Wakili huyu angekuwa ndio anahojiwa na Makonda angeloa kejeri na udhalilishaji!

Wakili huyu angekuwa ndio anahojiwa na Makonda angeloa kejeri na udhalilishaji!

Hapo na Wakili wa Makonda anayetakiwa kuwatetea na wananchi kutokana na dhuluma mbalimbali akisoma hukumu ya kesi nadhani. Huyu bwana ndio angekuwa anahojiwa na makonda angeitwa hajasoma, anaongea vibaya, anabana pua kama anaongea na mke wake, mwishowe amtengeu, ila sababu yuko upande wake kila kitu shwari, na atamtendea vizuri bila ubaguzi.

Haitakiwi kuwa hivi, kuwe na double standard, kila mtu atendewe vizuri bila kumdhalilisha wala kushusha utu wake. Kama ni mzembe au mwizi wa mali umma awajibishwe kwa kufuata taratibu siyo kutumia mihemko na kufanya kiki kwa gharama ya utu wake.

Kwenu Wakuu.

View attachment 3002609
Maaaaama yangu! Hivi naota!! Huyu ni nani eti? Wakili wa Makonda? Cute Wife hebu acheni utani bwana. Nimelewa bila hata kunywa pombe!
 
Products za shule ya Kata , kingerreza si lazma , kiswahili ni lugha ya kimataifa, wengi mnaomzodoa wakili hapa ni kwasababu hajui kingereza ila kizungu si lazma kujua, kwani wachina wanajua kingereza? Warusi wanajua kingereza?
Inawezekana wewe ni huyo kilaza! Tanzania tumefika kuwa na stage ya kuwa na wanasheria wa namna hii? Huyu hata mtoto wangu wa darasa la sita mbona anaweza kusoma vizuri zaidi?
 
Ndio ushahidi kwamba una chuki binafsi na Makonda.Huyu pia unamdhalilisha kwa kuweka mapungufu yake wazi.Sio ndio logical thinking uliyotumia kumshambulia Makonda alipotaka yule dada aongeze sauti?
Wewe upo subjective kwenye kumshambulia Makonda mpaka umediriki kufanya assumption iwe ndio ukweli.
Isije ikwa wewe ni mojawapo wa kikundi cha mafisadi au wala rushwa/wazembe.
Unasumbuliwa na spana.
 
Hapo na Wakili wa Makonda anayetakiwa kuwatetea na wananchi kutokana na dhuluma mbalimbali akisoma hukumu ya kesi nadhani. Huyu bwana ndio angekuwa anahojiwa na makonda angeitwa hajasoma, anaongea vibaya, anabana pua kama anaongea na mke wake, mwishowe amtengeu, ila sababu yuko upande wake kila kitu shwari, na atamtendea vizuri bila ubaguzi.

Haitakiwi kuwa hivi, kuwe na double standard, kila mtu atendewe vizuri bila kumdhalilisha wala kushusha utu wake. Kama ni mzembe au mwizi wa mali umma awajibishwe kwa kufuata taratibu siyo kutumia mihemko na kufanya kiki kwa gharama ya utu wake.

Kwenu Wakuu.

View attachment 3002609
Lamamayeee oyaaa huyu ndiyo wakili mwenyewe!!??
 
Back
Top Bottom