Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

nukuu:"nitakupa Uhuru Wa kuongea, lakini sitakuhakikishia uhuru baada ya kuongea" AMINI DADA
 
His name is Jiwe...or you can call him "the bulldozer",don't mess with him
But remember,this is Tanzania,we are not pretending to be americans
But you're following the North Korean model huh? 😹😹. Maajabu.
 
ha ha ha...after that laughter, a video of the Ghana coffin dancers should come next
 
Huyo kijana wamwache akae huko ajifunze
Hapa ndipo tunapotofautiana na wazungu...wao wangechunguza why mtu aicheke picha ya Rais ili wakijua sababu walifanyie kazi haraka.

Kwetu Africa ni akanyee debe huyo ajifunze adabu.
 
Exactly, ukomunisti ni janga.

Nimegundua kuwarudisha watanzania kwenye sera za ukomunisti ni rahisi sana kwasababu tulianzia huko...
Exactly! Ukomunisti ni laana. Unanyima wananchi uwezo wa kufikiri huku ukiwafanya viongozi wawe miungu watu.
 
NCHI NA VIONGOZI WA NCHI HII NI TAKATAKA. HIVI ILE PICHA YENYEWE INACHEKESHA....MNATAKA WATU WALIE AU WAKAE NA HOFU?

EBU MWACHIENI HUYO KIJANA...HANA KOSA, RAIS MWENYEWE AMEVAA SUTI NI OVERSIZE LABDA AKITEGEMEA ATAKAA NAYO KWA MUDA MREFU.....MIMI BINAFSI NILIKUWA NA SUTI KUBWA KAMA HIYO KULINGANISHA NA UMBO LANGU, KWANI SHIDA NI NINI.

PICHA YENYEWE NI YA ZAMANI. ACHENI UJINGA NINYI POLISI NA DPP. HUU NI UONEVU MKUBWA.
 
JF na vituko vyake, Great Tinkers wameamini maneno yaliyotolewa BBC, Je, Mashitaka ni nini? Je, wameona kilichoandikwa kwenye shitaka? Kama hawajaona basi ni kujadili majungu na propaganda. Nchi haiendelei kwa wale wanaojiona Great Tinkers kujadili majungu na propaganda.
 
Tatizo unaitazama picha kwa jicho la leo, ingawa mkulu hata leo pigo zake ni magumashi ila hii kwa nyakati zao haikuwa kichekezo bali heshima... tunatoka mbali bwashee.

No mbona akina JK walikua wanakula vitu vya uhakika kuanzia enzi hizo. Hata TBT zao walikua wanavaa suti za kueleweka.
Jamaa yenu ni mjomba tangu zamani hadi sasa
 
Kama ulikuwa mkubwa miaka hiyo utakumbuka hili, kuna picha za ‘Nkapa’ pia kipindi hicho majanga tupu.... sema huyu Mzee wetu hadi leo pigo zake za kijima tu.

Namhala wing’we alemugoola atadebile kuzwala chiza. [emoji28][emoji28][emoji28]
Mzee ni mjima tangu zamani mpaka leo. Hata kuongea kiswahili fasaha tu ni shida.
 
Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.

Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana..
Mkuu kwani hiyo picha ikoje mpaka rais wako achukie? Je hiyo picha ilipigwa na idrissa bila idhini ya rais au rais aliipiga mwenyewe na kwa hiari yake?
 
Mbona kama masihara huwa hawawafanyii wazazi wao. Akamcheke mama ake au baba ake. Kibaya zaidi usikute hakumpigia hata kura huyo magufuli, na ndio sababu ya hizo dharau na dhihaka. Anajifanya ana trend na siasa za upinzani. Alipewa millioni 500. Angezisimamia vizuri sidhani hata kama angekuwa na huo muda wa kuleta dhihaka kwa rais. Pengine angekuwa bize na kina angela kairuki huko kwenye uwekezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliza makalio wewe utueleze amevunja sheria ipi kwa kucheka picha ya Magufuli?
 
Hamna haja ya kumuumiza Sana, sisi siyo sadist na Kama sikosei hili kosa lake la pili, nadhani kijana Ana kichwa kigumu bado hajaelewa tuko kipindi gani,apewe onto Kali Sana na akirudia Tena Basi adhabu Kali ya kumfunga adabu ihusike,
Mfano viboko, faini etc
Usisahau na miti
 
Picha ya rais ni ipi?

Tupate ufafanuzi.

Sent using iphone pro max

magu.JPG
 
Nimeangalia ile sio commedy, alilenga kumdhalilisha Mkuu wa Nchi lazima achunguzwe huwenda kuna mtu anamtumia nyuma ya pazia
Kumbe kucheka siku hizi ni dhihaka ,kejeli nk...Yaani Lugola yupo mtaani lakini..Kuongozwa kwa ujinga ni ujinga mkubwa sana..Pia hiyo sio picha ya Rais tuache uongo
 
Acheni siasa, ile ni dhihaka na sio vinginevyo. Tupingane na Rais katika mambo ya msingi ila sio kumdhihaki.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Apo kwenye picha nani ni Rais?
Apo kwenye picha wakati inapigwa nani apo alikua Rais?
 
Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.

Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana..
Kama ni wengi wanaofanya dhihaka hii inakuinesha hakubaliki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni siasa, ile ni dhihaka na sio vinginevyo. Tupingane na Rais katika mambo ya msingi ila sio kumdhihaki.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Lakini kama ni ile picha ya wa3, mbona mhusika alitokelezea tu?

Sema labda aina ya uwakilishaji wa ujumbe.

Naye huyo kijana atakuwa ni mtoto sana basi, enzi za six button alikuwa bado anatambaa au hajazaliwa kabisa?

Maana enzi zetu, bila kutinga aina hiyo ya kivazi, haujisikii bado!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom