Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Jamani eeh kama hapa ndiyo tulipo tuna kizazi tatizo kidogo.

Kuicheka picha binafsi sioni kama big deal. Wengine wanamchora ana kichwa kibaya na siyo tatizo kwanini hili liwe tatizo?

Ajabu zaidi ni wanapotokea watu wakisema hilo ni kos kubwa sana afunzwe adabu. Yaani, kucheka picha ni kosa kubwa sana ufunzwe adabu.

Jpm akiibuka na akasema haoni tatizo? Itabidi wamuachie. Kisha same people waliosema afunzwe adabu wataside upande wa jpm. Also if jpm will do this atavuna popularity na atatutofautisha sisi na North Korea.
Hawezi maana sasa hivi hatuna tofauti na North Korea!
 
Vipi katuni za masudi kipanya?? Hazina dhihaka kwa mh rais????
 
Acheni siasa, ile ni dhihaka na sio vinginevyo. Tupingane na Rais katika mambo ya msingi ila sio kumdhihaki.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Vipi yule anayemchora kichwa kikiwa kimebonyea na kidevu kimechongoka?
 
Biology kuna kitu nilisoma kinaitwa automatic reflex action...aisee iyo pichwa sema ukioona biology huwa inaaply hapo fasta...kosa la dogo ni kujirekodi na kusambaza ila sio kucheka...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
O
Hamna haja ya kumuumiza Sana,sisi siyo sadist na Kama sikosei hili kosa lake la pili,nadhani kijana Ana kichwa kigumu bado hajaelewa tuko kipindi gani,apewe onto Kali Sana na akirudia Tena Basi adhabu Kali ya kumfunga adabu ihusike,
Mfano viboko,faini etc
Onyo?
 
Jamani amkeni amkeni ! Kule Tanzania hata kumcheka rais ni kosa la jinai . unaweza kubambikiwa kesi ya uhujumu uchumi
 
Kinachomtesa Idris ni ‘vibwengo’ wa mkulu tu, vinajifanya ku-act mapema kumfurahisha mhusika... wala hakuna kosa la kisheria pale siku mhusika akisema kafurahishwa na sanaa ile vitapiga makofi tena.

Mlivyotufundisha kuwa binadamu alikuwa nyani mbona hatukurusha ngumi, evolution ni halisi na hizo ‘TBT’ ni ukumbusho wa kweli.

Picha zinafurahisha kisha hamtaki tucheke..!!

Don’t be ashamed of your past, binafsi natamani ningekuwa na kumbukizi za enzi hizo... tatizo umaskini na ukosefu wa kamera.
 
Mfano ile picha ikaletwa mahakamani kwenye mwenendo wa kesi watu wengi watazimia kwa vicheko
 
Ila Port naye alizingua sana aiseee, ile siyo suti ya kuvaliwa na mbunge!

Tatizo unaitazama picha kwa jicho la leo, ingawa mkulu hata leo pigo zake ni magumashi ila hii kwa nyakati zao haikuwa kichekezo bali heshima... tunatoka mbali bwashee.
 
Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.

Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!

Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbona picha hakuunganisha Wala kupost yeye? Watu waliokota clip ya Idriss akicheka wakaunga na picha ya Magufuli wakapost

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom