Wakenya walinunua hisa za Safaricom hadi wakapitiliza, WaTz wanabembelezwa na Vodacom wanunue

Wakenya walinunua hisa za Safaricom hadi wakapitiliza, WaTz wanabembelezwa na Vodacom wanunue

Ndugu haya mambo kwetu bado mno, bado tunaamini mti kulia au waajabu, bado twaua albino tupate utajiri, bado mitaani kuna kina manyau nyau, bado twavaa hirizi, bado tukiumwa tunaenda kwa sangoma, elimu yetu ya kuandika na kusoma haitoshi, bado watu wanatetea vyeti feki na njia mkato, kazi ipo raia kuelemishwa, tuko nyuma mno aise, na sijuwi kama tutafika kama hatutabadilika. Hizi hisa waelimishwe sio faida sasa au papu kwa papo, unawekeza kwa miaka ijayo mpaka kumi labda, kwa kazazi chako na sio wewe, inakuwa na faida kuwekeza Vodacom Tanzania kuliko benki, riba za benki ni ndogo mno, labda raia hela hawana,au labda ni uzuzu tu..

Unaongea upuuzi mtupu, wewe umenunua hisa hizo au unapigia watu kelele tu.
 
Tangia lini tena tunafananishana as long as policy za nchi zinatofautiana! Tunashea jina shillingi lakini pesa zetu hazifanani, kama hisa kwenu ni biashara iliyojuu, umewahi kuchunguza ya Tanzania? And also is Safaricom related to Vodacom in any business matters?
 
Hapana hausemi ukweli,hisa za safaricom nakumbuka EAC nzima iliruhusiwa kununua(kutoa tz sababu our BOP was not free)

Sasa hii Vodacom ni kwa ajili ya locals tu.Get your facts right.

Halafu hujui kitu kuhusu stock market ya tz,mbona NMB mwaka 2008 was oversubscribed?
 
Mkiambiwa kuna tofauti kubwa kati yetu manakataa, mnabisha na kutukana. Mkenya akiona fursa, huifuata kwa nia, akili, uwezo na nguvu zote, lakini Mtanzania anaishia kununa na kuwa mwoga mwoga kwa kila hatua, anaishia kuwa na maneno mengiiiiiii.

Vodacom ya Tanzania walitangaza uuzaji wa hisa, naona kwenye taarifa hadi wameongeza muda wa makataa/deadline yao ili walau wapate Watanzania watakaonunua hadi ziishe. Wakati nakumbuka kipindi Safaricom walitangaza hisa zao, Wakenya walipitiliza kwa asilimia 532%

Halafu ukizingatia hisa za Safaricom zilikua zaidi ya maradufu ya hizo mnazouziwa na Vodacom.

Hebu muachie Wakenya hizo za Vodacom huko, muone tutakavyotiririka na kuzifagia asubuhi kabla saa nne muda wa chai.

Adviser rules out Vodacom Tanzania oversubscription

UPDATE 2-Kenya's Safaricom IPO oversubscribed by 532 pct
Umetumwa uje kuwafanyia promo?
Waambie wakuuzie
 
Mkuu katuambia kuna kiama kinakuja kwenye makampuni ya simu, sasa unataka tuvamie kununua hisa kwenye hayo makampuni? Si kila mwaka yatatangaza hasara.
 
Mkuu katuambia kuna kiama kinakuja kwenye makampuni ya simu, sasa unataka tuvamie kununua hisa kwenye hayo makampuni? Si kila mwaka yatatangaza hasara.

Hehehe! Hayo matamko ndio tatizo.
 
Safaricom ni cash cow lazima kuchangamkia hisa zake. Ksh 48 billion net profit siyo mchezo.
 
DSE ina kampuni kibao why wote twende voda, nyie angalieni hisa za safari com tu msilime mahindi mtakula cement mwaka huu, na uchaguzi wenu lazima mproduce wakimbizi. huku njaa kule alshababu huko kimenuka! nashangaa wanaowekeza Kenya, bora ukae na ela yako mkononi
 
DSE ina kampuni kibao why wote twende voda, nyie angalieni hisa za safari com tu msilime mahindi mtakula cement mwaka huu, na uchaguzi wenu lazima mproduce wakimbizi. huku njaa kule alshababu huko kimenuka! nashangaa wanaowekeza Kenya, bora ukae na ela yako mkononi
nimecheka sana wambie hao wadogo zetu kenya
 
Nafkir safaricom hisa zao
Zlichangamkiwa sana
Kwa sababu ya kuwa na
Wateja weng wa huu mtandao
Safaricom ndo imebeba kenya
Nzima kwa mtandao na hawana mpinzan yan


Tofaut na Tanzania ambako
Vodacom ana upinzan mkubwa sana kama uhuru na raila Vodacom anashindana
Na kampuniy 4

Sasa mtu kwenda kununua
Hizo hisa lazma ajifkirie mara 2,mbili pengine anahofia
Kampuniy icje ikaanguka kwa
Upinzan uliopo tz
Risk takers ndio huwa wenye mafanikio. Sasa wewe unataka uwekeze sehemu isiyokuwa na ushindani!

Tena kampuni ya vodacom ndio nilitegemea watz wengi wanunue share zote kwa sababu ndiyo kampuni yenye umri mkubwa baada ya ttcl na performance yake ni juu ya zote zinazosubiriwa kuuza share zao.

Kuwekeza ni tabia na inahitaji ujasiri sana. Nadhani wachagga na Wahaya ndio watakuwa wamenunua kwa wingi share.
 
A true Kenya will be built real Kanyans, likewise a true Tanzania will be built by Tanzanians. Ndo maana huwa sipendi kucomment juu ya mambo ya nchi nyingine!!!
 
Back
Top Bottom