komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Nionyeshe lini mwisho mmeifungs harambee stars...nifundishe jomba[emoji23][emoji23]Ataelewa tu tumepewa akili nyingi ili kufundisha watu kama hawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nionyeshe lini mwisho mmeifungs harambee stars...nifundishe jomba[emoji23][emoji23]Ataelewa tu tumepewa akili nyingi ili kufundisha watu kama hawa
Kwel kabisa kwanza kontro wako sawaHawa wachezaji wetu wengi wa timu ya wanawake wanastahili kucheza pro leagues za Ulaya.
Kama hamjafungwa mulitoka kwasababu Tanzania ilipata goli la ugenini? Ingekua TZ mmetoka 0-0 harafu Kenya ikawa 1-1 ulikua na haki yakusema maneno hayo ila nadhan ndo tatizo lilelile sugu la wakenya kukosa kujitambua wao ili mradi mtu aandike hata kama pumbaNionyeshe lini mwisho mmeifungs harambee stars...nifundishe jomba[emoji23][emoji23]
Akili yako fupi mnoo,Harambee stars mmeifunga lini mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
Mi nakumbuka mwisho tuliwapiga tatu za kishua...
Mlitufunga nne wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akili yako fupi mnoo,
Tuliwafunga 4 tukasababisha kocha wenu atimuliwe
Mngeshinda basi tungewaona kwenye hii list hapa CHAN 2020: Full list of teams that have qualified
[emoji23][emoji23][emoji23]ukiniletea lini mwisho mmeifunga harambee stars.. unitagKama hamjafungwa mulitoka kwasababu Tanzania ilipata goli la ugenini? Ingekua TZ mmetoka 0-0 harafu Kenya ikawa 1-1 ulikua na haki yakusema maneno hayo ila nadhan ndo tatizo lilelile sugu la wakenya kukosa kujitambua wao ili mradi mtu aandike hata kama pumba
Pitia hapa angalau kidogo ufahamu kidume wa cecafa ni nani 😂😂😂
CECAFA Women's Championship - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Hili kombe halijawahi toka nje ya ardhi ya Tanzania. [emoji106]
Sasa hv inaitwa Spain ya Afrika mashariki
Hizi comparison za kulinganisha taifa lenye nguvu na lenye uwezo wa kufanya chochote la Kenya na kanchi kadogo katanzania hazifai kabisa....mabao ni mawili kwa Kenya,tanzania sufuriEti Spain ya Afrika mashariki na tayari tumewabugiza moja,wabongo hawajawahi tuweka hofu hata kidogo
Hawatarudi humu MSAGA SUMUHizi comparison za kulinganisha taifa lenye nguvu na lenye uwezo wa kufanya chochote la Kenya na kanchi kadogo katanzania hazifai kabisa....mabao ni mawili kwa Kenya,tanzania sufuri
Home and away hawatuwezi bwana.[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1270528
Hizi comparison za kulinganisha taifa lenye nguvu na lenye uwezo wa kufanya chochote la Kenya na kanchi kadogo katanzania hazifai kabisa....mabao ni mawili kwa Kenya,tanzania sufuri
Hawatarudi humu MSAGA SUMU
Kawadanganye wajinga wenzako,Tukipatana na tz mahali popote kwa tournament huanacheka kwa dharau sababu hiyo ni walkover
CECAFA Women's Championship - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Nakueleweshe ili angalau akili yako ifunguke.Baada ya kula kichapo bado unaleta ujuwaji?
Turudi kwenye mada...Kenya 3 - 0 Tanzania 😂😂😂😂😂😂😂😂Kawadanganye wajinga wenzako,
Mwaka huu Tulikutana cosafa cup pale Uganda tukawafunga na kubeba kombe,
Pia hii cecafa tuliwafunga na tukabeba kombe,
Tanzania ndio timu pekee yenye mafanikio kwenye hili kombe kwa kubeba mara mbili mfufulizo.
CECAFA Women's Championship - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Tatu za wapi hizo.Turudi kwenye mada...Kenya 3 - 0 Tanzania 😂😂😂😂😂😂😂😂