Wakenya walinunua hisa za Safaricom hadi wakapitiliza, WaTz wanabembelezwa na Vodacom wanunue

Wakenya walinunua hisa za Safaricom hadi wakapitiliza, WaTz wanabembelezwa na Vodacom wanunue

Mbona hamsemi kuhusu hisa za Kenya airways kumilikiwa kwa kiwango kikubwa na kampuni ya mtanzania... Watanzania ni investors wazuri wakiamua lakini ni watu makini sana kuinvest katika nchi yao hasa kutokana na mfumo mbovu wa kisiasa uliopo nchini Tanzania endapo utawekeza kwa kiwango kikubwa unaanza kuchunguzwa chunguzwa Mwisho wa siku unafilisiwa Mali yako
Ni bora kuinvest nje ya Tanzania kama Kenya na Kwingineko kuliko Tanzania.
 
Mkiambiwa kuna tofauti kubwa kati yetu manakataa, mnabisha na kutukana. Mkenya akiona fursa, huifuata kwa nia, akili, uwezo na nguvu zote, lakini Mtanzania anaishia kununa na kuwa mwoga mwoga kwa kila hatua, anaishia kuwa na maneno mengiiiiiii.

Vodacom ya Tanzania walitangaza uuzaji wa hisa, naona kwenye taarifa hadi wameongeza muda wa makataa/deadline yao ili walau wapate Watanzania watakaonunua hadi ziishe. Wakati nakumbuka kipindi Safaricom walitangaza hisa zao, Wakenya walipitiliza kwa asilimia 532%

Halafu ukizingatia hisa za Safaricom zilikua zaidi ya maradufu ya hizo mnazouziwa na Vodacom.

Hebu muachie Wakenya hizo za Vodacom huko, muone tutakavyotiririka na kuzifagia asubuhi kabla saa nne muda wa chai.

Adviser rules out Vodacom Tanzania oversubscription

UPDATE 2-Kenya's Safaricom IPO oversubscribed by 532 pct
Hii IPO ya voda ingetangazwa kipindi cha Kikwete ungeshangaa.
Besides, Tanzanians have many options. Kuna Tigo na Airtel zinakuja. Nyie Safarricom is like the only telcom operator huko (other companies ni wasindikizaji tu). Partly explains the enthusiasm.
I hope they lock you out pia kwenye all primary sales of shares (other telcos and mining companies). Mfunguliwe tu kwenye secondary sales.
 
Hii IPO ya voda ingetangazwa kipindi cha Kikwete ungeshangaa.
Besides, Tanzanians have many options. Kuna Tigo na Airtel zinakuja. Nyie Safarricom is like the only telcom operator huko (other companies ni wasindikizaji tu). Partly explains the enthusiasm.
I hope they lock you out pia kwenye all primary sales of shares (other telcos and mining companies). Mfunguliwe tu kwenye secondary sales.

Hivyo vyote ni vijisababu vya kiujamaa, mara eti ingekua wakati wa Kikwete, mara Safaricom ndio mtandao pekee Kenya, mara mvua imenyesha sana.....uzembe mtupu. Mfungulie hiyo Voda muone kama tutakua na hivyo vijisababu vya Waswahili, tunafagia zote na kupitiliza, haijalishi kama kuna mitandao minigne Tanzania, haijalishi kama ni Kikwete au JPM, haijalishi nini wala nini, unawekeza kwa kwenda mbele.
 
Hivyo vyote ni vijisababu vya kiujamaa, mara eti ingekua wakati wa Kikwete, mara Safaricom ndio mtandao pekee Kenya, mara mvua imenyesha sana.....uzembe mtupu. Mfungulie hiyo Voda muone kama tutakua na hivyo vijisababu vya Waswahili, tunafagia zote na kupitiliza, haijalishi kama kuna mitandao minigne Tanzania, haijalishi kama ni Kiwkete au JPM, haijalishi nini wala nini, unawekeza kwa kwenda mbele.
Mbwa nyie mjifunze kununua unga kwanza badala ya hisa...
 
Kwani kenya kuna magufuli na akili kama hizo who knows vodacom watatumbuliwa c unajua sijaribiwi....people r fools
 
Ndugu zetu hawa walikaririshwa mambo ya ujamaa kwa miaka yote hii na athari zake zimegoma kuwatoka, wanashuku na kununia kila kitu.
Kwa hisani ya ujirani, unaweza kutuambia dividend ilikuwa ksh. ngapi mkuu!??

Tuone na tuoanishe usikute fixed deposit ikawa inalipa kuliko kujitwisha mzigo wa kumiliki kampuni inayokutia hasara.
Nasubiri jibu kwa hamu kubwa.
 
Mkiambiwa kuna tofauti kubwa kati yetu manakataa, mnabisha na kutukana. Mkenya akiona fursa, huifuata kwa nia, akili, uwezo na nguvu zote, lakini Mtanzania anaishia kununa na kuwa mwoga mwoga kwa kila hatua, anaishia kuwa na maneno mengiiiiiii.
Ndugu haya mambo kwetu bado mno, bado tunaamini mti kulia au waajabu, bado twaua albino tupate utajiri, bado mitaani kuna kina manyau nyau, bado twavaa hirizi, bado tukiumwa tunaenda kwa sangoma, elimu yetu ya kuandika na kusoma haitoshi, bado watu wanatetea vyeti feki na njia mkato, kazi ipo raia kuelemishwa, tuko nyuma mno aise, na sijuwi kama tutafika kama hatutabadilika. Hizi hisa waelimishwe sio faida sasa au papu kwa papo, unawekeza kwa miaka ijayo mpaka kumi labda, kwa kazazi chako na sio wewe, inakuwa na faida kuwekeza Vodacom Tanzania kuliko benki, riba za benki ni ndogo mno, labda raia hela hawana,au labda ni uzuzu tu..
 
Wapinzani walikuwepo tena sana Safcom ilipoamua kuuza hisa zake. Na kila mtu alialikua kununua hisa hata kama hakua subscriber wa Safcom.

Kulikuwa na Orange, Zain na Yu.
Tutajie gawiwo (dividend) ya Safaricom ni ksh. ngapi?
Nijipime laki mbili yangu nikiiwekeza huko italipa kuliko nikilima heka kumi za nyanya.

(najua kwenyu hamko na ardhi)
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1]
Wakenya wamejenga nchi yao
Lakin ukabila haupungui
Bali unazd kupanda
Wewe waufahamu mnara wa babeli kweeeeeeeliii! Ukabila wetu wakenya ni 'overated'. Tungekuwa tumesambaratika kikabila vile unavyohoji, basi haya mafanikio tumeyapata kama taifa yangekuwa ni histotria tuu? Tungekuwa tushaa poromoka kama huo mnara. Licha ya hayo, bado tunajizatiti kusonga mbele. Na Nia bado ipo! Tena kwa sanaaaa.......
 
Kwa hisani ya ujirani, unaweza kutuambia dividend ilikuwa ksh. ngapi mkuu!??

Tuone na tuoanishe usikute fixed deposit ikawa inalipa kuliko kujitwisha mzigo wa kumiliki kampuni inayokutia hasara.
Nasubiri jibu kwa hamu kubwa.
Mswali kama hayo ya fixed deposit unawapasiwa vichwa, hawana majibu.
 
Wakenya bwana, njaa inawauma wee ndio maana mnaamua kuja kupozza njaa Jf.Kanunueni vibaba vya unga kwanza ndio mje kupiga porojo uchwara umu.
 
Si mlete hizo hisa zenu za vodafone hapa muone vile ziakuwa oversubscribed.
 
Ukweli ni kwamba Bado mentality ya ujamaa inatusumbua sana na itatoka ila si kwa kizazi hiki tulichopo sisi.
 
Back
Top Bottom