Kawadanganye wajinga wenzako,
Mwaka huu Tulikutana cosafa cup pale Uganda tukawafunga na kubeba kombe,
Pia hii cecafa tuliwafunga na tukabeba kombe,
Tanzania ndio timu pekee yenye mafanikio kwenye hili kombe kwa kubeba mara mbili mfufulizo.
Mumutwangwa ngapi kwani? 😂😂😂😂
Kwani miaka iliyopita mlifungwa midomo mkashindwa kushinda?Wapi wale walevi wa kidanganyika ambao wako na world cup kwa mdomo tu....Hii hata tungefungwa mikono bado tungeshinda tuu
Bila jibu 😂Naujue football kwetu ni kama maji na mafuta na bado mnakula zenu mbili nyumbani
Bado Tanzania ndio timu pekee yenye mafanikio zaidi kwenye hili kombe ukanda wote huu.Naujue football kwetu ni kama maji na mafuta na bado mnakula zenu mbili nyumbani
Meza wembe 😂😂Kwani miaka iliyopita mlifungwa midomo mkashindwa kushinda?
Meza wembe 😂😂
Msijali Kaka Bora usilie kwa mwenzako wa Yanga
Bado Tanzania ndio timu pekee yenye mafanikio zaidi kwenye hili kombe ukanda wote huu.
Dawa yako hii hapa kwenye linkLegelege na dhaifu sana hiyo inchi yenu
Jinyonge...wanyonge kama nyie hata hamuezi funga nzi baoBado Tanzania ndio timu pekee yenye mafanikio zaidi kwenye hili kombe ukanda wote huu.
Usilie mdogo,,hiyo ni whitewash tumewapatia
Hahahah bado Tanzania ndo baba lao kwenye cecafa challengeJinyonge...wanyonge kama nyie hata hamuezi funga nzi bao
Hamna cha hiyo who doesn't know that Tanzania cannot even win charcoal in any competitionHahahah bado Tanzania ndo baba lao kwenye cecafa challenge
Jitahidini angalau mfikie rekodi ya Tz
Ingia hapa kwa hii link ufiche aibu yakoHamna cha hiyo who doesn't know that Tanzania cannot even win charcoal in any competition
The truth is a danganyikan is no match for a Kenyan
hata tungekuwa na Red cards tano bado tungewafunga….I wonder how Tanzania reached the finals