Kosa la huyo dogo Idris ni lipi?
Ku-juxtapose picha inayosadikika kuwa mmoja wa watu wanaoonekana ni Rais Magufuli na clip ya yeye akionekana kucheka?
Na ‘culture’ yetu uliyoitaja ndo ipi? Hiyo ‘culture’ yetu ndo inayokataza watu kucheka? Inakataza watu kuwa na utani?
Bullshit! Dogo hajatenda kosa lolote lile.
Hiyo picha hata mimi imenichekesha. Sema sina tu muda wa hayo ma Twitter na sipo huko kwenye hayo mamitandao mengine.
Zaidi ya ubabe, ujinga, vitisho, na ushamba, Magufuli na dola yake hawana kesi yoyote ile iwezayo simama kwa merits zake dhidi ya huyo dogo. Wanalazimisha mambo tu.
Hiyo picha, kama kweli huyo anayedhaniwa kuwa ndo yeye aliyetokelezea kwenye hiyo suti, basi inachekesha.
Na si lazima iwe inachekesha kwa watu wote. Kama wewe na Magufuli mnaona haichekeshi, sawa.
Hiyo ni haki yenu. Lakini, hiyo haina maana ya kwamba ndo mminye haki za wengine [akiwemo] Idris, kucheka.
Just as you can’t legislate stupidity. The same goes for humor. You can’t legislate it. You also can’t infringe others from enjoying it, either.
Magufuli [and his ilk] are country bumpkins - chambilecho
Kiranga