joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #21
Hafanyi lolote wakati idadi ya maambukizi " is the lowest in EA", ulitaka awatume polisi wapige watu viboko kama alivyofanya Uhuru Kenyatta?Wanaona wajinga wanajisifia Magufuli huku hafanyi lolote kazi kupiga domo tu.
Zile story za uchumi wa Tanzania kukua kwa kasi miongoni mwa nchi tano hivi zimeishia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app