Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Wanaanza kumtisha jaji🤔.Ukiona hivyo ujue mawakili wa serikali wameanza kupoteana, Kibatala, Mtombesya nk shikilieni hapo hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaanza kumtisha jaji🤔.Ukiona hivyo ujue mawakili wa serikali wameanza kupoteana, Kibatala, Mtombesya nk shikilieni hapo hapo.
Mheshimiwa jaji na wewe waambie sitetereki, siteteereki, siteeterekii , kwa kuwa timeamua mpaka kieleweke🤔.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni moja ya sababu ya madai ya Katiba mpya. Katiba Mpya izuie Rais kuteua Majaji wa Mahakama Kuu, Tume ya Utumishi ya Mahakama ipewe jukumu hiloBy Martin Maranja Masese kupitia twitter:
Kibatala: OBJECTION. Mh Jaji ni kweli kwamba mahakama imebakia na sintofahamu???
Jaji: ameacha kuwa wakili wa mashtaka anataka kuwa wakili wa mahakama
WS Chavula: Mheshimiwa Jaji watake wasitake ukishakuwa wakili wa Jamhuri ni pamoja na mahakama
Mahakama: 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Akiingia kwenye 18 apigwe mtungo ili iwe fundisho kwa mawakili wengine wasiojitambua.WS Chavula ni zuzu tu kama yule muasisi wa atake asitake [emoji16][emoji16]
Aaah kumbe?? wao pia ni majaji😅😅By Martin Maranja Masese kupitia twitter:
Kibatala: OBJECTION. Mh Jaji ni kweli kwamba mahakama imebakia na sintofahamu???
Jaji: ameacha kuwa wakili wa mashtaka anataka kuwa wakili wa mahakama
WS Chavula: Mheshimiwa Jaji watake wasitake ukishakuwa wakili wa Jamhuri ni pamoja na mahakama
Mahakama: 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Wanatumia ubabe na akili finyu sana. Akili wanazo ila hawataki kuzitumia. Vile wanaendeshwa kwenye Vieitee na nyumba za serikali mishahara minono na marupurupu kibao basi hawajigusi kabisa.Sasa nimegundua kwanini kesi nyingi serikali huwa inashindwa, mawakili wa serikali ni viazi mbatata kabisa, hawawez kujenga hoja kabisa
Mamamaaaeee khaaa! Hao mna uhakika ni mawakili kweliWakitoka hapo mahakamani hua hawana muda wa kukaa na kutafakari mwenendo wao mahakamani? DPP hao watu wapuuzi unawatoa wapi? au wanafanya upuuzi kwa faida ya Nani Sasa.
Wajitathmini make wanaanza kupanda juu ya mahakama, na kesi inavyozidi kuendelea watamtukana na jaji kabisa.
DPP na Jaji Mkuu kuweni makini hao wapuuzi wanataka kutupeleka siyo.
hii ni kesi ndogo ndani ya kesi.kule kwingine wameishafika wanane kati ya 20+Mashtaka walisema wanamashaidi 21 vipi wengine wamepotea wapi.
War? Au katiba mpya?Na mahakama kurudishiwa makali yake ni mpaka utaratibu mpya wa kiuongozi ufanyika. WAR ndiyo suluhisho.
Turudi kwenye mabaraza ya kimila kuamua kesi zetu. Mahakama tuachane nayo ishapoteza mwelekeo.Kauli hiyo aliitoa wakili mwandamizi wa serikali Bw. Chavula jana tarehe 26 Novemba 2021 katika kesi ya ugaidi inayomuhusu Mbowe ndani ya Mahakama Kuu ya uhujumu uchumi jijini Dar es Salaam. Nini maana ya kauli hii?
Je, ni kwamba hakuna tena muhimili wa mahakama? Na kwamba mahakama na serikali ni kitu kimoja kwa mujibu wa katiba?
Je, uhuru wa mahakama tayari umepokwa na serikali?
Je, wananchi tutegemee nini tunapokuwa mbele ya Mahakama?
Je, mahakama ina uwezo wa kutoa haki bila kuingiliwa na serikali?
Ni maswali mengi ambayo yamo vichwani mwetu yanayotakiwa kupatiwa majibu vinginevyo mahakama inaelekea kupoteza hadhi yake kama muhimili inayojitegemea.
nchi ya kusadikika hiiKauli hiyo aliitoa wakili mwandamizi wa serikali Bw. Chavula jana tarehe 26 Novemba 2021 katika kesi ya ugaidi inayomuhusu Mbowe ndani ya Mahakama Kuu ya uhujumu uchumi jijini Dar es Salaam. Nini maana ya kauli hii?
Je, ni kwamba hakuna tena muhimili wa mahakama? Na kwamba mahakama na serikali ni kitu kimoja kwa mujibu wa katiba?
Je, uhuru wa mahakama tayari umepokwa na serikali?
Je, wananchi tutegemee nini tunapokuwa mbele ya Mahakama?
Je, mahakama ina uwezo wa kutoa haki bila kuingiliwa na serikali?
Ni maswali mengi ambayo yamo vichwani mwetu yanayotakiwa kupatiwa majibu vinginevyo mahakama inaelekea kupoteza hadhi yake kama muhimili inayojitegemea.
mawakili wa serikali hadi nawaonea hurumamahakama ingekua huru wasingekubali kutumikishwa na serikali.
Tutaona na kusikia mengiHangaya alishatoa maelekezo tayari, hizo kauli ni uthibitisho tu.