasa kwa mfano UK wanahitaji laborer 45,000 kwa mwaka hao ni wajenzi tu
Sasa kama wewe ni electrician au carpenter au brick layers njoo baba kazi za kumwaga na unapanga unavyotaka wewe
Mkuu ni siku za hivi karibuni ndio PM alikuwa analiongelea hili, najua Health worker wanaletwa toka nje kwa mikataba kupitia serikali zenye ubia na hapaMkuu mimi ni electrician nipe muongozo nitinge
unaweza kuwa unawang'aka english huku kumbe unatishia wajinga...aisee jombaa unaongea broken english hatari mno...Look at this idiot, he believes dollars it's a cause for people running away from their mother lands for their greener pastures
Let Ccm lead forever because out there there's no sane person in tz ... At least this zombie ) harbors a phone, some zombies(Tanzanians) don't even know what happening in the world.
Ndo maana Lema akastuka mapema. Bora arudi kupambana na Madeni kuliko kudhalilika ugenini
Unataka kusema bora tanzania?Maisha magumu sana nchi za nje.
Majinga kama wewe hii nchi hayaishiNdo maana Lema akistuka mapema. Bora arudi kupambana na Madeni kuliko kudhalilika ugenini
Mara nyingi nchi kama ufilipino, India serikali zao zinachangamkia sana hizi fursa.Mkuu ni siku za hivi karibuni ndio PM alikuwa analiongelea hili, najua Health worker wanaletwa toka nje kwa mikataba kupitia serikali zenye ubia na hapa
Ila kuhusu kazi zingine kama za electrician sijajua wanaombaje na mjadala bado ni mkubwa wawalete kutoka wapi
Kwa kweli inalipa sana mkuu ila njia zao ndio sijui kama utapasua kwa njia zako na una uwezo well and good
Kwa akili za wabongo wakifika huko hawafanyi kazi serious bali wao kuleta ujuaji tofaut na Mhindi au M-NigeriaMara nyingi nchi kama ufilipino, India serikali zao zinachangamkia sana hizi fursa.
Sawa,Kwa akili za awabongo wakifika huko hawafanyi kazi serious Bali wao kuleta ujuaji tofaut na Mhindi au Mnigeria
Ipambane mara 2? ) Kasome Tena Ilani Comrade kila kitu kimeainishwaSawa,
lakini mkubwa hapo juu alikuwa anazungumzia mahusiano ya nchi na nchi, mfano kuna baadhi ya nchi ambazo zina policies za kusupply labor. Mfano ufilipino wana supply sana labour western hasa kwenye health na care kwa ujumla.
Now narudi kwetu, nchi kama nchi ipambanie jambo moja tunaloliweza tupeleke wafanyakazi nje, iwe wakulima, au wajenzi……. Etc.
By comrade unamaanisha nini? Ni ilani ipi natakiwa nisome? Utekelezaji wa Ilani Unaendeleaje? Msaada tafadhali.Ipambane mara 2? ) Kasome Tena Ilani Comrade kila kitu kimeainishwa
Soma Ilani ya CCM 2020-2025 yenye Ahadi za Chama Kwa wapiga kura. Asante ComradeBy comrade unamaanisha nini? Ni ilani ipi natakiwa nisome? Utekelezaji wa Ilani Unaendeleaje? Msaada tafadhali.
Ni kweli! Wewe huna kosa lolote nchini kwako hujatimuliwa nchi haina vita haina machafuko wala... Halafu unakimbia wendang'ang'ania kwa Wazungu si uchizi huoHawana Akili hivyo acheni Wateseke tu.