Wakenya wanawapa viongozi wa Tanzania ujumbe.

Wakenya wanawapa viongozi wa Tanzania ujumbe.

El Roi

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2020
Posts
297
Reaction score
537
Maandamano yanayoendelea nchini Kenya, binafsi hayajanivutia kwa sababu hayana lengo linaloeleweka.

Uharibifu unaofanywa na waandamanaji kama kuiba na kupora Mali za watu hii inaonyesha maandamano hayo hayana lengo.

Ilianza na kutaka budget irekebishwe kwa kile walichodai maisha magumu,. Serikali ikakubali kufanya mabadiliko( amendment) bado wakaandamana.
Jana Rais Ruto akakubali kwamba budget nzima irudishwe bungeni kwa amendment nyingine, bado Leo watu wameandamana.

Hii tabia haionyeshi kabisa lengo la maandamano. Na nahisi hata siyo suala la uchumi Bali chuki za kisiasa dhidi ya Rais aliyeko madarakani.

Hao Gen Z hawana hata Uongozi, jambo ambalo linaonyesha hii ni movement holela unayotaka kuifanya nchi isitawalike.

Ukiacha Sasa hayo mengine, bado naona Kuna jambo chanya la viongozi wa Tanzania kujifunza kabla haijaja hapa pia.

1) Tamaa ya madaraka
2) ukwasi uliopitiliza wa viongozi.
3) kuwasahau vijana katika nafasi mbalimbali za ujenzi wa Taifa Leo.

4) Dharau ya tabaka tawala ( hapa namaanisha hasa chama tawala kama hapa CCM) . Kudhani kwamba nchi ni yao tu. Kumbukeni Kenyata na wenzake ( Tabaka tawala, na watoto waliokua wazazi wao wakiwa madarakani) wanamdharau Ruto ambaye anatokea kwenye familia masikini, na hivyo ni rahisi kuchochea watu kwa jina la kutaka mabadiliko ya kuichumi kwa ajili ya wananchi.

Siku za hapa mbele nitakuja kufafanua hasa sababu za hayo maandamano kama nilivyoziorodhesha hapo juu, Sasa nakimbia mahala.

Usiku mwema.
 
Maandamano yanayoendelea nchini Kenya, binafsi hayajanivutia kwa sababu hayana lengo linaloeleweka.

Uharibifu unaofanywa na waandamanaji kama kuiba na kupora Mali za watu hii inaonyesha maandamano hayo hayana lengo.

Ilianza na kutaka budget irekebishwe kwa kile walichodai maisha magumu,. Serikali ikakubali kufanya mabadiliko( amendment) bado wakaandamana.
Jana Rais Ruto akakubali kwamba budget nzima irudishwe bungeni kwa amendment nyingine, bado Leo watu wameandamana.

Hii tabia haionyeshi kabisa lengo la maandamano. Na nahisi hata siyo suala la uchumi Bali chuki za kisiasa dhidi ya Rais aliyeko madarakani.

Hao Gen Z hawana hata Uongozi, jambo ambalo linaonyesha hii ni movement holela unayotaka kuifanya nchi isitawalike.

Ukiacha Sasa hayo mengine, bado naona Kuna jambo chanya la viongozi wa Tanzania kujifunza kabla haijaja hapa pia.

1) Tamaa ya madaraka
2) ukwasi uliopitiliza wa viongozi.
3) kuwasahau vijana katika nafasi mbalimbali za ujenzi wa Taifa Leo.

4) Dharau ya tabaka tawala ( hapa namaanisha hasa chama tawala kama hapa CCM) . Kudhani kwamba nchi ni yao tu. Kumbukeni Kenyata na wenzake ( Tabaka tawala, na watoto waliokua wazazi wao wakiwa madarakani) wanamdharau Ruto ambaye anatokea kwenye familia masikini, na hivyo ni rahisi kuchochea watu kwa jina la kutaka mabadiliko ya kuichumi kwa ajili ya wananchi.

Siku za hapa mbele nitakuja kufafanua hasa sababu za hayo maandamano kama nilivyoziorodhesha hapo juu, Sasa nakimbia mahala.

Usiku mwema.
Global web icon
Tuko News
https://www.tuko.co.ke/politics/438575-list-highest-paid-kenyan-mps...

List of highest paid Kenyan MPs, their salaries and …


Kenyan MPs are paid KSh 621,250 monthly but the SRC has proposed to increase the amount to KSh 710,000 in the 2022/2023 financial year; The Parliamentary Service Commission (PSC) stated that lawmakers are also entitled to a mortgage loan, car loan and medical facility similar to other state officers See more
 
Tabaka la walio nacho na wasio nacho ndiyo matikeo ya maandamano hayo.It is classs Struggle.Kenya ina mfumo wa kibepari ulioiva kuliko Tanzania na Uganda neo colonial state.
 
Mbona ikitokea kwa Tz
Mali zitakazo haribiwa haraka zipo hadharani sana!!
 
Maandamano yanayoendelea nchini Kenya, binafsi hayajanivutia kwa sababu hayana lengo linaloeleweka.
Lengo mbona linafahamika? Mwanzo ilikuwa kupinga mswada wa fedha na sasa ni kuipinga serikali .

Wamepambana mpk Ruto akakubali kutokusaini mswada huo. Lkn mwanzo alishinikiza upite huo mswada (amechelewa). Hii maana yake ni kwamba mswada urudi bungeni ndipo utasainiwa

Vijana wanasema, mswada ukirudi bungeni utajadiliwa na akina nani? Wabunge wale wale waliosababisha maandamano??

Maandamano ya sasa ni ya kutaka kuiwajibisha serikali na bunge kwa kupuuza sauti zao hapo awali. Ruto must go and mps must go.
 
Tanzania is not Kenya, Tanzania is much stable country, Tanzania don't allow stupidity activities, life's of mjinga mmoja is nothing for safety of millions and millions!
#Be aware!
 
Namba 4 imekua too much, waziri wa fedha ana majibu ya dharau sana kwa watz, amepitiliza.....
 
Ipo tu siku wtz tutaamua jambo.Maamuzi yanakaribia.Hata mapinduzi Nchi za kiarabu kama misri,Tunisia,Algeria na Libya yalianza na Nchi Moja mwisho ukanda wote ukaenea kuwafurusha madikteta kama huyu dikteta wa hapa kwetu.
 
Back
Top Bottom