The Shah of Tanganyika
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 602
- 1,572
Jaribu kuheshimu mdomo wako. Huohuo utautumia kulaMwenzako kishatapika huko mpaka wanaomlipa. Kuna cha kuongea tena hapo.
Wewe subiri leo au kesho anatangazwa mshindi wa zabuni rasmi, habari zilizovuja ni DP World. na siku wanayotangazwa wanaanza kazi rasmi.
Hapo sasa!
Haya yalimkuta Dr. Ulimboka. Je uliwahi kumsikia tena? Ogopa kushindana na wezi wenye nguvu za kimamlaka.Looooh.
Kashikiwa bunduki kichwani.
Mbona aliposema yale aliyoyasema hapo mwanzo alionekana kuwa mtu mwenye kujitambua?
Hata kama angeshikiwa bunduki kichwani, bado kuna njia ya kufikisha ujumbe kuwa mdomo wake umefungwa, siyo kunyamaza tu kama bubu.
Niseme wazi, kama huyo ni msomi wa Havard kweli, kuna mambo ambayo anategemewa au hategemewi kuwa nayo au kutokuwa nayo.
Na siyo Havard tu, mtu msomi kwa kiwango chake kuna mambo asiyotegemewa kuwa nayo; moja ikiwa ni huko kufungwa mdomo.
kama ni kweli huyu katishiwa na kutishika, nitamsikitikia sana.
Tena unatishwa na majambazi yanayo ihujumu nchi yako?
Jf bwana.Any wayMkuu 'denooJ', hicho Kibibi kielewe vizuri.
Ukisoma maandishi yake yote humu ndani ya JF, na hasa kwenye hili sakata la DP World, utaelewa vizuri kazi anayofanya.
Ni kweli.Haya yalimkuta Dr. Ulimboka. Je uliwahi kumsikia tena? Ogopa kushindana na wezi wenye nguvu za kimamlaka.
Bora yeye, sisi keyboard warriors kutaja jina tu ni shida.Dr Rugemeleza Nshala aliitwa polisi kwenda kuhojiwa, siyo kwa uchunguzi wa kutishiwa kwake, bali kwa yale aliyoyasema kuhusu suala la Bandari.
Sasa wala haieleweki kama alikwenda kuhojiwa, na kama alipewa masharti asiseme chochote kuhusu mahojiano hayo?
Katika hali ya kawaida, ilitegemewa vyombo vya habari vimfuate na kumuuliza maswali kuhusu alichoitiwa huko osisini kwa DCI; lakini hata waandishi wa habari na wao hawana hamu ya kupata tarifa wanayoweza kuwafikishia wananchi.
Kama wakili alipewa masharti ya kutozungumzia chochote baada ya mahojiano hayo, maana yake ni kwamba wakili huyo katishwa na kutishika, kiasi kwamba hata haki yake ya kupasha na kupata habari imeingiliwa.
Ni vigumu sana kuamini kuwa wakili msomi kama huyu anaweza kutishika kirahisi namna hiyo.
Kunyamazishwa kwake, kuna maana kwamba ameshughulikiwa na kukubali kusalimu amri katika jambo ambalo wengi waliamini kuwa katika nafasi yake, aliyoyazungumzia yalikuwa ya kweli na umuhimu mkubwa kwa jamii.
Sasa ananyamaza jamii imuelewe vipi?
Hata kama kasalimu amri, si ajitokeze na kusema kuwa hana hamu tena ya kuendelea na yale aliyokuwa ameyasema?
Kunyamaza kwake kunawafurahisha sana aliokuwa kawatupia lawama kuhusika na yanayoendelea na makubaliano hayo ya Bandari.
Kuna sababu chungu nzima zinazofanya watu wasitumie majina halisi humu; isiwe hiyo moja unayoifahamu wewe.Bora yeye, sisi keyboard warriors kutaja jina tu ni shida.
Jibu hayo maswali, acha kurukarukawewe huelewi hata unachokiongea, rudi ukasomeshwe halafu uje kubishana kiakili.
Sijaona swali, naona watu wanalia lia tu ndugu zangu kupewa ulaji.Jibu hayo maswali, acha kurukaruka
Hana akiliMkuu, nilikuwa sijui, hadi nilipotafakari mengi anayoandika humu, ndipo nikagundua ujuzi wake huo!
Tuna akina Tundu Lisu wangapi? Na serekali hii ilimpofikisha Lisu, ufahamu hana cha kupoteza, maana alishakufa, ila kwa mapenzi ya Mungu akafufuka.Ni kweli.
Lakini tunao mfano mwingine ulio hai, Tundu Lissu hajawahi kunyamaza hata siku moja.
Unaponyamaza ndipo hayo majambazi yanafurahi zaidi na kuongeza vitisho kwa kila mtu anayejitokeza kupinga ujambazi wao.
Kuna silencer mkuu. Bin saanane na kijana wa nguruka kigoma Azory gwanda wapo wapi? Lazima Nshalla aufyate.Looooh.
Kashikiwa bunduki kichwani.
Mbona aliposema yale aliyoyasema hapo mwanzo alionekana kuwa mtu mwenye kujitambua?
Hata kama angeshikiwa bunduki kichwani, bado kuna njia ya kufikisha ujumbe kuwa mdomo wake umefungwa, siyo kunyamaza tu kama bubu.
Niseme wazi, kama huyo ni msomi wa Havard kweli, kuna mambo ambayo anategemewa au hategemewi kuwa nayo au kutokuwa nayo.
Na siyo Havard tu, mtu msomi kwa kiwango chake kuna mambo asiyotegemewa kuwa nayo; moja ikiwa ni huko kufungwa mdomo.
kama ni kweli huyu katishiwa na kutishika, nitamsikitikia sana.
Tena unatishwa na majambazi yanayo ihujumu nchi yako?
Huyu Faizafox,nakachukuliaga Kama nikibibi flani hivi kifupiiii ..cheusiiii...kibayaaa...!alafu alilelewegwa na baba wa kambo.🤯Mwenzako kishatapika huko mpaka wanaomlipa. Kuna cha kuongea tena hapo.
Wewe subiri leo au kesho anatangazwa mshindi wa zabuni rasmi, habari zilizovuja ni DP World. na siku wanayotangazwa wanaanza kazi rasmi.
Hapo sasa!
Huo uliouona bungeni unaitwa IGA, bado kuna HGA halafu kuna mikataba mingi tu ya kuendesha mambo mengi tu, siyo bandari peke yake..
Vitu vinaenda kisheria, mama hakurupuki.
Problem is you're an uneducated fool from an uneducated school.You can fool some people for some time but you can't fool all the people all the time FaizaFoxy
Safi sana, linganisha na kondoo unaefata mchungaji alyepotea.Huyu Faizafox,nakachukuliaga Kama nikibibi flani hivi kifupiiii ..cheusiiii...kibayaaa...!alafu alilelewegwa na baba wa kambo.🤯
LIVE: MAWAKILI WA DKT.RUGEMELEZA NSHALA WANATOA TAMKO MUDA HUUProblem is you're an uneducated fool from an uneducated school.
Even fools fool you.
Ooh kumbe wakili nae anahitaji wakili?LIVE: MAWAKILI WA DKT.RUGEMELEZA NSHALA WANATOA TAMKO MUDA HUU
Bomu kuliko mapolisi wanaoandika wito wa saa 9 alfajiri?Sasa kama "hakushuhudiwa" ina maana wakili anasema uongo?
Wakili bomu.
Hayo mahakama itaamua. Au siyo?Bomu kuliko mapolisi wanaoandika wito wa saa 9 alfajiri?