Wakenya watua Zambia kujadili ununuzi wa mahindi

Usalama wa chakula tunahakikisha kwa kununua, hivyo tunazalisha mazao yenye hela halafu tunanunua mahindi na kufanya mengine makubwa.
huna sera........ujue wewe mvuta bangi lakini bangi imekukataa kinachofuata nikulanduka .......achana nayo

stupid kenyan[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Food security:
Certain availability of nutritionally adequate and safe foods or certain ability to acquire acceptable foods in socially acceptable ways.

Katiba yetu imeweka bayana kwamba kila Mkenya ana haki ya kupata chakula. Na kwamba serikali ina jukumu la kuhakikisha wingi wa chakula kwa mbinu zote, ikiwemo kununua kutoka kwa mataifa ya nje na kujaza ghala zetu. Hivyo sio lazima tutumie jembe sote kulima, nyie mlime tuvune sisi na mkinuna tunakwenda mbele ambapo wapo wengine wasiokua wazembe kama nyie.
 
Hivi ktk nchi za east africa inakuaje kenya mnamasikini wengi,angalia unavyokosa akili ya kudadavua mambo,hio isirael km wangetaka kua na mazao ya biashara tu leo si ingekua kama kenya,haya mbona mnafedheeka kwa kutafuta chakula kwingine haya kuleni hayo maua yenu,mabwege nyie,hivi mnachojivunia ni nini na wakati uchumi wenu umeshikwa na mabohora nyie mmebaki na mijisifa tu eti nchi yetu tajili na wakati pesa inakwenda nnje.kenya ndio nchi inayongoza kuwa na machokoraa,ujambazi watu wske kuwa na roho mbaya kupita nchi zote za east africa,sasa km roho haiwaumi kwa nini povu liwatoke kulilia maindi.mungu wafungie akili wazambia nao wasiuze maindi yao kisha waje kutupa tabu mbeleni
 
Usalama wa chakula tunahakikisha kwa kununua, hivyo tunazalisha mazao yenye hela halafu tunanunua mahindi na kufanya mengine makubwa.
Hili jamaa puuzi kweli,kenya yapi makubwa mlioyafanya,hilo shulika lenu la ndege ambalo mpo joint vanture na shilika mpja ulaya?
 
Hivi wakenya ni uvivu wa kulima ama kuna matatizo gani?
Kwani hujui kenya mbk kesho hawana uhuru wao wana uhuru wa bendera tu,na ndio mana hata usalama wa tasisi zao za kiulinzi ni mbovu,huku kwetu ukiviona vyombo vya usalama unashukulu,kenya ukiwaona police tena hiwe usiku alafu hiwe km kilinyanga street ujue umekufa hii mijitu ni ya kuinyima kbsa chakula.zambia wawe na hakili washituke,asie fanya kazi na asire wajifunze kulima
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mjanja wa kibera....upo vizuri.....

njoo nikupe ajira ukasimamie ng'ombe na mbuzi zangu shamba.....maana unatoa uharisho mpaka basi......pole sana kijana haya ndiyo maisha yalivyo.......ni kupanda na kushuka

kweli shida unayo ......unaharisha sana njaa na umaskini ni mbaya sana......hiyo middle income ni yakina kibaki na wachache walioitawala ardhi ya kenya ila wewe ni kapuku tu....

hebu karibu msosi....na tuenjoy life
 
Hili jamaa puuzi kweli,kenya yapi makubwa mlioyafanya,hilo shulika lenu la ndege ambalo mpo joint vanture na shilika mpja ulaya?
si ndiyo zao.......poor kenya ni nchi ambayo inategemea uchumi wa watu ndiyo wasimame kisha utawasikia sisi middle economy .....ila zama in deep maisha yao ni vituko....yakipuuzi
 
Baki hivyo hivyo! Israel wanalima bustani kwa kununua udongo, lakini unawaonaje!?
sasa mkuu kwani israel wanazalisha nini kwa wingi zaidi ya caton kadhaa tu za nyanya?,

wanaweza fikia hata capacity ya shinyanga kwa kuzalisha mahindi,mpunga ama pamba kweli?
 

Ajira ya kuchunga ng'ombe na kulima mahindi mufanye nyie, sisi tutanunua maana tuna mihela.

Halafu wacha kuzoea hao kuku wa kizungu, ndio maana wanawake zenu wanakuja kutafuta wanaume Kenya, hizo kuku huwa zinapunguza nguvu za kiume. Cheki hapa vitu ninavyovipata mida hii.

 
Food security:
Certain availability of nutritionally adequate and safe foods


Do you Kenyans get adequate food? From where if I may ask! No matter how much you brag abt having money, there is no way you can feed your locals to their satisfactions, hence the concept of adequate food isn't guaranteed!

Hadi dakika hii kuna mamilioni ya wakenya wanalia njaa kila siku, halafu nyie mnawabembeleza wazambia wawauzie chakula, mkimaliza kuwabembeleza mje kubembeleza Magu awaruhusu kupitisha hapa! Kazi mnayo!


Kwa taarifa yako mataifa yaliyoendelea yote yanahakikisha kuwa yanazalisha chakula cha kutosha nchini kwao, bila kujali hali ya hewa! Kama unabisha nipe mifano ya mataifa yaliyoendelea yanayotegenea chakula cha kununua! Nyie hapo maskini wenzetu mnajiumauma tu eti tunanunua! Bajeti kubwa inaishia kununua mahindi!

Tena subirini uchaguzi uishe hata hela ya kununua mahindi haitakuwepo mtalia hadi mkome!
 

Kenya inatumia hela nyingi sana kuhakikisha Wakenya wanaoishi maeneo kame wanafikiwa na chakula. Kuna wakati kunatokea changamoto za logistics lakini cha msingi ni kwamba hatimaye chakula kinazagaa kote pamoja na ukame huu ambao ukiwakumba nyie mtaihama nchi, ikiwa mna nchi yote hiyo yenye rotuba na bado mnaomba mahindi Malawi kwa jinsi mlivyo maskini na wazembe.

Sisi uwezo wa kununua tunao kama mataifa ambayo yana maeneo kame lakini wana uwezo wa kuagiza chakula kwa wingi.
 
Fullish people, discuss people.
 
Nyie Kenya ni nyumbu kweli, Tanzania wanajihami kwa njaa. Uvivu wenu utusababishie njaa. Ok kama nimepata kutoka Zambia basi msafirishe kupitia Afrika Kusini, Msumbiji au DRC, Uganda mpaka huko kwenu yasikanyage ardhi ya TZ.
 
Wakenya mnajisifu kwa kitu gani? Ardhi yenu ni watu wachache mno, wananchi wengi wa Kenya ni masikini wa kutupwa, hawana hata ardhi ya robo eka, ndio maana mategemeo yenu yalikuwa kwenye Afrika mashariki ili mje kufurika huku TZ, hilo halitawezekana labda YESU arudi tena duniani.
 

Una maana gani kusema chakula huwa kinazagaa kenya yote! Huko hata iweje chakula hakiwezi zagaa, labda mbadilishe mfumo muingie kwenye kilimo cha umwagiliaji ndo mtajikwamua!

Halafu nimeshakufahamisha hiyo ya kwenda malawi ilikuwa ni kijazia ghala la taifa, sio kama chakula kiliisha kabisa, that was a precaution!

Sisi nchi yetu ni kubwa na ndo maana tuna chakula cha kutosha, hivi ulishaona mtu kapungukiwa chakula halafu anauza? Kila siku tunawalisha hapo kwenu!

Halafu kujisifu eti mna hela za kununua chakula ni ujuha mkubwa, maana hela inaishia huko ndo maana tunaenda kuwazidi sa hizi kwenye mambo mengi
 
Eti wanaume wa kenya mnanguvu ndio mana wanawake wetu mnawachukua,lakini amesahau kwamba kenyan gays wanajylikana duniani,mombasa inatamba africa na inawezekana hata america kwamba wanaume wasenge wapo wengi,mfano likon fery nani hapajui kwa biashara ya ushoga.ww tulia,hata Nairobi mitaa kama tom mboya au biashara street inavyosifika kwa mashoga na makahaba,huku kwetu yapo lakini ni kwa uchache tena ni usiku na hao makahaba ukiwangalia ni wasafi na si kama wa kwenu.nyie kwanza ustarabu ziro inawezekana vipi mtu unakwenda chooni kisha unakuta hakuna maji na kukuta makaratasi tu.ndio mana hata wanawake wenu wananuka uvundo kwa kutojua kuoga,we mwenyewe unaonaje dem wa kibongo mavyompapatikia,tuna mengi mengine hayafai kuyandika humu kuhusu nyie wakenya.angaikieni chakula kwanza acheni kelele tafutenichakura kwanza acheni ujinga.
 
ha haaaa.........yaani hata macho yamepofuka tiyari........eti kuku wa kizungu...[emoji23] [emoji23] [emoji23] hayo ni maandalizi takatifu aiseee mpaka umepagawa.....

hafu siku nyingine usirudie .....na usithubutu shobokea mademu wa bongo watakuchakaza utabaki na chupi tu....sababu huwa hawana time na wakenya.....mademu wa huku ni ujanja ujanja ......hamuwawezi nyie ni wazembe sana.....

washikaji wa kikenya mpo local sana...utaumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…