Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe porojo zote hizi waandika kumbe upo kwetu watafuta unga upeleke kwenu, poyoyo kweli weweUngeomba tafsiri kimya kimya tu ww mswahili, ama vipi upate kozi yako ya english fresh apo dar kwa ras simba, na ww uteme yai humu kama wakenya[emoji3] [emoji109]
Tanzania imekubali hayo mahindi yapite trhough its territory? Kwa sababu nilisikia Kenya mmeiandikia serikali ya Tanzania kuomba hayo mahindi yanayotoka Zambia yapite Tanzania.Wawakilishi kutoka Kenya wametinga Zambia kujadili ununuzi wa mahindi kwa maelfu ya tani. Tayari Zambia imetangaza utayari wake kuuza mahindi kwa wingi kwenye soko la Kenya ambalo lipo tayari siku nyingi baada ya kiangazi.
Wakati wengine wananuna na kuishi kimajungu majungu, wenzao wanaona fursa za kibiashara na kuzichangamkia. Wazambia watatengeneza hela kwa kwenda mbele....
--------------------------------------------------------------------------------
A delegation of grain traders and other stakeholders from Kenya is expected in Zambia this week to begin talks on the possible importation of maize, a senior Zambia government official said on Tuesday.
Minister of Finance Felix Mutati said the delegation is expected to hold talks with the Zambian government authorities for the importation of maize into the east African nation.
He told reporters during a press briefing that the delegation has already indicated that the maize is required in August and September this year.
But he could not state the tonnage of maize required, saying it will form part of the discussions.
“However the biggest challenge is how do we transport this maize to Kenya. Is it by rail or road because we will have to find the solutions to these and other challenges,” he said.
The Zambian minister said east Africa has now been identified as a big market for the country’s maize as well as the Democratic Republic of the Congo, adding that the private sector should also explore these markets.
Zambia has produced 3.6 million tonnes of maize during the 2016/2017 farming season and with the country’s consumption estimated at between 1.4 million tonnes and 1.5 million tonnes, the country has excess maize for exports.
The government has since lifted a ban on maize exports to encourage exports.
Coastweek - The most from the coast
Tanzania imekubali hayo mahindi yapite trhough its territory? Kwa sababu nilisikia Kenya mmeiandikia serikali ya Tanzania kuomba hayo mahindi yanayotoka Zambia yapite Tanzania.
Tanzania ikakataa, making the whole deal very expensive for you.
Shida yote hiyo ya nini? Nunueni tu unga processed from TZ!
Wanunue pia na gesi ya kuupikia huo unga pia! Hawa jamaa wameshikwa papaya sana, hili lilishaonekana mapema na wahenga. Nchi za kiafrika zikiishika falsafa ya kibepari patachimbika sana, ubinafsi tu. Haya bepari mgeni Tz kwa kasi ya ajabu anakuja, mtakiona kilichomnyoa kanga manyoya.Tanzania imekubali hayo mahindi yapite trhough its territory? Kwa sababu nilisikia Kenya mmeiandikia serikali ya Tanzania kuomba hayo mahindi yanayotoka Zambia yapite Tanzania.
Tanzania ikakataa, making the whole deal very expensive for you.
Shida yote hiyo ya nini? Nunueni tu unga processed from TZ!
Hapana, Tanzania mahindi ni chakula kikuu lakini si cha pekee. Kukosa mahindi hakumaanishi mtama, mpunga havijavunwa. Pia, mikoa mitano inailisha nchi nzima. Nayo huko mavuno ni mengi kupitiliza kwa mwaka huu, mkoa wa Pwani debe linauzwa 5000 na hata chini ya hapo.Unga processed mtatoa wapi wakati na nyie hamna mahindi ya kutosha, waziri mkuu wenu alinukuliwa akisema Tanzania kanda ya kati hamna chakula cha kutosha hivyo ndio sababu hamtaki kuuza nje. Pia tumeona mwaka huu mumefuata mahindi Malawi kimya kimya ila mkanyimwa.
Hilo la kutumia Tanzania kupitiza mahindi tumeliomba maana lina mantiki kijiografia, lakini kama vipi mkijawa na majungu na kuzuia, basi tutapita kwengine maana hela tunazo. Nyie ni watu mliojawa na chuki na majungu ya ovyo, nilikua nawaza nini kinasababisha Mrundi au Mnyarwanda atumie njia ndefu ya kupitia Uganda hadi afike Mombasa ilhali hapo anaweza katiza tu na kutinga bandari ya Dar, nimeanza kupata jibu.
Hatujasema kwamba hamwezi kununua kwingine. Ila mtanunua kwa gharama kubwa zaidi. Serikali yenu itakuwa inatumia hela nyingi per capita kuwalisha watu wenu. Nimesoma juzi wakenya mshaanza kupanga foleni kupewa unga. How long before you break?Unga processed mtatoa wapi wakati na nyie hamna mahindi ya kutosha, waziri mkuu wenu alinukuliwa akisema Tanzania kanda ya kati hamna chakula cha kutosha hivyo ndio sababu hamtaki kuuza nje. Pia tumeona mwaka huu mumefuata mahindi Malawi kimya kimya ila mkanyimwa.
Hilo la kutumia Tanzania kupitiza mahindi tumeliomba maana lina mantiki kijiografia, lakini kama vipi mkijawa na majungu na kuzuia, basi tutapita kwengine maana hela tunazo. Nyie ni watu mliojawa na chuki na majungu ya ovyo, nilikua nawaza nini kinasababisha Mrundi au Mnyarwanda atumie njia ndefu ya kupitia Uganda hadi afike Mombasa ilhali hapo anaweza katiza tu na kutinga bandari ya Dar, nimeanza kupata jibu.
Hatujasema kwamba hamwezi kununua kwingine. Ila mtanunua kwa gharama kubwa zaidi. Serikali yenu itakuwa inatumia hela nyingi per capita kuwalisha watu wenu. Nimesoma juzi wakenya mshaanza kupanga foleni kupewa unga. How long before you break?
Cha muhimu hapa ni kuafikiana kama majirani tumalize huu utata. Nunueni unga wa Tanzania kwani mtakufa? Tatizo la nchi nyingi za Afrika ni kuzalisha the same product hence unnecessary competition.
Hatujasema kwamba hamwezi kununua kwingine. Ila mtanunua kwa gharama kubwa zaidi. Serikali yenu itakuwa inatumia hela nyingi per capita kuwalisha watu wenu. Nimesoma juzi wakenya mshaanza kupanga foleni kupewa unga. How long before you break?
Cha muhimu hapa ni kuafikiana kama majirani tumalize huu utata. Nunueni unga wa Tanzania kwani mtakufa? Tatizo la nchi nyingi za Afrika ni kuzalisha the same product hence unnecessary competition.
Nakuijfanya wanafunga Tai kumbe wanashinda njaa.mnatakiwa mulime sio kujazana Nairobi tu
Sasa mtakula hizo hela [emoji2]Mnafaa mlime mahndi nyie halafu tule sisi maana hela za maua tunazo nyingi.
Tutarudi bongo kuwamsha, kwa sababu mnakuanga usingizi nyakati zoteNa viwavi vilivyoshambulia mashamba mtahangaika sana na mahindi msilete kejeli yakiisha Zambia mahindi mtarudi bongo
Tutarudi bongo kuwamsha, kwa sababu mnakuanga usingizi nyakati zote
Nongwe ww, stupidNi kama ndrama ni kama vindeo.
Mchezo hauhitaji hasiraNongwe ww, stupid