Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Timalize Kwanza suala la bandari ni suala mtambuka.
 
huyo mbwa kuna kitu kinamwasha siku si nyingi atapata anachokitafuta. Ameshindwa kupata umaarufu huko mahakamani kwasababu ni kilaza. Amekula pesa za mafisadi wanaofikiri wanaweza kuikwamisha serikali hii, atakwama yeye ngedere. Lengo la hao mambwa ni kuikwamisha serikali na wanatumika na mafisadi wa bandari. Mnafiki mkubwa eti Tanganyika yetu, anaijua Tanganyika huyo fala? Hii nchi haigawanyiki watagawanyika wao.
 
anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
wewe inaonekana hata ukitishiwa na manati tayari unakumbatia ukuta na kusomwa jicho ki urahiiisi kabisa madai yako usije tolewa nundu na jiwe la manati. Mambo yenu ya ki bwabwa pelekeni huko kwa wajomba zenu wanaotaka kubeba bandar yetu
 
Magu hatatokea kweli kwani likuwa baguzi, katili, yenye roho mbaya siyo vinginevyo. Binadamu anayefanya watanzania wataabike mpaka sasa hivi kwa kukosa ajira never again hatatokea tena
 
wewe inaonekana hata ukitishiwa na manati tayari unakumbatia ukuta na kusomwa jicho ki urahiiisi kabisa madai yako usije tolewa nundu na jiwe la manati. Mambo yenu ya ki bwabwa pelekeni huko kwa wajomba zenu wanaotaka kubeba bandar yetu
we mbona siku ya maandamano hukujitokeza umejificha nyuma ya keyboard, kunguru kweli
 
Viongozi heshimuni maoni ya Wananchi, mikataba yote nchi hii ingekuwa inavuja kama huu naamini msingeingia mikataba mibovu kama huu
Mashirika mengi tu yamebinafsishwa lakini wapi?
Wakili kafoka kweli ni haki yake.

Ugumu wa kuachana na DPW uko wapi?
Na bado muda unavyosonga wataibuka wengi tu
Wenye nchi hawataki mliopewa dhamani heshimu wenye nchi
Figisu la muungano nalo ni kweli watu washaamka lilifanyika hivyo hivyo kwa maelewano wa watu wawili
Siku zinavyosonga utavunjika ndo mtatamani swala la serikali 3 kuna vitu kwa dunia ya sasa havibebeki.
 
Kwanini aende Mbeya, ni lijitu libaguzi, leo anadai Tanganyika keshao atataka myakyusa awe rais. Huyo ni shetani ni mkabila, mdini, mkanda n.k Natabiri mwisho wake utakuwa mbaya. Wazee wa Mbeya wanahusika vipi na nchi hii, pumbavu
 
Makes sense.
Walioutengeneza mkataba DP World:

Rais :Mzanzibar
Waziri Ujenzi :Mzanzibar
Katibu Mkuu Ujenzi: Mzanzibar

Bandari za Zanzibar: haziuzwi!

The country(Tanganyika) has gone to the dogs!
we uliikuta Tanganyika wakati unazaliwa acheni unafki kutafuta kiki za kipuuzi.
 
Kwanini aende Mbeya, ni lijitu libaguzi, leo anadai Tanganyika keshao atataka myakyusa awe rais. Huyo ni shetani ni mkabila, mdini, mkanda n.k Natabiri mwisho wake utakuwa mbaya. Wazee wa Mbeya wanahusika vipi na nchi hii, pumbavu
Angali dudu lingine hili kwa hiyo kufungua kesi mahakama ya mbeya lazima uwe mnyakyusa? Nyani mkubwa weye! Nakukumbusha tu Mwarabu hachukui bandari kama mmekula vya watu jipangeni
 
Hizi ndo akili za watetezi wa mkataba wa DPW! Hamna hoja zaidi ya matusi, vitisho na viroja vya kuokoteza hapa na pale! Watanganyika hawa wameamka siyo wale mliozoea kuwaburuza kama mbwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…