Wakenya wamemuuliza obama kwa nini hajatembelea kenya

Wakenya wamemuuliza obama kwa nini hajatembelea kenya

Kenyans invested heavily on Obama re-election..hana fadhila ..anapaswa "kurudisha mkono" kwa Wakenya

Mlijipendekeza wenyewe kuwekeza kwenye kampeni yake halafu mkachagua watuhumiwa wa uhalifu...mlikuwa mnategemea nini? Wajinga kabisa nyie.
 
huwezi linganisha Mkenya na Mtanzania..Kenyans wamepevuka ..hawasubiri maembe yandondoke kutoka mtini ..

Waliopevuka wana-declare public holiday kwa uchaguzi wa rais wa taifa jingine? Wamarekani wenyewe hawaku-declare public holiday Nov. 7, 2008. Nyie kiherehere chenu cha nini?

Badala ya kuchapa kazi kujenga hicho kitaifa chenu cha ulimwengu wa tatu eti mnaitisha siku ya mapumziko kusherehekea uchaguzi wa rais wa Marekani.

Nyinyi ni wababaikaji, washobokaji, na washamba wa kutupwa.

Mngekuwa mmepevuka mngelialia eti haji kuwatembelea? Mmechagua mijitu yenye tuhuma za uhalifu halafu mnategemea mkubalike katika jumuiya ya kimataifa?

Kama hamsubiri maembe yadondoke toka mtini basi fungeni madomo yenu na endeleeni kuchapa kazi na siyo kulialia kuhusu Obama kutokuja kuwatembelea. Kwani hata angekuja kungebadilika nini?
 
wakenya sio wajinga!!!!!...... hawawezi kusaini mikataba kirejareja kama wanazi wa Tz

kama U.K wanaitii u.s.a,,iran nao mbwembwe zinaisha,sembuse kenya,,wasingekuwa wajinga they could have been like Angola,Botswanna,Libya and the likes,but where are they,no where a difference of 10 us billion dollar can be overseen period
 
Waliopevuka wana-declare public holiday kwa uchaguzi wa rais wa taifa jingine? Wamarekani wenyewe hawaku-declare public holiday Nov. 7, 2008. Nyie kiherehere chenu cha nini?

Badala ya kuchapa kazi kujenga hicho kitaifa chenu cha ulimwengu wa tatu eti mnaitisha siku ya mapumziko kusherehekea uchaguzi wa rais wa Marekani.

Nyinyi ni wababaikaji, washobokaji, na washamba wa kutupwa.

Mngekuwa mmepevuka mngelialia eti haji kuwatembelea? Mmechagua mijitu yenye tuhuma za uhalifu halafu mnategemea mkubalike katika jumuiya ya kimataifa?

Kama hamsubiri maembe yadondoke toka mtini basi fungeni madomo yenu na endeleeni kuchapa kazi na siyo kulialia kuhusu Obama kutokuja kuwatembelea. Kwani hata angekuja kungebadilika nini?

una ubishi wa kipumbavu ...you are not worth my reasoning ..wacha Obama aje! Tanzania angalua hadhi "ipande"
 
Nyi endeleeni kuchonga tu, ama ni chapati imekaliwa alafu mkapewa mkule??!
 
Leo kaulizwa tena swali hilo hilo kwenye press conference yake na rais Zuma.

Kajibu kwamba sababu ni matatizo ya Kenya na ICC. Kwahiyo asingeliweza kwenda wakati bado kuna matatizo kati ya serikali ya Kenya na ICC.

Kasema uhusano wake binafsi na Kenya ni mkubwa, kawa kenya mara nyingi huko nyuma na ataenda tena kenya huko siku za mbeleni.

Nafikiri mpaka kesi ya Kenyata na Rutto iishe, wameshaamua hatakanyaga kenya akiwa kama rais.
 
Kenyans invested heavily on Obama re-election..hana fadhila ..anapaswa "kurudisha mkono" kwa Wakenya
Stop! Did you vote for Obama 2012? Mention any Kenyan's organization run adds for Obama? How many of you Kenyans qualify to vote In the US? Stop talking s**t, You guys don't own Obama, You guys didn't do $hit on his life than a sperm donor
 
Leo kaulizwa tena swali hilo hilo kwenye press conference yake na rais Zuma.

Kajibu kwamba sababu ni matatizo ya Kenya na ICC. Kwahiyo asingeliweza kwenda wakati bado kuna matatizo kati ya serikali ya Kenya na ICC.

Kasema uhusano wake binafsi na Kenya ni mkubwa, kawa kenya mara nyingi huko nyuma na ataenda tena kenya huko siku za mbeleni.

Nafikiri mpaka kesi ya Kenyata na Rutto iishe, wameshaamua hatakanyaga kenya akiwa kama rais.

Obama nahisi kama akienda Kenya akiwa rais basi itakuwa mwaka 2016 akiwa lame-duck president. Kwa sababu by then uwezekano wa kesi ya ICC kuwa imemalizika ni mkubwa na pia akiwa lame-duck president hatawapa wapinzani wake sababu za kutosha kumkosoa.
 
Ndiyo, ni wajinga wa kutupwa kabisa!

Niulize kwa nini?[/Q huwezi linganisha Mkenya na Mtanzania..Kenyans wamepevuka ..hawasubiri maembe yandondoke kutoka mtini ..
Nimesoma na wakenya wengi sana UK na US, wengi wao niliwasaidia kimasomo sana, sasa hivi they work for me. Kuna wakenya wanaishi Ulaya kwa miaka kadhaaa, lakini ngozi zao zimepauka kama Mamba, vikwapa vimevunda na nguo zao skin tight kama homosex. Wakenya wlikuwa na Restaurant pale DC, ujanja ujanja na kukosa akili ikafungiwa kwa uchafu, Kuna vidada vyenu US na UK kazi zao ni Strippers na escorts.
 
[h=1]Obama says may visit Kenya as President[/h][h=2][/h]

[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]South African President Jacob Zuma (left) and US President Barack Obama leave following a joint press conference at the Union Building in Pretoria, on June 29, 2013. President Obama has promised to visit Kenya before the end of his presidency. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]


NAIROBI, KENYA: President Barack Obama on Saturday said impending cases facing Kenya's top leadership at the International Criminal Court (ICC) was a factor he probably did not visit Kenya in his Africa tour.


He however said he has another three and a half years in office and might visit the country still as President of America.
"It is commendable that Kenyans had a peaceful elections that did not result in any violence as witnessed in 2007, it is not the best time for me as president of America to visit Kenya though, Kenya's administration still has issues to manage at the International Criminal Court,' he said.
"But I still have some three and a half years in the office and might visit the country, I have special attachment to Kenya as you all know," he said.
Explaining why he settled on Senegal, South Africa and Tanzania in his second visit to Africa, Obama said US had initiated projects in countries such as South Africa which called for close monitoring. This is the second trip Obama is making to South Africa as President of United States of America.
Responding to satellite questions from Kenyans in Nairobi on any foreign policy shift from his adminstration following Kenya's growing close trade ties with China and other countries from the East. Obama said Kenya was free to trade with anybody provided the relationship was symbiotic.
"I want to clarify that my visit to Africa is not related to China growing influence in Africa, Africa is the next big thing and everybody is encouraged to invest in the continent but any kind of trade should benefit the people of Africa," he said in Soweto on Saturday.
"If somebdy is coming to construct roads in Africa, let Africans benefit in terms of offering labour ans etc, we dont want to see Africa just as the producer of raw materials yet somebody is pocketing the money," he said.
He said his administration was committed to empowering youth and small business to create job opportunities in the continent. "We are committed to uplifting small businesses, and I am hopeful that incentives such as the Africa Growth and Opportunity Act ( AGOA) will be renewed upon expiry to enable Africa easily trade with the US," he said.
AGOA provides reforming African countries with the most liberal access to the lucrative US market, an offer that is available to countries or region with which the United States does not have a Free Trade Agreement.
Under the Act, tangible incentives are offered to encourage African countries open their economies.

Source: The Standard Kenya

 
Nimesoma na wakenya wengi sana UK na US, wengi wao niliwasaidia kimasomo sana, sasa hivi they work for me. Kuna wakenya wanaishi Ulaya kwa miaka kadhaaa, lakini ngozi zao zimepauka kama Mamba, vikwapa vimevunda na nguo zao skin tight kama homosex. Wakenya wlikuwa na Restaurant pale DC, ujanja ujanja na kukosa akili ikafungiwa kwa uchafu, Kuna vidada vyenu US na UK kazi zao ni Strippers na escorts.

they work for you on your dreams ..I had never seen a Kenyan working for a Tanzanian ..hamna jipya ila madaktari wa kienyeji na waganga watajika kule Kenya ..
 
WEWE ndio mjinga kupindukia Obama ana manufaa gani kwako ..akija hapa Tanzania utamwona on Tv ..the same way Kenya

Itabidi tujifanyie tathmini siku ambayo Obama amekuja tupoje na anapoondoka pia tutakuwa aje, kukiwa kuna changes katika maisha yetu then nitapenda sana Obama arudi tena maana Watanzania kwa Obama kuja Tanzania tunaona kama ndio suruhisho la matatizo yetu pia tunaona kama nchi zingine hazina cha kumshawishi kufika huko, just a matter of probability tu hapa
 
kama U.K wanaitii u.s.a,,iran nao mbwembwe zinaisha,sembuse kenya,,wasingekuwa wajinga they could have been like Angola,Botswanna,Libya and the likes,but where are they,no where a difference of 10 us billion dollar can be overseen period

A difference of 10b dollars can be overseen in trillion or hundred billion economies - but in 20b economies? lol, that's a ----in 50% of your GDP dude.
 
Back
Top Bottom