Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wewe ndiye umesema ya kwamba watu wanaambukizana lakini hawafi kwa Corona,ndiyo nikakuuliza umejuaje ya kwamba hakuna wanaokufa kwa Corona?mgonjwa wa corona anapitia hatua zipi kabla ya kufariki???
au unamaanisha watu kufa wakiwa na corona?