Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Kwani kucheka Ni dhambi
Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.

Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani yule anae muiga kuongea na kuvaa kutofauti gani na huyu anae cheka picha ya Rais? Wacheni upumbavu Watanzania kucheka picha ya Rais sio kumcheka Rais.......Labda alikuwa anamchekla fundi aliyeshona hiyo suti ya Rais......Tunarudishwa kwenye ukomonisiti...Wajinga nyie
Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wamekosa kazi.. hivi mtu unaanzaje kuendesha mashtaka ya kosa la ajabu kama hilo
.
 
Kwani yule anae muiga kuongea na kuvaa kutofauti gani na huyu anae cheka picha ya Rais? Wacheni upumbavu Watanzania kucheka picha ya Rais sio kumcheka Rais.......Labda alikuwa anamchekla fundi aliyeshona hiyo suti ya Rais......Tunarudishwa kwenye ukomonisiti...Wajinga nyie
Wajinga sisi
 
Mwambieni hapa sio Marekani. Hapa ni Bongo rais ni Mungu hata akijarisha maprofesa wanaweza kuyabeba mavi yake kwa mikoni mitupu. Hakuna Katiba. Mwambieni ajue hilo
 
Hiyo picha si ya Rais JPM.
Atakuwa amekamatwa kwa mambo mengine nadhani.
 
Hizi nchi za Africa ndo maana vyoo vya shule ni kwa ufadhili wa watu wa Marekani! Hivi kweli kwa matatizo yanayokabili nchi ikiwemo corona lakini bado mtu anazomoka na kumtia ndani mtu anaecheka vishkizo koti?
Je wale wanaomchora kidevu kireefu kumbe nao wapotargeted! Kiukweli hili lilitakiwa liwe ajabu namba 8 la dunia.
 
Kitu kinachomsumbua Idris ni views na likes za instagram, maana kwanza ile picha haichekeshi sana halafu hakuna haja ya yeye kudescribe
Utoto bado umemjaa huyu kijana
 
Acheni siasa, ile ni dhihaka na sio vinginevyo. Tupingane na Rais katika mambo ya msingi ila sio kumdhihaki.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nifah, samahani kwa swali, ni ile picha kasimama na marehemu mbunge Ndassa kavaa suti fulani kubwa katikati?.
 
Tatizo la vijana ni wavivu kusoma ile sheria ya makosa ya kimtandao. hakuna uhuru usio na mipaka, alafu this is Afrika not europe, not USA Not Canada. tuna tamaduni zetu za kuheshimu waliotuzidi umri, hasa kama umri huo unafanana na wa mzazi wako.

Kuna wakati vaa viatu vya yule unayetaka kumdhihaki.
 
Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.

Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!

Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Bibie, mngekuwa mnasema kavunja sheria gani kwa kucheka kwake, mtavuta attention ya watu kuwasoma ama kuwasikiliza.

Lakini ilivyo sasa ni maneno with no proof at all....!!
 
Tatizo la vijana ni wavivu kusoma ile sheria ya makosa ya kimtandao. hakuna uhuru usio na mipaka, alafu this is Afrika not europe, not USA Not Canada. tuna tamaduni zetu za kuheshimu waliotuzidi umri, hasa kama umri huo unafanana na wa mzazi wako.

Kuna wakati vaa viatu vya yule unayetaka kumdhihaki.

Kavunja kifungu gani cha sheria hiyo?

Kavuka mpaka gani huo wa uhuru?

Mimi naona kama vile nyote mko ktk hali ya kujikana na kutojikubali wenyewe kama mlivyo..!!

Huyo anayeonekana kwenye picha ni mtu anaitwa John Pombe Magufuli....

Suti hiyo aliyovaa ni ya kwake. Wengine watacheka isivyompendeza + pozi lake la Kichato - Chato. Wengine watampigia makofi na kumpongeza...

What's wrong with that?

Itafika wakati mtaanza hata kukimbia vivuli vyenu wenyewe na pengine hata kujaribu kuvipeleka polisi maana mtakuwa mmemkamata kila mtu...!!
 
Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.

Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!

Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Umaarufu mwingine ni wa kipumbavu kabisa, anyee debe kwanza kwa muda atie adabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh....bado tuna safari ndefu sana. Hivi kweli bado tunashughulishwa na petty issues kama hizi? Hatuna mambo ya maana zaidi kama taifa??
 
Back
Top Bottom