Wakenya waiuliza Google kuhusu Corona Tanzania

Wakenya waiuliza Google kuhusu Corona Tanzania

Wao au mimi kuwa na habari kuwa Corona haipo Tanzania inahitaji ushahidi wa kitaalam.Huo ushahidi wa kitaalam upo?
Hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kupima watu wote ndio ujue kwamba ugonjwa upo au haupo, kinachofanyika ni kuchukua "random sampling" toka katika makundi ya watu wenye hatari kubwa ya kuambukizwa na kuangalia ni asilimia ngapi wameambukizwa, hiyo taarifa inatumiwa na serikali kutangaza hali ya ugonjwa nchini.
 
Hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kupima watu wote ndio ujue kwamba ugonjwa upo au haupo, kinachofanyika ni kuchukua "random sampling" toka katika makundi ya watu wenye hatari kubwa ya kuambukizwa na kuangalia ni asilimia ngapi wameambukizwa, hiyo taarifa inatumiwa na serikali kutangaza hali ya ugonjwa nchini.
Wapi nimepiga debe kwamba wapimwe watu wote?Mimi napiga debe kwamba guideline za WHO zifuatwe.Point yangu ni kwamba Tanzania haifuati taratibu za WHO katika kupambana na Corona.
 
Mbona hakuna nchi inayopima watu wote wenye maambukizi ya Ukimwi ili wasiambukize wengine kwa kutojua kwamba wana Ukimwi?
Kwa nini unalinganisha ukimwi na Corona wakati ni magonjwa mawili tofauti kuanzia jinsi ya kuambukiza,athari zake,dalili,jinsi ya kuzuia,etc?
 
Wapi nimepiga debe kwamba wapimwe watu wote?Mimi napiga debe kwamba guideline za WHO zifuatwe.Point yangu ni kwamba Tanzania haifuati taratibu za WHO katika kupambana na Corona.
Kwanza hakuna guidlines za WHO kuhusu kupambana na Corona, kama unazo tuwekee tuzione, WHO imetoa mwongozo kuhusu kukabiliana na kuenea kwa Corona, huo mwongozo unazihusu nchi zilizoathirika pakubwa na huo ugonjwa, yaani "positivity rate is above 5%".

Sasa jinsi ya kupata hiyo 5% kinachotumika sio Guidelines za WHO, bali ni kufanya utafiti kwa kutumia njia za kawaida za" research". random sampling kutoka katika makundi mbalimbali na kuyapima, hilo ndilo linalofanyika hapa nchini. Matokeo ndiyo hayo yanayopa nguvu viongozi wetu kusema hatuna Corona.
 
Kwanza hakuna guidlines za WHO kuhusu kupambana na Corona, kama unazo tuwekee tuzione, WHO imetoa mwongozo kuhusu kukabiliana na kuenea kwa Corona, huo mwongozo unazihusu nchi zilizoathirika pakubwa na huo ugonjwa, yaani "positivity rate is above 5%".

Sasa jinsi ya kupata hiyo 5% kinachotumika sio Guidelines za WHO, bali ni kufanya utafiti kwa kutumia njia za kawaida za" research". random sampling kutoka katika makundi mbalimbali na kuyapima, hilo ndilo linalofanyika hapa nchini. Matokeo ndiyo hayo yanayopa nguvu viongozi wetu kusema hatuna Corona.
Umeanza ubishi usiyo na maana sasa,ulifuatilia ule mkutano wa EU uliokuwa unajadili fedha ambazo Tanzania ilichukua za kupambana na Corona?Ulimsikia yule mwenyekiti wa kikao alivyokuwa analalamika ya kwamba Tanzania imechukua fedha za kupambana na Corona kutoka EU lakini haifuati miongozo ya WHO ya kupambana na Corona kama vile kufanya mass testing regularly na kutangaza/kuchapisha matokeo hayo katika public mass media?
 
Haya yote ni "infectious diseases" principle za "management yake " ni sawa kabisa.
Ni magonjwa mawili tofauti kabisa kwa sababu Corona ni pandemic wakati ukimwi ni epidemic,kwa hiyo njia za management yake ni tofauti kabisa!
 
Umeanza ubishi usiyo na maana sasa,ulifuatilia ule mkutano wa EU uliokuwa unajadili fedha ambazo Tanzania ilichukua za kupambana na Corona?Ulimsikia yule mwenyekiti wa kikao alivyokuwa analalamika ya kwamba Tanzania imechukua fedha za kupambana na Corona kutoka EU lakini haifuati miongozo ya WHO ya kupambana na Corona kama vile kufanya mass testing regularly na kutangaza/kuchapisha matokeo hayo katika public mass media?
Unachekesha sana, yule ni Mbunge wa bunge la EU, sio mwenyekiti kama unavyosema, ni mbunge wa kawaida kama walivyo wabunge wengine, aliuliza swali, hiyo haina maana kwamba kila alichokisema ni sahihi, ndio sababu aliuliza swali kutaka kujua, usiogope kwasababu ni mzungu ukadhani kila alichokisema ni sahihi:

Pesa zilizotolewa hazikuwa za kupambana na kuenea maambukizi ya Corona, bali zilikua ni kusaidi Tanzania katika kukabiliana na athari za kiuchumi zilizosababishwa na tatizo la Corona duniani, Je unapinga kwamba Tanzania pamoja na kutoathirika sana kiafya lakini uchumi wake umeathiriwa na Corona?.

Tafuta taarifa kuhusu dhumuni la kutolewa kwa zile pesa kabla ya kumsikiliza yule mlevi, hakuna uhusiano wowote wa zile pesa na kuzuia maambukizi, au kuwepo/kutokuwepo kwa Corona, nchi zote duniani zimeathirika kiuchumi hata zile ambazo hadi leo hazijaripoti kisa hata kimoja cha Corona.
 
Ni magonjwa mawili tofauti kabisa kwa sababu Corona ni pandemic wakati ukimwi ni epidemic,kwa hiyo njia za management yake ni tofauti kabisa!
Principle za kuzuia ugonjwa kutokuenea ni sawa, lazima ziwe localized, hakuna kuzuia kuenea kwa Ukimwi "Epidemically" au Cirona " Pandemically", principle inahusu mtu mmoja mmoja, iwe ni Pandemic au Epidemic, lakini principle ni moja tu, ambayo ni "Kuzuia maambuki toka kwa mtu mmoja hadi mtu mwengine".
 

Unachekesha sana, yule ni Mbunge wa bunge la EU, sio mwenyekiti kama unavyosema, ni mbunge wa kawaida kama walivyo wabunge wengine, aliuliza swali, hiyo haina maana kwamba kila alichokisema ni sahihi, ndio sababu aliuliza swali kutaka kujua, usiogope kwasababu ni mzungu ukadhani kila alichokisema ni sahihi:

Pesa zilizotolewa hazikuwa za kupambana na kuenea maambukizi ya Corona, bali zilikua ni kusaidi Tanzania katika kukabiliana na athari za kiuchumi zilizosababishwa na tatizo la Corona duniani, Je unapinga kwamba Tanzania pamoja na kutoathirika sana kiafya lakini uchumi wake umeathiriwa na Corona?.

Tafuta taarifa kuhusu dhumuni la kutolewa kwa zile pesa kabla ya kumsikiliza yule mlevi, hakuna uhusiano wowote wa zile pesa na kuzuia maambukizi, au kuwepo/kutokuwepo kwa Corona, nchi zote duniani zimeathirika kiuchumi hata zile ambazo hadi leo hazijaripoti kisa hata kimoja cha Corona.
Fedha zilizotolewa na EU hazikuwa kwa ajili ya kupambana na athari za kiuchumi za Corona,labda uniwekee ushahidi hapa.Hiyo propaganda dhaifu ya watu waovu wenye nia ya kupindisha ukweli!
 
Principle za kuzuia ugonjwa kutokuenea ni sawa, lazima ziwe localized, hakuna kuzuia kuenea kwa Ukimwi "Epidemically" au Cirona " Pandemically", principle inahusu mtu mmoja mmoja, iwe ni Pandemic au Epidemic, lakini principle ni moja tu, ambayo ni "Kuzuia maambuki toka kwa mtu mmoja hadi mtu mwengine".
Mbinu,nguvu,etc za Kuzuia maambukizi toka kwa mtu mmoja hadi mtu mwengine kwa ugonjwa ambao ni pandemic ni tofauti na mbinu pamoja na nguvu za kuzuia ugonjwa ambao ni epidemic kwa sababu athari za mogonjwa haya ni tofauti,na njia za maambukizi ni tofauti pia
 
Fedha zilizotolewa na EU hazikuwa kwa ajili ya kupambana na athari za kiuchumi za Corona,labda uniwekee ushahidi hapa.Hiyo propaganda dhaifu ya watu waovu wenye nia ya kupindisha ukweli!
Ndio sababu nikakuambia tafuta taarifa kwanza kabla ya kuunga mkono au kupinga mzungumzaji yeyote, nimefuatilia kwa makini "post" zako nikagundua kwamba tatizo ulilonalo ni kutokua na taarifa sahihi. Rudi kasome dhumuni la kutolewa zile pesa, utapata taarifa sahihi, wacha kubishabisha mambo usiyoyajua.
 
Mbinu,nguvu,etc za Kuzuia maambukizi toka kwa mtu mmoja hadi mtu mwengine kwa ugonjwa ambao ni pandemic ni tofauti na mbinu pamoja na nguvu za kuzuia ugonjwa ambao ni epidemic kwa sababu athari za mogonjwa haya ni tofauti,na njia za maambukizi ni tofauti pia
Wewe wacha maneno yako, Actually tunatumia nguvu nyingi sana kuzuia Malaria, Ukimwi na TB kuliko zinazotumika kuzuia Corona. Pamoja na kwamba Malaria sio Pandemic bali ni Endemic.
 
Ndio sababu nikakuambia tafuta taarifa kwanza kabla ya kuunga mkono au kupinga mzungumzaji yeyote, nimefuatilia kwa makini "post" zako nikagundua kwamba tatizo ulilonalo ni kutokua na taarifa sahihi. Rudi kasome dhumuni la kutolewa zile pesa, utapata taarifa sahihi, wacha kubishabisha mambo usiyoyajua.
Unaelewa kuwa mwenye jukumu la kuthibitisha ya kwamba pesa zile zilitolewa kwa ajili ya kupambana na athari za kiuchumi za Corona ni wewe kwa sababu wewe ndiyo umeleta hoja hiyo?
 
Unaelewa kuwa mwenye jukumu la kuthibitisha ya kwamba pesa zile zilitolewa kwa ajili ya kupambana na athari za kiuchumi za Corona ni wewe kwa sababu wewe ndiyo umeleta hoja hiyo?
Wewe ndiye unasema kwamba Tanzania tulipaswa kujibu kwanini hatutumii Guidelines za WHO wakati tulipewa pesa na EU ili tufuate Guidelines za WHO, thibitisha kwamba malengo ya zile pesa yalikua ni kuzuia Corona hivyo tulipaswa kufuata Miongozo ya kiafya.

Tanzania ilipokea zile pesa kwasababu tulijua hazikinzani na njia yetu tulitoichagua ya kupambana na Corona, wewe unapaswa kuthibitisha kwamba tulikwenda kinyume na masharti ya zile pesa.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ndiye unasema kwamba Tanzania tulipaswa kujibu kwanini hatutumii Guidelines za WHO wakati tulipewa pesa na EU ili tufuate Guidelines za WHO, thibitisha kwamba malengo ya zile pesa yalikua ni kuzuia Corona hivyo tulipaswa kufuata Miongozo ya kiafya.

Tanzania ilipokea zile pesa kwasababu tulijua hazikinzani na njia yetu tulitoichagua ya kupambana na Corona, wewe unapaswa kuthibitisha kwamba tulikwenda kinyume na masharti ya zile pesa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo umeshindwa kuthibitisha hoja yako ya kwamba fedha zile zilikuwa ni za kupambana na athari za kiuchumi za Corona?
 
Back
Top Bottom