Wakenya wana bahati mbaya kweli, leo tena wameangukia mikono katili ya Watanzani kwenye fainali CECAFA

Wakenya wana bahati mbaya kweli, leo tena wameangukia mikono katili ya Watanzani kwenye fainali CECAFA

Naujue football kwetu ni kama maji na mafuta na bado mnakula zenu mbili nyumbani
Kawadanganye wajinga wenzako,
Mwaka huu Tulikutana cosafa cup pale Uganda tukawafunga na kubeba kombe,
Pia hii cecafa tuliwafunga na tukabeba kombe,
Tanzania ndio timu pekee yenye mafanikio kwenye hili kombe kwa kubeba mara mbili mfufulizo.

 
Wapi wale walevi wa kidanganyika ambao wako na world cup kwa mdomo tu....Hii hata tungefungwa mikono bado tungeshinda tuu
Kwani miaka iliyopita mlifungwa midomo mkashindwa kushinda?
 
The truth is a danganyikan is no match for a Kenyan
 
Back
Top Bottom