Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Vijana mnajisahau sana kama ni uhuru sio kwa kiasi hicho.

This is Africa not America!
Mbona kama masihara huwa hawawafanyii wazazi wao. Akamcheke mama ake au baba ake. Kibaya zaidi usikute hakumpigia hata kura huyo magufuli, na ndio sababu ya hizo dharau na dhihaka. Anajifanya ana trend na siasa za upinzani. Alipewa millioni 500. Angezisimamia vizuri sidhani hata kama angekuwa na huo muda wa kuleta dhihaka kwa rais. Pengine angekuwa bize na kina angela kairuki huko kwenye uwekezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kama masihara huwa hawawafanyii wazazi wao. Akamcheke mama ake au baba ake. Kibaya zaidi usikute hakumpigia hata kura huyo magufuli, na ndio sababu ya hizo dharau na dhihaka. Anajifanya ana trend na siasa za upinzani. Alipewa millioni 500. Angezisimamia vizuri sidhani hata kama angekuwa na huo muda wa kuleta dhihaka kwa rais. Pengine angekuwa bize na kina angela kairuki huko kwenye uwekezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alipewa na aliyemcheka au alishinda alipokuwa anashindana?? Acha kukurupuka dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ulikuwa mkubwa miaka hiyo utakumbuka hili, kuna picha za ‘Nkapa’ pia kipindi hicho majanga tupu.... sema huyu Mzee wetu hadi leo pigo zake za kijima tu.

Namhala wing’we alemugoola atadebile kuzwala chiza. [emoji28][emoji28][emoji28]
Ha ha ha haaaa, ila siku hizi kuna suti huwa zinalitoa balaa! Vipi ile t-shirt ya kwenye mawe? Gashinagha nang'ho uli-munhu?
 
Huyu by the time wanampandisha kizimbani, watakuwa walishapata kosa la kumpa lisilohusiana kabisa na ile clip. Usishangae kusikia kapigwa money laundering and/or ukwepaji kodi
 
wampe adhabu ya kwenda jera akajifunze kazi za mikono kama ujenzi na kilimo, maana kazi ya uchekeshaji naona haiwezi, sasa kule akitoka anakua fundi mzuri wa kujenga na kupaua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kule Korea Kaskazini ukiucheka mtindo wa kunyoa wa mapanki, moja kwa moja jela....wenzetu hawa wa Kusini wanalo, pole zao. Tatizo vinganganizi sana, wanaumwa ule ugonjwa wa Stockholm syndrome, huwaambii kitu kwenye hayo mateso yao.
 
I bet Magu mwenyewe akiwa na familia yake wakiona hii picha wote wanacheka. Ukweli usemwe we are coming from long way sio yeye tu peke yake. Being Raizoni, buga, Afro au hata Travolta. Kila mmoja wetu ana awkward moment captured on camera. Like it or not.

Having said all that, Idris alitakiwa asome alama za nyakati. While what he did is not illegal but is nothing short of ethical behaviour as far as our culture is concerned. Na wao lamaa wa TISS wangemuapproach na kumkanya tu. What a waste of public resources
 
His name is Jiwe...or you can call him "the bulldozer",don't mess with him
But remember,this is Tanzania,we are not pretending to be americans
 
Back
Top Bottom