MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Baada ya kipigo cha mbwa mwizi kule Nairobi na Tanzania kwenda mbele kwenye kufuzu CHAN, hatimaye leo tena Tanzania imefuzu kucheza fainali baada ya kuifunga timu ngumu ya Uganda na hivyo kucheza na timu ya kawaida ya Kenya kwenye fainali ya CECAFA wanawake, nasema hivi jiandaeni kisaikolojia kabisa.