upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Lakini Nifah kwani wewe ile picha unaionaje?Acheni siasa, ile ni dhihaka na sio vinginevyo. Tupingane na Rais katika mambo ya msingi ila sio kumdhihaki.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawakukosea kutuita shitholekwa hiyo Jpm hachekwi [emoji23][emoji23]
Hii nchi kuja kuendelea ni kazi sana kwa mentality hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3069]
Mkulima wa mahindi
Ukicheka pasi kutia neno ni dhihaka?Acheni siasa, ile ni dhihaka na sio vinginevyo. Tupingane na Rais katika mambo ya msingi ila sio kumdhihaki.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Lakini Nifah kwani wewe ile picha unaionaje?
Lile koti na ile miwani ya mviringo je?
Ule mchongoko?
Ile stance je?
Idris aache kiherehere lakini.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nitajie sheria aliyovunjaWashauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.
Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!
Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio kazi iliyobaki Tanzania mkuu......nchi inaangamia kwa kukosa maarifaYaani jeshi la Polisi linapoteza muda kumuhoji mtu aliekuwa anacheka!!!! Bora kuwa na mgambo tu kuliko jeshii la mananga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiambiwa nchi inayoendelea ujue hata kucheka haturusiwi kucheks viongozi maana hawajazoea kuchekwakwa hiyo Jpm hachekwi [emoji23][emoji23]
Hii nchi kuja kuendelea ni kazi sana kwa mentality hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3069]
Mkulima wa mahindi
Hivi watanzania mmekuwaje? Tuseme wewe huwezi kuicheka picha ya baba yako kama inachekesha, tena na yeye akiwa pale akacheka na wewe; mmekuwa kama akili mmeondoa kwenye ubongo na kujaza tu mamichanga. Eti hakupendezwa! Lumumba bwana!!! Shame!Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.
Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!
Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!
Sent from my iPhone using JamiiForums