Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 358
YepiTatizo la wapinzani wa Tanzania ni kupinga kila kitu. Uchaguzi huu walikuwa wanapinga maendeleo ambayo wananchi wamekuwa wakiyalilia. Ndio maana wananchi wameendelea kuwakataa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YepiTatizo la wapinzani wa Tanzania ni kupinga kila kitu. Uchaguzi huu walikuwa wanapinga maendeleo ambayo wananchi wamekuwa wakiyalilia. Ndio maana wananchi wameendelea kuwakataa.
Watu wengi huko jamiiforums ni wapumbavu sana..unafirkiri nchi isyo na upinzani ina Maendeleo dunia hakuna...ccm inatupeleka mahali pabaya sana. Yaaninccm isikosekewe na haliwezekani.. ji ujjhga mkubwa sana huu uchaguziKwa tetesi nilizopata kwa Jimbo la mbeya ambalo tayari CCM Walikuwa na mtaji wa madiwani 16 waliopita bila kupingwa mpaka usiku huu tayari wameisha shinda katika kata tano ambazo majuimuisho ya matokeo yake yamekamilika, hii maanayake ni kuwa , CCM mpaka sasa wanamadiwani 21 katika ya 36 wa jiji zima la mbeya, kwa lugha nyingine, halmashauri ya jiji la mbeya iko CCM tayari.
Ilikuwa ni ngumu kwa upinzani kuchukua nchi kipindi ambacho rahisi kashaongoza miaka 5, na wanaosimamia uchaguzi ni katika TEUZI zake. Lakin kama mwaka huu upinzani wote wakakosa kisha wananchi wakaonja joto ya jiwe ya kukosa mawazo mbadala ya uwakilishi bungeni itaongeza hasira zaidi kwa wananchi uchaguzi ujao ambao hautakuwa tena na rahisi anayeshindana tofauti na sasa.
Wapinzani wanatakiwa waone kama hii no atua nzuri kielekea ushindi sabab kila giza linapozidi alfjri inakaribia. Kama wapinzani kushinda baadhi ya majimbo kunatoa nafasi kwa watawala kupata cha kusema kwa wananchi kwamba walikwamwisha kuleta maendeleo sabab ya wapinzani japo inajulikana ni ngumu kwa nchi yenyewe watu zaidi ya milion 60 kuwa na uwiano sawa wa maendeleo kwa kipindi kifupi cha miaka mitano kwanchi yenye bajeti ya mendeleo chini ya asilimia 40 kwa mwaka.
Kwaiyo ni hatua nzuri kwenu wapinzani. Hongereni kwa kushindwa kwasabab kesho mtashinda. Hongera sugu, hongera mbowe hongera msigwa hongera halima hongera heche kesho ni nzuri kuliko leo.
Naomba kuwakilisha.
Tafadhari haya maneno Ndio maana wananchi wameendelea kuwakataa toa kabisa maana ni wazi uchaguzi wa mwaka huu haujaamiliwa na mwananchi kamwe...Tatizo la wapinzani wa Tanzania ni kupinga kila kitu. Uchaguzi huu walikuwa wanapinga maendeleo ambayo wananchi wamekuwa wakiyalilia. Ndio maana wananchi wameendelea kuwakataa.
Si kweli na ninadhani ingekuwa kweli basi hakukuwa na sababu ya matumizi ya nguvu nyingi na mabavu kwenye uchaguzi.Tatizo la wapinzani wa Tanzania ni kupinga kila kitu. Uchaguzi huu walikuwa wanapinga maendeleo ambayo wananchi wamekuwa wakiyalilia. Ndio maana wananchi wameendelea kuwakataa.
Hili si lakulifurahia hasa kwa mtu mwenye uelewa mpana wa mambo ya siasa hata kama walio pita kwa sehemu kubwa ni watu wa upande wako.Upinzani ni kujiandaa tu kufanya kazi katika mazingira tofauti.
Nchi nzima ni kijani na kuna uwezekano inaenda kuwa kijani kwa muda mrefu sana.
Tatizo la wapinzani wa Tanzania ni kupinga kila kitu. Uchaguzi huu walikuwa wanapinga maendeleo ambayo wananchi wamekuwa wakiyalilia. Ndio maana wananchi wameendelea kuwakataa.
Hapa hatuongelei kufurahi au kununa. Tunaongelea uhalisia. Furaha au hasira haitabadili yanayokuja. Watu wanaojua kusoma viashiria walishaelewa kwann Pascal mayalla aliamua asikie njaa mapema.Hili si lakulifurahia hasa kwa mtu mwenye uelewa mpana wa mambo ya siasa hata kama walio pita kwa sehemu kubwa ni watu wa upande wako.
Uzuri kwa matokeo yoyote yatakayo tokea Tanzania iwe mema au mabaya ...japo hatuombei... na wewe utakwepo na kama ni kikombe utakinywea haswa!!!Kipigo kipo pale pale, akimaliza hii mitano tunamuongezea mingine, mtasubiri sana 😀
Hakuna kitakachotokea nendeni ze hegi mkafanye utalii, mkumbuke kuvaa barakoa , kuvaa barakoa na kunawa mikono mara kwa mara mkiwa huko kwa mabeberuUzuri kwa matokeo yoyote yatakayo tokea Tanzania iwe mema au mabaya ...japo hatuombei... na wewe utakwepo na kama ni kikombe utakinywea haswa!!!
Tatizo la wapinzani wa Tanzania ni kupinga kila kitu. Uchaguzi huu walikuwa wanapinga maendeleo ambayo wananchi wamekuwa wakiyalilia. Ndio maana wananchi wameendelea kuwakataa.
Wacha tu twende wote tutahamia CCM wote tuwe tunasifu na kuimba mapambioKipigo kipo pale pale, akimaliza hii mitano tunamuongezea mingine, mtasubiri sana 😀
2025 tutadanganywa tenaSafari hii hawatakuwepo watakuwa ccm watupu nafikiri tutakuwa kama kalifonia alivyozungumza magufuli
Mkuu kuna "mkono wa chuma" ndio unaenda kutumika kunyoosha "nchi"Kwa tetesi nilizopata kwa Jimbo la mbeya ambalo tayari CCM Walikuwa na mtaji wa madiwani 16 waliopita bila kupingwa mpaka usiku huu tayari wameisha shinda katika kata tano ambazo majuimuisho ya matokeo yake yamekamilika, hii maanayake ni kuwa , CCM mpaka sasa wanamadiwani 21 katika ya 36 wa jiji zima la mbeya, kwa lugha nyingine, halmashauri ya jiji la mbeya iko CCM tayari.
Ilikuwa ni ngumu kwa upinzani kuchukua nchi kipindi ambacho rahisi kashaongoza miaka 5, na wanaosimamia uchaguzi ni katika TEUZI zake. Lakin kama mwaka huu upinzani wote wakakosa kisha wananchi wakaonja joto ya jiwe ya kukosa mawazo mbadala ya uwakilishi bungeni itaongeza hasira zaidi kwa wananchi uchaguzi ujao ambao hautakuwa tena na rahisi anayeshindana tofauti na sasa.
Wapinzani wanatakiwa waone kama hii no atua nzuri kielekea ushindi sabab kila giza linapozidi alfjri inakaribia. Kama wapinzani kushinda baadhi ya majimbo kunatoa nafasi kwa watawala kupata cha kusema kwa wananchi kwamba walikwamwisha kuleta maendeleo sabab ya wapinzani japo inajulikana ni ngumu kwa nchi yenyewe watu zaidi ya milion 60 kuwa na uwiano sawa wa maendeleo kwa kipindi kifupi cha miaka mitano kwanchi yenye bajeti ya mendeleo chini ya asilimia 40 kwa mwaka.
Kwaiyo ni hatua nzuri kwenu wapinzani. Hongereni kwa kushindwa kwasabab kesho mtashinda. Hongera sugu, hongera mbowe hongera msigwa hongera halima hongera heche kesho ni nzuri kuliko leo.
Naomba kuwakilisha.