Wakenya waiuliza Google kuhusu Corona Tanzania

Wakenya waiuliza Google kuhusu Corona Tanzania

Wewe ni mtu mzima, ninajua umeelewa mapungufu yako, yafanyie kazi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapungufu gani?Mimi ndiyo nimeanza kukudai ushahidi ulipodai ya kwamba zile hela zilikuwa za kupambana na athari za kiuchumi,from nowhere kama kasuku na wewe ukaanza kudai ushahidi badala ya kunipa kwanza ushahidi niliokudai mimi then ndiyo uombe nami nikupe ushahidi.Sasa hapo ni nani mwenye mapungufu?Yaani nianze kukuomba ushahidi mimi halafu wewe pia udandie kuomba ushahidi wakati hujatoa ushahidi niliokuomba halafu unazungumzia ya kwamba mimi nina madhaifu badala ya kudai kwamba wewe ndiyo una madhaifu?!
 
Mapungufu gani?Mimi ndiyo nimeanza kukudai ushahidi ulipodai ya kwamba zile hela zilikuwa za kupambana na athari za kiuchumi,from nowhere kama kasuku na wewe ukaanza kudai ushahidi badala ya kunipa kwanza ushahidi niliokudai mimi then ndiyo uombe nami nikupe ushahidi.Sasa hapo ni nani mwenye mapungufu?Yaani nianze kukuomba ushahidi mimi halafu wewe pia udandie kuomba ushahidi wakati hujatoa ushahidi niliokuomba halafu unazungumzia ya kwamba mimi nina madhaifu badala ya kudai kwamba wewe ndiyo una madhaifu?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mapungufu gani?Mimi ndiyo nimeanza kukudai ushahidi ulipodai ya kwamba zile hela zilikuwa za kupambana na athari za kiuchumi,from nowhere kama kasuku na wewe ukaanza kudai ushahidi badala ya kunipa kwanza ushahidi niliokudai mimi then ndiyo uombe nami nikupe ushahidi.Sasa hapo ni nani mwenye mapungufu?Yaani nianze kukuomba ushahidi mimi halafu wewe pia udandie kuomba ushahidi wakati hujatoa ushahidi niliokuomba halafu unazungumzia ya kwamba mimi nina madhaifu badala ya kudai kwamba wewe ndiyo una madhaifu?!
Wewe ndiye unayeshutumu kwamba Tanzania imetumia pesa kinyume na makubaliano, unaambiwa thibitisha kwamba Tanzania imetenda hilo kosa, ili mtuhumiwa ajitetee, wewe unataka Tanzania ndio ithibitishe kwamba haikufanya kosa, bila wewe kuthibitisha kwamba kosa limetendeka.

Wewe thibitisha kwamba Tanzania haikufuata masharti ya matumizi halali yaliyokusudiwa, au unaropoka bila kujua madhumuni ya zile pesa?
 
Naelewa. Lakn naelewa zaidi yako kwamba hakuna faida yoyote. Jiulize toka tumeanza kupima pima pima tumesaidika nini. Mbona ndio cases zinaongezeka kila kukicha. Naamini aproach waliyotumia upande wa pili ni the best kuliko hii ya pima pima
Approach waliyotumia upande wa pili umeipima kwa kutumia kitu gani ukagundua kuwa ni nzuri zaidi?
 
Wewe ndiye unayeshutumu kwamba Tanzania imetumia pesa kinyume na makubaliano, unaambiwa thibitisha kwamba Tanzania imetenda hilo kosa, ili mtuhumiwa ajitetee, wewe unataka Tanzania ndio ithibitishe kwamba haikufanya kosa, bila wewe kuthibitisha kwamba kosa limetendeka.

Wewe thibitisha kwamba Tanzania haikufuata masharti ya matumizi halali yaliyokusudiwa, au unaropoka bila kujua madhumuni ya zile pesa?
Wapi umeomba ushahidi nikakataa kukupa?Wewe umekuja kuomba ushahidi baada ya mimi kukuomba ushahidi na hukunipa kitu ambacho sikubaliani nacho.Yaani sikubaliani na wewe kuwa kasuku:unataka ushahidi kisa nimekuomba ushahidi!Una haki ya kuomba ushahidi baada ya kunipa ushahidi niliokuomba mimi.
 
Wapi umeomba ushahidi nikakataa kukupa?Wewe umekuja kuomba ushahidi baada ya mimi kukuomba ushahidi na hukunipa kitu ambacho sikubaliani nacho.Yaani sikubaliani na wewe kuwa kasuku,unataka ushahidi kisa nimekuomba ushahidi!Una haki ya kuomba ushahidi baada ya kunipa ushahidi niliokuomba mimi.
Hahaha, utaombaje ushahidi kwa mtu unayemshutumu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe unakwenda kumsitaki mtu kwamba anekuibia, kabla hata hujahenga mashitaka ili mtuhumiwa ajitetee, wewe unaomba ushahidi toka kwa mtuhumiwa.

Wewe ulupaswa kuweka vielelezo vyote hadharani kuthibitisha madai yako, kwa mfano, ukionyesha bila shaka yoyote kwamba ile pesa ilitolewa kwa ajili ya kuzuia maambukizi, mimi nitalazimika kuleta ushahidi kupinga huo wako, lakini ukishindwa kufanya hivyo, hiyo ni "Case dismissed", zitolazimika kuweka ushahidi wowote kwasababu itaonekana wewe shutuma zako sio kweli.
 
Hahaha, utaombaje ushahidi kwa mtu unayemshutumu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe unakwenda kumsitaki mtu kwamba anekuibia, kabla hata hujahenga mashitaka ili mtuhumiwa ajitetee, wewe unaomba ushahidi toka kwa mtuhumiwa.

Wewe ulupaswa kuweka vielelezo vyote hadharani kuthibitisha madai yako, kwa mfano, ukionyesha bila shaka yoyote kwamba ile pesa ilitolewa kwa ajili ya kuzuia maambukizi, mimi nitalazimika kuleta ushahidi kupinga huo wako, lakini ukishindwa kufanya hivyo, hiyo ni "Case dismissed", zitolazimika kuweka ushahidi wowote kwasababu itaonekana wewe shutuma zako sio kweli.
Wewe ndiye umenituhumu mimi kwa kudai ya kwamba nasema uongo kwa kusema zile hela zilitakiwa zitumike kwa kazi ya kuzuia Corona na wala siyo kwa kupambana na athari za kiuchumi za Corona.Katika hili ni nani mtuhumiwa?
 
Umeanza ubishi usiyo na maana sasa,ulifuatilia ule mkutano wa EU uliokuwa unajadili fedha ambazo Tanzania ilichukua za kupambana na Corona?Ulimsikia yule mwenyekiti wa kikao alivyokuwa analalamika ya kwamba Tanzania imechukua fedha za kupambana na Corona kutoka EU lakini haifuati miongozo ya WHO ya kupambana na Corona kama vile kufanya mass testing regularly na kutangaza/kuchapisha matokeo hayo katika public mass media?

Zile siyo FEDHA za kupambana na Corona, bali ni FEDHA za kupambana na athari za korona ambazo si clinical. Yule mbunge domo kubwa hana analilijua, kazi kubwatuka tu bila kuelewa.
Ni nchi ipi ambayo haisikilizii maumivu ya korona? Kuna kipindi kirefu tu, anga lilifungwa, utalii umeshuka, biashara zimezorota, n.k.
Tanzania na Afrika kwa ujumla hazikupata maafa makubwa ya kiafya (less clinical fatalities), lakini kiuchumi, kifedha, kibiashara, n.k. imeathirika sana. Hivyo, hiyo stimulus package inahitajika kwa kila nchi.
 
Zile siyo FEDHA za kupambana na Corona, bali ni FEDHA za kupambana na athari za korona ambazo si clinical. Yule mbunge domo kubwa hana analilijua, kazi kubwatuka tu bila kuelewa.
Ni nchi ipi ambayo haisikilizii maumivu ya korona? Kuna kipindi kirefu tu, anga lilifungwa, utalii umeshuka, biashara zimezorota, n.k.
Tanzania na Afrika kwa ujumla hazikupata maafa makubwa ya kiafya (less clinical fatalities), lakini kiuchumi, kifedha, kibiashara, n.k. imeathirika sana. Hivyo, hiyo stimulus package inahitajika kwa kila nchi.
bro hiyo ni statue,utaisemesha wala haielewi.
 
unajua wa kenya wali aminishwa eti Tz watunwatakufa sana na corona hadi maiti zita zagaa mitaani sasa wananona aibu kumeza matapishi yao wana baki kuchungulia chungulia tu

Aibu kubwa kwa baadhibyao walio kuwa wakiombea mabaya Tz
 
Back
Top Bottom