Wakenya, Waganda na Watanzania wanalala nje katika mitaa nchini Canada

Wakenya, Waganda na Watanzania wanalala nje katika mitaa nchini Canada

Hio ni kwa muda tu then watapewa hifadhi na some documents ...halaf hii video ina muda mrefu lakn ndo uhalisia kwa wanao ingia illegal
 
Kwani ukija ukafanya kazi na kuwa na malengo ya kufungua biashara kuna ubaya gani?
Huenda ukasomea kitu ukafanikiwa na kuwa na kampuni yako

Kwa sasa kwa mfano UK wanahitaji laborer 45,000 kwa mwaka hao ni wajenzi tu
Sasa kama wewe ni electrician au carpenter au brick layers njoo baba kazi za kumwaga na unapanga unavyotaka wewe
Mkuu mimi ni electrician nipe muongozo nitinge
 
Mkuu mimi ni electrician nipe muongozo nitinge
Mkuu ni siku za hivi karibuni ndio PM alikuwa analiongelea hili, najua Health worker wanaletwa toka nje kwa mikataba kupitia serikali zenye ubia na hapa
Ila kuhusu kazi zingine kama za electrician sijajua wanaombaje na mjadala bado ni mkubwa wawalete kutoka wapi

Kwa kweli inalipa sana mkuu ila njia zao ndio sijui kama utapasua kwa njia zako na una uwezo well and good
 
Kufika huko naweza hata pesa ya kuanzia ninayo mkuu kitu ambacho nataka ni vizuri ukawa hata na mwenyeji ambaye anaweza akakuelekeza machaka pia hata kumchangia makazi
 
Look at this idiot, he believes dollars it's a cause for people running away from their mother lands for their greener pastures
Let Ccm lead forever because out there there's no sane person in tz ... At least this zombie ) harbors a phone, some zombies(Tanzanians) don't even know what happening in the world.
unaweza kuwa unawang'aka english huku kumbe unatishia wajinga...aisee jombaa unaongea broken english hatari mno...
 
Mkuu ni siku za hivi karibuni ndio PM alikuwa analiongelea hili, najua Health worker wanaletwa toka nje kwa mikataba kupitia serikali zenye ubia na hapa
Ila kuhusu kazi zingine kama za electrician sijajua wanaombaje na mjadala bado ni mkubwa wawalete kutoka wapi

Kwa kweli inalipa sana mkuu ila njia zao ndio sijui kama utapasua kwa njia zako na una uwezo well and good
Mara nyingi nchi kama ufilipino, India serikali zao zinachangamkia sana hizi fursa.
 
Kwa akili za awabongo wakifika huko hawafanyi kazi serious Bali wao kuleta ujuaji tofaut na Mhindi au Mnigeria
Sawa,

lakini mkubwa hapo juu alikuwa anazungumzia mahusiano ya nchi na nchi, mfano kuna baadhi ya nchi ambazo zina policies za kusupply labor. Mfano ufilipino wana supply sana labour western hasa kwenye health na care kwa ujumla.

Now narudi kwetu, nchi kama nchi ipambanie jambo moja tunaloliweza tupeleke wafanyakazi nje, iwe wakulima, au wajenzi……. Etc.
 
Mtu pekee anaweza kuwaona wajinga ni yule ametokea familia ambayo wakubwa zake walikuwa na uwezo hivyo akapitia migongo yao kubwa na kipato note: sio wote

Hustler wengi wamepitia changamoto nyingi iwe makazi, chakula n.k ila kamwe hawezi kubeza juhudi za mwingine
 
Sawa,

lakini mkubwa hapo juu alikuwa anazungumzia mahusiano ya nchi na nchi, mfano kuna baadhi ya nchi ambazo zina policies za kusupply labor. Mfano ufilipino wana supply sana labour western hasa kwenye health na care kwa ujumla.

Now narudi kwetu, nchi kama nchi ipambanie jambo moja tunaloliweza tupeleke wafanyakazi nje, iwe wakulima, au wajenzi……. Etc.
Ipambane mara 2? ) Kasome Tena Ilani Comrade kila kitu kimeainishwa
 
Hawana Akili hivyo acheni Wateseke tu.
Ni kweli! Wewe huna kosa lolote nchini kwako hujatimuliwa nchi haina vita haina machafuko wala... Halafu unakimbia wendang'ang'ania kwa Wazungu si uchizi huo
 
Back
Top Bottom