Wakili huyu angekuwa ndio anahojiwa na Makonda angeloa kejeri na udhalilishaji!

Wakili huyu angekuwa ndio anahojiwa na Makonda angeloa kejeri na udhalilishaji!

Hapo na Wakili wa Makonda anayetakiwa kuwatetea na wananchi kutokana na dhuluma mbalimbali akisoma hukumu ya kesi nadhani. Huyu bwana ndio angekuwa anahojiwa na makonda angeitwa hajasoma, anaongea vibaya, anabana pua kama anaongea na mke wake, mwishowe amtengeu, ila sababu yuko upande wake kila kitu shwari, na atamtendea vizuri bila ubaguzi.

Haitakiwi kuwa hivi, kuwe na double standard, kila mtu atendewe vizuri bila kumdhalilisha wala kushusha utu wake. Kama ni mzembe au mwizi wa mali umma awajibishwe kwa kufuata taratibu siyo kutumia mihemko na kufanya kiki kwa gharama ya utu wake.

Kwenu Wakuu.

View attachment 3002609
Products za shule ya Kata , kingerreza si lazma , kiswahili ni lugha ya kimataifa, wengi mnaomzodoa wakili hapa ni kwasababu hajui kingereza ila kizungu si lazma kujua, kwani wachina wanajua kingereza? Warusi wanajua kingereza?
 
Huyo akiwa wakili wako itabidi uongeze na waganga,na waganga usiwapunje pesa yao.
Anaitwa JOHN PALLANGYO, ni PARALEGAL sio Wakili wala Mwanasheria.

Paralegal ni kama Kishoka aliyechangamka tu.
 
Hapo na Wakili wa Makonda anayetakiwa kuwatetea na wananchi kutokana na dhuluma mbalimbali akisoma hukumu ya kesi nadhani. Huyu bwana ndio angekuwa anahojiwa na makonda angeitwa hajasoma, anaongea vibaya, anabana pua kama anaongea na mke wake, mwishowe amtengeu, ila sababu yuko upande wake kila kitu shwari, na atamtendea vizuri bila ubaguzi.

Haitakiwi kuwa hivi, kuwe na double standard, kila mtu atendewe vizuri bila kumdhalilisha wala kushusha utu wake. Kama ni mzembe au mwizi wa mali umma awajibishwe kwa kufuata taratibu siyo kutumia mihemko na kufanya kiki kwa gharama ya utu wake.

Kwenu Wakuu.

View attachment 3002609
Huyu wakili wa Bashite ndani ya mahakama Mh Lissu anaweza kumpiga K.O dakika sifuri....hawa ndiwo wasomi wakijani...mwanasheria tahira
 
Huyu wakili wa Bashite ndani ya mahakama Mh Lissu anaweza kumpiga K.O dakika sifuri....hawa ndiwo ...mwanasheria tahira
Nope. Hakuna wakili wa hivyo nchi hii.

Ukiwa kilaza kama huyo jamaa huwezi toboa LAW SCHOOL milele.

Anaitwa JOHN PALLANGYO, ni paralegal, KISHOKA WA SHERIA.
 
I thought is a trained lawyer.... thanks for clarification.
Hapana. Sio mwanasheria huyo.

Hana hata diploma ya sheria.

Huyu ni PARALEGAL, wanaitwaga wasaidizi wa kisheria lakini sio wanasheria wala mawakili.

Kazi yao ni kupanga panga mafaili na diary na kupiga kampeni.
 
Hapana. Sio mwanasheria huyo.

Hana hata diploma ya sheria.

Huyu ni PARALEGAL, wanaitwaga wasaidizi wa kisheria lakini sio wanasheria wala mawakili.

Kazi yao ni kupanga panga mafaili na diary na kupiga kampeni.
Sawa ila sio vema kumdhalisha kumlazimisha in the public domain.
 
Products za shule ya Kata , kingerreza si lazma , kiswahili ni lugha ya kimataifa, wengi mnaomzodoa wakili hapa ni kwasababu hajui kingereza ila kizungu si lazma kujua, kwani wachina wanajua kingereza? Warusi wanajua kingereza?
Alisomea sheria kwa lugha gani?
 
Back
Top Bottom