Wakenya waiuliza Google kuhusu Corona Tanzania

Wakenya waiuliza Google kuhusu Corona Tanzania

Usiichukulie hivyo jirani, sio kwa ubaya. Tunaulizia kwasababu tunajivunia sana kuwa na majirani wa kipekee kama nyinyi. Hapo awali ilikuwa ni nchi mbili tu duniani ambazo hazikuwa na Corona, N.Korea kwa Kim Jong Un na Tz kwa Jiwe. Sasa hivi imebakia tu Tz, hongereni sanaaa majirani. Afrika Mashariki hoyeee! 😎
2630442_701437569.jpg
Afrika ziko nchi 3 zenye Zero case. Tz, na nyingine 2 ukiangalia kwa makini kwenye hiyo map NORTH WEST utaziona ni ndogo hivi.
 
Tanzania Corona ipo au haipo?

Korona ipo dunia nzima.
Kwa upande wa Tanzania korona ipo, ila si kwa kiwango ambacho team roho mbaya ingependa iwe.
Pia, the pandemic is more about psychology, if the people's mind exaggerates the situation, then you will be in for it. It'll follow you wherever you go. The Tanzania's model is among the best Approach on can take it. People are taught to take the precautions out of panic. As a result the immunity system of the individuals is above average. A bit challenge is to the people who are living with pre existing health issues. But for the rest of the population, the pandemic is not a threat as other countries.
 
Korona ipo dunia nzima.
Kwa upande wa Tanzania korona ipo, ila si kwa kiwango ambacho team roho mbaya ingependa iwe.
Pia, the pandemic is more about psychology, if the people's mind exaggerates the situation, then you will be in for it. It'll follow you wherever you go. The Tanzania's model is among the best Approach on can take it. People are taught to take the precautions out of panic. As a result the immunity system of the individuals is above average. A bit challenge is to the people who are living with pre existing health issues. But for the rest of the population, the pandemic is not a threat as other countries.
Umetumia vigezo gani kujua/Umejuaje kuwa Tanzania tishio la Corona siyo kubwa kama ilivyo kwa nchi nyingine?
 
unatumia vigezo gani kujua ndani kwako kuna panya??,na hujawahi kumuona??
Unalinganisha uwepo wa panya ndani na uwepo wa Corona katika nchi?Upo serious?Kama hufuatilii,hufanyi vipimo,huweki record za watu wanaokufa katika mahospitali utajuaje kama Corona ipo?
 
Unalinganisha uwepo wa panya ndani na uwepo wa Corona katika nchi?Upo serious?Kama hufuatilii,hufanyi vipimo,huweki record za watu wanaokufa katika mahospitali utajuaje kama Corona ipo?
lengo langu utumie akili sawa sawa.

corona inahitaji vipimo kuijua!!!au hujiui sawa sawa!!!
 
Tanzania Corona ipo au haipo?

Korona ipo dunia nzima.
Kwa upande wa Tanzania korona ipo, ila si kwa kiwango ambacho team roho mbaya ingependa iwe.
Pia, the pandemic is more about psychology, if the people's mind exaggerates the situation, then you will be in for it. It'll follow you wherever you go. The Tanzania's model is among the best Approach on can take it. People are taught to take the precautions out of panic. As a result the immunity system of the individuals is above average. A bit challenge is to the people who are living with pre existing health issues. But for the rest of the population, the pandemic is not a threat as other countries.
 
Umetumia vigezo gani kujua/Umejuaje kuwa Tanzania tishio la Corona siyo kubwa kama ilivyo kwa nchi nyingine?

Binafsi nikiongea na ndg zangu, marafiki na jamaa hawaongelei kuhusu kifo, kuuguza au wenyewe kuumwa. Hivyo hali ni kawaida. Lkn pia nina marafiki wataalam wa clinical issues. Nao nikiwauliza wanasema for a couple of weeks, there were no serious cases reported.
Hiyo ni slight observation of me.
 
lengo la kipimo sio kujua idadi ya wagonjwa.ni kuona ugonjwa kwa aliyeonyesha dalili.
Unaelewa kuwa mtu anaweza kuwa na virusi vya Corona na wala asionyeshe dalili yoyote ile hadi anapona?Unaelewa kuwa mtu kama huyu anaweza kuambukiza watu maelfu na mamia kati yao wakafa?Unaelewa kuwa ni muhimu kupima kila mtu ili kugundua watu kama hawa ambao wana virusi vya Corona lakini hawaonyeshi dalili yoyote ile ili watu wa namna hii wachukue hatua wasiambukize watu wengine?
 
Back
Top Bottom