Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Kwani ukicheka halafu urushe kwenye social media ndo inakuwaje?

Magufuli aache kunyanyasa watu.

Urais aliutaka mwenyewe. Urais unakuja na mambo mengi sana.

Rais anapaswa kuwa mvumilivu sana kushinda watu wengine. Magu anapaswa awe na ngozi nene.

Why is he so sensitive?

Idris hana kosa hapo.

The laugh was innocuous.
Halafu kuna watu huwa wanazusha, tena bila aibu, kuwa mimi ni blind follower wa Magufuli!!

JokaKuu
 
Kosa la huyo dogo Idris ni lipi?

Ku-juxtapose picha inayosadikika kuwa mmoja wa watu wanaoonekana ni Rais Magufuli na clip ya yeye akionekana kucheka?

Na ‘culture’ yetu uliyoitaja ndo ipi? Hiyo ‘culture’ yetu ndo inayokataza watu kucheka? Inakataza watu kuwa na utani?

Bullshit! Dogo hajatenda kosa lolote lile.

Hiyo picha hata mimi imenichekesha. Sema sina tu muda wa hayo ma Twitter na sipo huko kwenye hayo mamitandao mengine.

Zaidi ya ubabe, ujinga, vitisho, na ushamba, Magufuli na dola yake hawana kesi yoyote ile iwezayo simama kwa merits zake dhidi ya huyo dogo. Wanalazimisha mambo tu.

Hiyo picha, kama kweli huyo anayedhaniwa kuwa ndo yeye aliyetokelezea kwenye hiyo suti, basi inachekesha.

Na si lazima iwe inachekesha kwa watu wote. Kama wewe na Magufuli mnaona haichekeshi, sawa.

Hiyo ni haki yenu. Lakini, hiyo haina maana ya kwamba ndo mminye haki za wengine [akiwemo] Idris, kucheka.

Just as you can’t legislate stupidity. The same goes for humor. You can’t legislate it. You also can’t infringe others from enjoying it, either.

Magufuli [and his ilk] are country bumpkins - chambilecho Kiranga
Wow!

Cheki hapa nilivyomsifia Magufuli!!!

Wow again!
 
Back
Top Bottom