Wakenya wana bahati mbaya kweli, leo tena wameangukia mikono katili ya Watanzani kwenye fainali CECAFA

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Baada ya kipigo cha mbwa mwizi kule Nairobi na Tanzania kwenda mbele kwenye kufuzu CHAN, hatimaye leo tena Tanzania imefuzu kucheza fainali baada ya kuifunga timu ngumu ya Uganda na hivyo kucheza na timu ya kawaida ya Kenya kwenye fainali ya CECAFA wanawake, nasema hivi jiandaeni kisaikolojia kabisa.
 
Tamzamia lini mwisho kuishinda kenya, ninavyojua mwisho sisi tuliwagonga tatu...mbili na condom ya tatu mkawachia kavu
 
Lazy bones like Tanzania don't have anything to show in matters sports.
 
Tamzamia lini mwisho kuishinda kenya, ninavyojua mwisho sisi tuliwagonga tatu...mbili na condom ya tatu mkawachia kavu
Cecafa pale Uganda mwaka huu tuliwafunga tukabeba kombe.

Kufuzu CHAN tuliwagonga 4 tukawatoa mwaka huu.

Usipende sana kucoment ili uonekane na wewe umecoment, jaribu kushirikisha ubongo angalau hata kidogo japokuwa inauma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cecafa pale Uganda mwaka huu tuliwafunga tukabeba kombe,
Kufuzu CHAN tuliwagonga 4 tukawatoa mwaka huu,
Usipende sana kucoment ili uonekane na wewe umecoment, jaribu kushirikisha ubongo angalau hata kidogo japokuwa inauma [emoji23][emoji23][emoji23]
Bwahahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatuna mipasho sisi...swali rahisi, lini mwisho tanzania kuifunga kenya....
Game ninayo ikumbuka mlishinda kw penati[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Game ninayo ikumbuka mlishinda kw penati
Sasa hiyo inaitwaje au ni droo au Hukumbuki hiyo mechi ilisababisha kocha wa timu yenu akafungashwa viragoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nyie mlipotufunga mlienda wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sisi tumewafunga na Tumefuzu CHAN,
Timu yetu ya vijana wadogo mwaka huu pale Uganda walifunga timu yenu tukabeba na kombe,
Pia hili kombe la cecafa Tanzania ni bingwa mara mbili mfufulizo kama hujui.
 
Kwa kuongezea kama anajifanya hayawani hakuna timu yeyote toka dunia kuumbwa iliowahi kuchukua ubingwa wa kombe hili Mara 2 zaidi ya Tanzania ndio maana tunawaambia Tanzania ndio Spain ya A. Mashariki
 
Dionisia minja ni bonge la mchezaji anapiga vyenga bya kukata Kona magoli matamu Sana

Asha Rashid ana mashuti hatari

Kuna yule Diana ,mwanahawa ,wanapiga soka wale mamanzi daaah Kenya wajiandae
 
Wale mademu watatu waliombaka msanii wenu kutoka kenya ni kama nimewaona kwenye mechi ya leo??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tanzania mwisho najua walishinda kw penati..

Sijui mwisho kutufunga ni lini[emoji23][emoji23]
Ukweli haufutiki[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…