Wakili huyu angekuwa ndio anahojiwa na Makonda angeloa kejeri na udhalilishaji!

Wakili huyu angekuwa ndio anahojiwa na Makonda angeloa kejeri na udhalilishaji!

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Hapo na Wakili wa Makonda anayetakiwa kuwatetea na wananchi kutokana na dhuluma mbalimbali akisoma hukumu ya kesi nadhani. Huyu bwana ndio angekuwa anahojiwa na makonda angeitwa hajasoma, anaongea vibaya, anabana pua kama anaongea na mke wake, mwishowe amtengeu, ila sababu yuko upande wake kila kitu shwari, na atamtendea vizuri bila ubaguzi.

Haitakiwi kuwa hivi, kuwe na double standard, kila mtu atendewe vizuri bila kumdhalilisha wala kushusha utu wake. Kama ni mzembe au mwizi wa mali umma awajibishwe kwa kufuata taratibu siyo kutumia mihemko na kufanya kiki kwa gharama ya utu wake.

Kwenu Wakuu.


 
Hapo na Wakili wa Makonda anayetakiwa kuwatetea na wananchi kutokana na dhuluma mbalimbali akisoma hukumu ya kesi nadhani. Huyu bwana ndio angekuwa anahojiwa na makonda angeitwa hajasoma, anaongea vibaya, anabana pua kama anaongea na mke wake, mwishowe amtengeu, ila sababu yuko upande wake kila kitu shwari, na atamtendea vizuri bila ubaguzi.

Haitakiwi kuwa hivi, kuwe na double standard, kila mtu atendewe vizuri bila kumdhalilisha wala kushusha utu wake. Kama ni mzembe au mwizi wa mali umma awajibishwe kwa kufuata taratibu siyo kutumia mihemko na kufanya kiki kwa gharama ya utu wake.

Kwenu Wakuu.

View attachment 3002609
Hayo ni maoni yako binafsi,punguza chuki dhidi ya MAKONDA,utaambulia tezi dume na kaswende ya ubongo wako finyee tu
 
Huyo akiwa wakili wako itabidi uongeze na waganga,na waganga usiwapunje pesa yao.
 
Hapo na Wakili wa Makonda anayetakiwa kuwatetea na wananchi kutokana na dhuluma mbalimbali akisoma hukumu ya kesi nadhani. Huyu bwana ndio angekuwa anahojiwa na makonda angeitwa hajasoma, anaongea vibaya, anabana pua kama anaongea na mke wake, mwishowe amtengeu, ila sababu yuko upande wake kila kitu shwari, na atamtendea vizuri bila ubaguzi.

Haitakiwi kuwa hivi, kuwe na double standard, kila mtu atendewe vizuri bila kumdhalilisha wala kushusha utu wake. Kama ni mzembe au mwizi wa mali umma awajibishwe kwa kufuata taratibu siyo kutumia mihemko na kufanya kiki kwa gharama ya utu wake.

Kwenu Wakuu.

View attachment 3002609
Hicho kidhungu kama cha Profesa Joyce Ndalichako
 
Mimi ngeli inanipiga chenga sana mbali na kwenda eti kusoma nje Ila kukweli nisifiche huyo namzidi mbali sana .
Kwanza Mimi natia lafudhi ya kizaramo kwenye kingereza hapo mpaka wakubali .
Jirani Makonda ,nichukue bwana niwe nakusomea mambo ya kingereza japo utafute na mtu wa kutafsiri nimesoma nini
 
Back
Top Bottom