Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaAmeitemdea haki fani yake ya sheria na amedhihirisha uzalendo wake kwa nchi na taifa lake.[emoji419][emoji375][emoji173]
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo cha hiki kitu ni nini? ina maana Dr. Nshalla alifunguliwa kesi baada ya kuhojiwa na polisi?LIVE: MAWAKILI WA DKT.RUGEMELEZA NSHALA WANATOA TAMKO MUDA HUU
Hapana.Kuna silencer mkuu. Bin saanane na kijana wa nguruka kigoma Azory gwanda wapo wapi? Lazima Nshalla aufyate.
Msitishane humu tupige soga life liendelee.Kwa hiyo hii ni taarifa kwako, ukiendelea kunizongazonga, nitakupa muda huo maalum tuyamalize.
Usiniite tena.
Wewe kama unaona wakati huu ni wa kupiga soga, hilo ni shauri lako. Wengine hili tunaliona kuwa jambo la kufa na kupona kwa taifa letu na heshima yetu.Msitishane humu tupige soga life liendelee.
Bandari tushaliwa
Hapana mkuu ukweli ni kinyumeHuyu Faizafox,nakachukuliaga Kama nikibibi flani hivi kifupiiii ..cheusiiii...kibayaaa...!alafu alilelewegwa na baba wa kambo.🤯
Hatujaliwa mkuu tumekula. Niko paleee utaniambiaaa.Msitishane humu tupige soga life liendelee.
Bandari tushaliwa