Wakenya walinunua hisa za Safaricom hadi wakapitiliza, WaTz wanabembelezwa na Vodacom wanunue

Wakenya walinunua hisa za Safaricom hadi wakapitiliza, WaTz wanabembelezwa na Vodacom wanunue

Mkiambiwa kuna tofauti kubwa kati yetu manakataa, mnabisha na kutukana. Mkenya akiona fursa, huifuata kwa nia, akili, uwezo na nguvu zote, lakini Mtanzania anaishia kununa na kuwa mwoga mwoga kwa kila hatua, anaishia kuwa na maneno mengiiiiiii.

Vodacom ya Tanzania walitangaza uuzaji wa hisa, naona kwenye taarifa hadi wameongeza muda wa makataa/deadline yao ili walau wapate Watanzania watakaonunua hadi ziishe. Wakati nakumbuka kipindi Safaricom walitangaza hisa zao, Wakenya walipitiliza kwa asilimia 532%

Halafu ukizingatia hisa za Safaricom zilikua zaidi ya maradufu ya hizo mnazouziwa na Vodacom.

Hebu muachie Wakenya hizo za Vodacom huko, muone tutakavyotiririka na kuzifagia asubuhi kabla saa nne muda wa chai.

Adviser rules out Vodacom Tanzania oversubscription

UPDATE 2-Kenya's Safaricom IPO oversubscribed by 532 pct
Hivi kwa nini kila kitu unataka kulinganisha kenya yenu na Tz?? Nchi zingine hamna?? Mbona mna hofu sana??
 
Safaricom ni ya wakenya. Vodacom ni ya South Africa
 
Ndugu zetu hawa walikaririshwa mambo ya ujamaa kwa miaka yote hii na athari zake zimegoma kuwatoka, wanashuku na kununia kila kitu.
Kwenye huu uchumi wa Dereva wa Lori hautabiriki lazima tuwe makini.
 
Kuna sababu nyingi zimechangia kwa hisa za Vodacom hazijanunuliwa kwa wingi:
1. Mwamko wa watanzania kwenye financial market ni mdogo.
2. Financial statements za Vodacom hazijaridhisha wengi. Kuna vitu havijakaa sawa.
3. Ushindani wa Vodacom na makampuni mengine ya simu ni mkubwa sana. Makampuni hayo yamegawana wateja sawa.
4. Ukata wa watanzania kwa sasa ni mkubwa. Jpm amefungia hela BOT. Purchasing power ya watanzania wengi kwa sasa imeshuka sana. Labda ungekuwa wakati wa JK.
5. Kuna IPO's nyingi zinakuja. Wengine wanasubiri waone financial statements za hayo makampuni zitashawishi vipi.

Safaricom ni dominant company kwenye telecom sector kwa Kenya. Huwezi linganisha na telecom moja ya Tanzania.
Nimependa majibu yako. Statements kama hizi
Halafu ukizingatia hisa za Safaricom zilikua zaidi ya maradufu ya hizo mnazouziwa na Vodacom.
zilinifanya nifikirie mara mbili mbili uelewa wa mtoa mada kuhusu masuala ya hisa
 
MK254 wabongo tuache tu ,mahela yetu kuwaachia watu imekuwa tabu siku hizi hawachelewi kuzibadikishia title watu wamelimwa fao la kujitoa kuna wahanga wa majanga ya asili -pesa za msaada hazikueleweka na runours za rambirambi .
Kwa mambo yaliyopo kila mtu afe na fedha yake nikishindwa kuinvest naitia mtungini na kuifukia shambani kwangu juu yake napanda mbuyu!
 
Safaricom ni ya waingereza (Vodafone) na South Africa (Vodacom) wakenya wachache na serikali yao wanavishea kidogo.

Lol! Safaricom biggest owners ni ya Wakenya.
Government - 35%
Free float (Kenyans through IPO) - 25%
Total - 60%.

Vodaphone na Vodacom zinaown the other 40%.

Na sio wakenya wachache. Hundreds of thousands.
 
DSE ina kampuni kibao why wote twende voda, nyie angalieni hisa za safari com tu msilime mahindi mtakula cement mwaka huu, na uchaguzi wenu lazima mproduce wakimbizi. huku njaa kule alshababu huko kimenuka! nashangaa wanaowekeza Kenya, bora ukae na ela yako mkononi

And still we're greater than you. You're just a bitter Bongo lala. With all our problems we continue to prosper.
Na by the way, DSE cannot even come close to NSE.
Hapa Nairobi twanunua hisa zote bila kubagua.
 
Kuna sababu nyingi zimechangia kwa hisa za Vodacom hazijanunuliwa kwa wingi:
1. Mwamko wa watanzania kwenye financial market ni mdogo.
2. Financial statements za Vodacom hazijaridhisha wengi. Kuna vitu havijakaa sawa.
3. Ushindani wa Vodacom na makampuni mengine ya simu ni mkubwa sana. Makampuni hayo yamegawana wateja sawa.
4. Ukata wa watanzania kwa sasa ni mkubwa. Jpm amefungia hela BOT. Purchasing power ya watanzania wengi kwa sasa imeshuka sana. Labda ungekuwa wakati wa JK.
5. Kuna IPO's nyingi zinakuja. Wengine wanasubiri waone financial statements za hayo makampuni zitashawishi vipi.

Safaricom ni dominant company kwenye telecom sector kwa Kenya. Huwezi linganisha na telecom moja ya Tanzania.
Hiyo namba nne ndiyo sababu ilinifanya nisinunue!! Ila next time i will!
 
Hapana hausemi ukweli,hisa za safaricom nakumbuka EAC nzima iliruhusiwa kununua(kutoa tz sababu our BOP was not free)

Sasa hii Vodacom ni kwa ajili ya locals tu.Get your facts right.

Halafu hujui kitu kuhusu stock market ya tz,mbona NMB mwaka 2008 was oversubscribed?

Get your facts right too.
Though Safaricom shares were open for the whole East Africa, more than 95% of the money came from Kenya.
Nyie Tanzania kama nakumbuka mlishindwa hata na Uganda.
 
Lol! Safaricom biggest owners ni ya Wakenya.
Government - 35%
Free float (Kenyans through IPO) - 25%
Total - 60%.

Vodaphone na Vodacom zinaown the other 40%.

Na sio wakenya wachache. Hundreds of thousands.
Hizo share za wakenya zimegawayika kwa either individual or some institutions. Lakini nani ana more voting rights. Wakenya au Vodafone/vodacom??
 
Hivyo vyote ni vijisababu vya kiujamaa, mara eti ingekua wakati wa Kikwete, mara Safaricom ndio mtandao pekee Kenya, mara mvua imenyesha sana.....uzembe mtupu. Mfungulie hiyo Voda muone kama tutakua na hivyo vijisababu vya Waswahili, tunafagia zote na kupitiliza, haijalishi kama kuna mitandao minigne Tanzania, haijalishi kama ni Kikwete au JPM, haijalishi nini wala nini, unawekeza kwa kwenda mbele.
You must be a stupid and reckless investor.
Utanunuaje hisa bila kuangalia books na potential growth? Or you just own for the sake of owning ili uonekane umemiliki hisa? Fuatilia hisa za CRDB, precision air zilipotoka na zilipo sasa.
Do you even know financial market besides coding?
I suggest you find someone good in financial market to give you ABC's.
 
wakenya wanafatilia sana masuala ya tanzania kuliko wanavyo fatilia masuala ya nchini kwao.[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Get your facts right too.
Though Safaricom shares were open for the whole East Africa, more than 95% of the money came from Kenya.
Nyie Tanzania kama nakumbuka mlishindwa hata na Uganda.
Tanzanians hatukununua sheria ilikua hairuhusu.vp unaweza weka ushahidi hapa kua 95% ilitoka kenya?
 
Huwezi linganisha upinzani wa Orange na Yu na Zain na wa Vodacom na Tigo na Airtel each having around 28% market share whereas Safaricom has 78% market share! U must be a biig idiot...

TCRA declares Tigo the fastest growing telco in Tanzania
graph-800x600.jpg

Tigo Tanzania has become the second largest player in the Tanzanian telecom market with the highest growth rate, recent statistics by the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) have revealed.

The statistics detailing the ‘Performance in Tanzania’s Telecom Industry’ and recently released online by the authority for the trading period ending 2015 show that for the past two years, Tigo has recorded the fastest growth rate among other telecoms in the country.

TCRA statistics show that, out of the 6.7 million total industry growth, Tigo grew by 2.5 million which is equivalent to 37 percent, or in two years from 11.4 million, Tigo scooped 4.8 million which is equivalent to 42 percent, the highest growth rate in the telecom sector.

Under the trading period ending 2015, Tigo increased its traffic by 2.3 billion minutes while its total market grew by 2.8 billion, compared to Vodacom which dropped by 1.5 billion while Airtel grew by 1.5 billion. Tigo’s meteoric rise gave it 28% percent market share with its subscriber base rising to 11,115,991, effectively beating Airtel to the second position.

Airtel was relegated to the third position with a similar percentage market share but with 68,486 less than Tigo’s subscription numbers.

Tigo now is breathing down the neck of Vodacom that leads the pack with 32% market share, a drop from 45% that it recorded in December 2005-with 12,714,297 subscribers, according to TCRA figures.

Speaking on Tigo’s surge in growth, Tigo’s General Manager, Diego Gutierrez told this paper that the main drivers of the growth included innovation, digital financial initiatives, mammoth investments, and the launch of 4G LTE, the country’s fastest mobile internet connection and extensive network expansion.

Others, he outlined, are digital inclusion initiatives which include free access to the social media - Facebook in Kiswahili, Smartphone with menu in Kiswahili, free WhatsApp messaging application service.

On Tigo investment, Gutierrez said they have been investing about US $ 2 million per week mainly on network infrastructure, quality improvement and roll out of new sites. Closeness to the customers, Tigo has over 50 customer care shops countrywide, by far the biggest number in the industry and extensive network of 50,000 mobile money agents.

TCRA declares Tigo the fastest growing telco in Tanzania | Tigo Tanzania
Nami nasubiri Tigo wakisajiri kwaajili ya public shareholders namimi nitanunua hizo visa, ila voda machale yanichezacheza sijui why wacha tuone mliozinunua hizo share zenu...
 
Tanzanians hatukununua sheria ilikua hairuhusu.vp unaweza weka ushahidi hapa kua 95% ilitoka kenya?
Ni vigumu kupata link so many years later. But nakumbuka news wakati huo. The government had allocated 20% of the shares on offer to foreigners, but it turned out Kenyans had much more interest. 800,000+ individual Kenyans put money. Kuna wengi walirudishiwa pesa juu ya oversubscription, but from the 500% oversubscription, more than 95% was Kenyan money.
 
You must be a stupid and reckless investor.
Utanunuaje hisa bila kuangalia books na potential growth? Or you just own for the sake of owning ili uonekane umemiliki hisa? Fuatilia hisa za CRDB, precision air zilipotoka na zilipo sasa.
Do you even know financial market besides coding?
I suggest you find someone good in financial market to give you ABC's.

Come on. Unless you are investing billions, no one looks at the books.
Na usitudanganye hio ndio sababu Tanzania hamjachangamkia hizi shares za Vodacom. I doubt even 1% of Tanzanians can read and understand financial statements of a big company.
 
Hizo share za wakenya zimegawayika kwa either individual or some institutions. Lakini nani ana more voting rights. Wakenya au Vodafone/vodacom??

Vodaphone did some re-organization with Vodacom, transferring 35% of their shares to the South Africans.
So saa hii, Vodacom is the single largest shareholder with 35%. Meaning most decisions will be made by them. But GOK still has seats in the board.
But trust me most of the board decisions must be pro-government. They can't dare piss them off.
Mfano:
1. Contract ya security cameras together with 4G license worth tens of billions was given to Saf.
2. A few years ago, the government and banks was exploring ways to regulate Mpesa. This threat can come back any time.
3. As of this moment, there's a big discussion on whether to split Mpesa from Safaricom since it has become too big. If Safaricom loses GOK goodwill, this can happen easily and Safaricom's mobile money monopoly will be over.
 
Come on. Unless you are investing billions, no one looks at the books.
Na usitudanganye hio ndio sababu Tanzania hamjachangamkia hizi shares za Vodacom. I doubt even 1% of Tanzanians can read and understand financial statements of a big company.

Largest investors are the ones who buy and sell millions and billions of shares.

Mtu anataka kusema kuwa mtu anaetaka kununua share 10,000,000 haangalii books?

Labda huyo ni investor wa kijijini kwenu.

If you can't read books, it's not your fault.

Na usije kununua share kwa sababu media imetangaza, utaumia vibaya sana.
 
Vodaphone did some re-organization with Vodacom, transferring 35% of their shares to the South Africans.
So saa hii, Vodacom is the single largest shareholder with 35%. Meaning most decisions will be made by them. But GOK still has seats in the board.
But trust me most of the board decisions must be pro-government. They can't dare piss them off.
Mfano:
1. Contract ya security cameras together with 4G license worth tens of billions was given to Saf.
2. A few years ago, the government and banks was exploring ways to regulate Mpesa. This threat can come back any time.
3. As of this moment, there's a big discussion on whether to split Mpesa from Safaricom since it has become too big. If Safaricom loses GOK goodwill, this can happen easily and Safaricom's mobile money monopoly will be over.
This is what I was telling, even though GOK has a seat on board but Vodafone/Vodacom holds the last card. Ukumbuke those two companies are sisters, when Vodafone UK offload her shares to vodacom SA, it was like taking the money from left pocket, putting on right pocket.
Of course safaricom can't make huge decision without evolving GOK, mind you, safaricom wakitaka kufanya kitu hawaendi kwa serikali kama partner, no, they go there as they go to see a regulator. GOK regulate companies which operates under its jurisdiction. But all in all, Vodacom SA holds the gavel.
 
Back
Top Bottom