Wakenya wapeleka malalamiko "UN" kuomba warudishiwe ardhi yao iliyopo mikononi mwa wazungu

Wakenya wapeleka malalamiko "UN" kuomba warudishiwe ardhi yao iliyopo mikononi mwa wazungu

...mfano Geita peke yake ndani ya miezi 3 imezalisha Gold 1900 metric tonne kutoka kwa wachimbaji wadogo (hakuna mchimbaji mdogo asie mtanzania), hii dhahabu ina thamani ya zaidi ya billion 150, pesa yote hii imeingia kwenye mifuko ya Watanzania, Kenya hili halitokuja kutokea....
Wakenya wao wamekalia kuzalisha mirungi.
 


Hii ni baada ya kuona kwamba, serikali ya Kenya inawasaidia wazungu waendelee kuikalia ardhi yao kwa mabavu waliyoichukua kwa nguvu kipindi cha ukoloni.

Kwasasa hivi ardhi hiyo ndio inayotumika na wazungu kulima chai huko maeneo ya Kericho na kuwaingizia wazungu pesa nyingi, wakati wananchi walitupwa katika maeneo yasiyokuwa na rutuba, hivyo kusababisha kuishi ktk Lindi la umasikini mkubwa na kutegemea chakula cha msaada kila mwaka.
Wakati Tanzania inahangaika kutafuta wawekezaji nchi zingine zinataka kuwanyanganya wazungu ardhi. Wakishapewa ardhi hawana cha kuifanyia. Hao wazungu wabaneni walipe Kodi nchi iendelee. Hii Africa ijitathmini Kwanza.
 
Ardhi hata kama wakinyanganywa wazungu wakawapa watu weusi kila mmoja kipande Kidogo kidogo bado Itakuwa shida kwasababu watu wengi weusi hawana ujuzi wa kilimo na hawana mtaji. Hao wazungu wabanwe watoe Kodi basi. Tanzania kuna ardhi kubwa haitumiki
South Africa wameliona hili tatizo la wazungu wachache kumiliki ardhi kubwa hivyo wameamua kupitisha sheria ya kuwarudishia wananchi ardhi yao.

Kenya waliunda tume ya " Ndungu", ambayo ilipendekeza kwamba, kutengenezwe sheria itakayowezesha wananchi kurudishiwa ardhi yao, lakini serikali ya Kenya imekataa kupeleka huo mswada Bungeni kwa kuwaogopa wazungu na familia ya Kenyatta.
 
Lkn hawana zaidi ya mihogo...ndo manake ikiwaishia hukosa maarifa na kuanza kula mafi
Njaa utaipata Tanzania kwa uvivu wa kula sio kwa kukosa chakula, kwanza bei tu za vyakula ni kama bure

Eneo kama Kagera, Kilimanjaro, Mbeya wafanyabiashara hupeleka mazao kama ndizi sokoni kwa siku ya gulio (siku za gulio zaweza kuwa 2 kwa week) kama amepeleka mikungu 20 ya ndizi na siku hiyo kauza mikungu 10 basi hiyo mingine huitelekeza hapo hapo sokoni na kurudi nyumbani bila mzigo sababu ni kujichosha wakati shambani ndizi zinaoza, hiyo ndio hali ya chakula katika maeneo mengi Tanzania.
 
Wakati Tanzania inahangaika kutafuta wawekezaji nchi zingine zinataka kuwanyanganya wazungu ardhi. Wakishapewa ardhi hawana cha kuifanyia. Hao wazungu wabaneni walipe Kodi nchi iendelee. Hii Africa ijitathmini Kwanza.
Jaribu kutofautisha kati ya "Investment" na "ownership" hasa katika muktadha wa kuwawezesha kiuchumi raia.
 
wazungu walioko nchini Kenya ni wakenya halisi,
sasa nyie mwalalama eti miundo mbinu yote ya Nairobi,Magorofa marefu marefu,highways zote,kila kitu eti yalijengwa na ni milki ya wazungu?
 
Back
Top Bottom