MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Tamzamia lini mwisho kuishinda kenya, ninavyojua mwisho sisi tuliwagonga tatu...mbili na condom ya tatu mkawachia kavuBaada ya kipigo cha mbwa mwizi kule Nairobi na Tanzania kwenda mbele kwenye kufuzu CHAN, hatimaye leo tena Tanzania imefuzu kucheza fainali baada ya kuifunga timu ngumu ya Uganda na hivyo kucheza na timu ya kawaida ya Kenya kwenye fainali ya cecafa wanawake, nasema hivi jiandaeni kisaikolojia kabisa
Cecafa pale Uganda mwaka huu tuliwafunga tukabeba kombe.Tamzamia lini mwisho kuishinda kenya, ninavyojua mwisho sisi tuliwagonga tatu...mbili na condom ya tatu mkawachia kavu
Bwahahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatuna mipasho sisi...swali rahisi, lini mwisho tanzania kuifunga kenya....Cecafa pale Uganda mwaka huu tuliwafunga tukabeba kombe,
Kufuzu CHAN tuliwagonga 4 tukawatoa mwaka huu,
Usipende sana kucoment ili uonekane na wewe umecoment, jaribu kushirikisha ubongo angalau hata kidogo japokuwa inauma [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hiyo inaitwaje au ni droo au Hukumbuki hiyo mechi ilisababisha kocha wa timu yenu akafungashwa viragoπππGame ninayo ikumbuka mlishinda kw penati
Pitia hapa angalau kidogo ufahamu kidume wa cecafa ni nani πππ[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1270528
Kwa kuongezea kama anajifanya hayawani hakuna timu yeyote toka dunia kuumbwa iliowahi kuchukua ubingwa wa kombe hili Mara 2 zaidi ya Tanzania ndio maana tunawaambia Tanzania ndio Spain ya A. MasharikiSasa hiyo inaitwaje au ni droo au Hukumbuki hiyo mechi ilisababisha kocha wa timu yenu akafungashwa virago[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie mlipotufunga mlienda wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tumewafunga na Tumefuzu CHAN,
Timu yetu ya vijana wadogo mwaka huu pale Uganda walifunga timu yenu tukabeba na kombe,
Pia hili kombe la cecafa Tanzania ni bingwa mara mbili mfufulizo kama hujui.
Huyo jamaa huwa anapenda kujitia hamnazo πππ imebidi nimpe link za Wikipedia,Kwa kuongezea kama anajifanya hayawani hakuna timu yeyote toka dunia kuumbwa iliowahi kuchukua ubingwa wa kombe hili Mara 2 zaidi ya Tanzania ndio maana tunawaambia Tanzania ndio Spain ya A. Mashariki
Ataelewa tu tumepewa akili nyingi ili kufundisha watu kama hawaHuyo jamaa huwa anapenda kujitia hamnazo [emoji23][emoji23][emoji23] imebidi nimpe link za Wikipedia,
Apitie hizi mbili
Women CECAFA Women's Championship - Wikipedia
Men 2019 CECAFA U-20 Championship - Wikipedia
Umemsahau Mama lao Mwanahamisi kule kuna Oppa hapa Dada Stumai mbona watakaa tuDionisia minja ni bonge la mchezaji anapiga vyenga bya kukata Kona magoli matamu Sana
Asha Rashid ana mashuti hatari
Kuna yule Diana ,mwanahawa ,wanapiga soka wale mamanzi daaah Kenya wajiandae
Apitie na hapa πππAtaelewa tu tumepewa akili nyingi ili kufundisha watu kama hawa
Umemsahau Mama lao Mwanahamisi kule kuna Oppa hapa Dada Stumai mbona watakaa tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tanzania mwisho najua walishinda kw penati..Sasa hiyo inaitwaje au ni droo au Hukumbuki hiyo mechi ilisababisha kocha wa timu yenu akafungashwa virago[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie mlipotufunga mlienda wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tumewafunga na Tumefuzu CHAN,
Timu yetu ya vijana wadogo mwaka huu pale Uganda walifunga timu yenu tukabeba na kombe,
Pia hili kombe la cecafa Tanzania ni bingwa mara mbili mfufulizo kama hujui.
Harambee stars mmeifunga lini mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Huyo jamaa huwa anapenda kujitia hamnazo [emoji23][emoji23][emoji23] imebidi nimpe link za Wikipedia,
Apitie hizi mbili
Women CECAFA Women's Championship - Wikipedia
Men 2019 CECAFA U-20 Championship - Wikipedia