Wakenya wawili wamequalify kuenda Tokyo Olympics kukimbia mbio za 100 metres

Wakenya wawili wamequalify kuenda Tokyo Olympics kukimbia mbio za 100 metres

Wewe miguu yako minene imekusaidia nini maishani? Angalau yeye miguu yake nyembamba imemfanya awe millionaire.
Millionaire 🤣 🤣🤣chinike!!!
Ndio mnavyodanganyana mkiwa kibera mnavuta harufu za flying toilets!!?

Michezo ya kukimbia ni primitive sports. Ni ya wale wenye akili za animals pekee watapigia kelele.
Huwezi kumuona mwenye pesa anakimbia kimbia ovyo kama zinjathropus
 
Millionaire 🤣 🤣🤣chinike!!!
Ndio mnavyodanganyana mkiwa kibera mnavuta harufu za flying toilets!!?

Michezo ya kukimbia ni primitive sports. Ni ya wale wenye akili za animals pekee watapigia kelele.
Huwezi kumuona mwenye pesa anakimbia kimbia ovyo kama zinjathropus
Unajua kama Binadamu nadhani tumerudi nyuma sana ki-fikra...

Pesa ni nini ? Kila mtu anaweza kupata pesa ila sio kila mtu anaweza aka-excel kwenye trade yake..., ingekuwa pesa unaweza kununua talanta wangapi wangekuwa kama Hussein Bolt, wangapi wangeweza kutengeneza nyimbo kama Michael Jackson..., wangapi wangeweza kufikiria mpaka kugundua nishati inaweza kupatikana kwenye sumaku na wire ?

Pia mtu pekee asiye na pesa ndio anadhani pesa ni be it end all... yaani ndio destination ya matatizo, ila kumbe the only drive ya binadamu ni PURPOSE..., huyu jamaa huenda purpose yake ni siku moja ashinde medani kubwa katika mashindano makubwa (hilo ndio linalomfanya aamke asubuhi na kufanya zoezi mpaka usiku); Sio mbaya kama motivation yako ni pesa ila utagundua kwamba its just an illusion and you might end up being in a RAT RACE (Ushauri do what you love / like); You will lead a happier life...
 
Unajua kama Binadamu nadhani tumerudi nyuma sana ki-fikra...

Pesa ni nini ? Kila mtu anaweza kupata pesa ila sio kila mtu anaweza aka-excel kwenye trade yake..., ingekuwa pesa unaweza kununua talanta wangapi wangekuwa kama Hussein Bolt, wangapi wangeweza kutengeneza nyimbo kama Michael Jackson..., wangapi wangeweza kufikiria mpaka kugundua nishati inaweza kupatikana kwenye sumaku na wire ?

Pia mtu pekee asiye na pesa ndio anadhani pesa ni be it end all... yaani ndio destionation ya matatizo, ila kumbe the only drive ya binadamu ni PURPOSE..., huyu jamaa huenda purpose yake ni siku moja ashinde medani kubwa katika mashindano makubwa (hilo ndio linalomfanya aamke asubuhi na kufanya zoezi mpaka usiku); Sio mbaya kama motivation yako ni pesa ila utagundua kwamba its just an illusion and you might end up being in a RAT RACE (Ushauri do what you love / like); You will lead a happier life...
Talanta ni nini!?
 
Millionaire 🤣 🤣🤣chinike!!!
Ndio mnavyodanganyana mkiwa kibera mnavuta harufu za flying toilets!!?

Michezo ya kukimbia ni primitive sports. Ni ya wale wenye akili za animals pekee watapigia kelele.
Huwezi kumuona mwenye pesa anakimbia kimbia ovyo kama zinjathropus
"zinjathropus"... Naona leo umekumbuka asili yako na wabongo wenzako. Nimekumbuka wale nyani wa kwanza EA, waliokuja kuwa watu wa sahi huko Bongo, waligunduliwa Tz! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
"zinjathropus"... Naona leo umekumbuka asili yako na wabongo wenzako. Nimekubuka wale nyani wa kwanza waliokuja kuwa watu wa sahi waligunduliwa Tz! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Nani alikuambia asili yetu ni zinjathropus!?
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Dar sisi Watanzania tupo nyuma

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Serikali yenyu inafaa kumchangamsha waziri wa michezo, sio kulala lala kazini. Aingie mikoani, kuwe na competition ya michezo kadhaa wa kadhaa ndani ya kila mkoa, kuwe na vizawadi vya kutia watu motisha pia, kila mkoa unatoa best candidates of different categories in sports, Alafu kunafanywa National team selection, hapo ni kushindana kufa mtu, mnachukua only the best of the best, no compromises... You'll see changes bro!
 
Natural aptitude / skill;

Ingawa talent inaweza ikawa acquired, ila talent bila practice na kuikuza its nothing.... (through hard work / practise one acquires skills)
Mzee nimekuuliza swali fupi tu unaanza kuleta mbwembwe na kuhepa.
Talanta ni nini!?
 
Mzee nimekuuliza swali fupi tu unaanza kuleta mbwembwe na kuhepa.
Talanta ni nini!?
Duh hata kuona huwezi...

Talent; Natural Aptitude or Skill

Na nimekueleza zaidi ingawa talent ni natural inaweza ikawa acquired pia
 
Duh hata kuona huwezi...

Talent; Natural Aptitude or Skill

Na nimekueleza zaidi ingawa talent ni natural inaweza ikawa acquired pia
Mzee ukiulizwa maana ya kitu unaandika kwa lugha nyingine!!?
Nataka uniambie talanta maana yake kwa kiswahili.

Talanta ni nini!?
 
Mzee uliulizwa maana ya kitu unaandika kwa lugha nyingine!!?
Nataka uniambie talanta laana yake kwa kiswahili.

Talanta ni nini!?
Mkuu unanilipa ? Naona unanipangia hadi jinsi ya kujibu, huenda wewe una muda zaidi yangu kwahio kuendelea kurudia rudia wakati jibu nikupotezeana muda (wako na wangu) hata kama wewe muda wako hauujali
 
Mkuu unanilipa ? Naona unanipangia hadi jinsi ya kujibu, huenda wewe una muda zaidi yangu kwahio kuendelea kurudia rudia wakati jibu nikupotezeana muda (wako na wangu) hata kama wewe muda wako hauujali
Wewe ni mbumbumbu.
Nimekuuliza talanta ni nini!? Unata nikulipe!!! 😡 😡😡 ebo.

Unaandika andika tu maneno bila kujua maana yake.
Kukimbia na talanta wapi na wapi!?
Neno talanta limetajwa kwenye biblia. Halihusiani na kukimbia. Wewe ni mbumbumbu na kipofu.
 
Wewe ni mbumbumbu.
Nimekuuliza talanta ni nini!? Unata nikulipe!!! 😡 😡😡 ebo.

Unaandika andika tu maneno bila kujua maana yake.
Kukimbia na talanta wapi na wapi!?
Neno talanta limetajwa kwenye biblia. Halihusiani na kukimbia. Wewe ni mbumbumbu na kipofu.
Kweli huna akili tofauti ya Talent na Talanta ni nini ?

Au unadhani bila Bible au watu wasiosoma Bible au kuamini Bible hawajui Talent; au Unadhani bila Bible kungekuwa hakuna Talent..., au unadhani hata hio Bible mwanzo wake iliandikwa kiswahili ?

Aisee !!!!!
 
Back
Top Bottom