Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Wakili Ishabakaki: Idris Sultan anahojiwa kwa kuicheka picha ya Rais

Sijaona picha yoyote;lakini nashangaa sana hata wewe kuandika uliyoandika hapa.

Ameitemea mate, ameivunjavunja ama kuipaka matope na kuiharibu?

Kuna sheria yoyote inayozuia mtu kucheka? Na kama amecheka kwa kufurahia kuiona picha hiyo, ni kosa?

Halafu mkuu 'Nifah', unashangila kabisa mtu kuwekwa rumande, siku kadhaa, kweli huoni kasoro yoyote hapo?

Ndio, hata mimi sipendezwi rais au hata picha yake idhihakiwe. Kama kahisiwa kufanya kosa/kuvunja sheria, kumweka rumande kama adhabu yake ni kosa pia. Haya ndio tunayotakiwa kuyakataa.

"Dhihaka" ni kufanya nini?

Tunakwenda taratibu sana, lakini najua siku moja tutafika mahali na kushangaa watu walikuwa wanawekwa rumande kwa sababu za "kucheka"?

Yote uliyoyasema hapa hayana maana kama tu hujaiona picha, in fact alichokifanya Idriss ni kuunganisha picha ya Rais pamoja na video yake akiwa anacheka, niliiona punde tu alipoiweka kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Nakushauri utafute kwanza hiyo video ndipo tuuanze mjadala.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Angeachana na hizo mambo za rais akatengeneza vichekesho vingine,
Africa sio USA muelewe hilo.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Hamna haja ya kumuumiza Sana, sisi siyo sadist na Kama sikosei hili kosa lake la pili, nadhani kijana Ana kichwa kigumu bado hajaelewa tuko kipindi gani,apewe onto Kali Sana na akirudia Tena Basi adhabu Kali ya kumfunga adabu ihusike,
Mfano viboko, faini etc
Lakini picha inajieleza jamani kama gunia la mkaaa
 
Washauri wa Idriss sijui ni akina nani! Ile video tokea nilipoiona nilijua itamletea shida, kwa jinsi picha zile za ‘TBT’ za Rais zilivyoenea mitandaoni huku wengi wakifanya dhihaka haikufaa yeye kujifunga kibwebwe kuchekelea waziwazi.

Kwa hili umelivagaa Idriss, umepatikana...
Ni wazi Rais hakupendezwa na dhihaka zile, utayabeba machungu yake wewe mwenyewe!

Ukiponea hili uache kiherehere cha kurukia mambo, cheap stunts zitakuponza!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kumbe kucheka picha ya Rais ni kosa?
 
kwa hiyo Jpm hachekwi [emoji23][emoji23]

Hii nchi kuja kuendelea ni kazi sana kwa mentality hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3069]

Mkulima wa mahindi
Tuna taifa lawajinga, waoga na watumwa wa akili halijawahi tokea.
Zikitokea issues kama hizi halafu ukaanza kusoma comments za watu unaweza kulia, kwanini nimezaliwa zama hizi na nchi hii.
Hii ni 2020 akili zetu ni Paleolithic Period
 
Kwani yule anae muiga kuongea na kuvaa kutofauti gani na huyu anae cheka picha ya Rais? Wacheni upumbavu Watanzania kucheka picha ya Rais sio kumcheka Rais.......Labda alikuwa anamchekla fundi aliyeshona hiyo suti ya Rais......Tunarudishwa kwenye ukomonisiti...Wajinga nyie
Vijana wa sasa hawana staha hawajui miiko na tamaduni zetu zilizotuunganisha kuwa jamii madhubuti.....utandawazi umewalevya kiasi cha kuiga kizuzu tamaduni za nje wakijihisi ndio maendeleo kumbe ni ufala tu.
Kiongozi, wazazi, na watu waliokuzidi makamo wana heshima zao ambazo wanastahili kupewa. Kuwadhihaki tena hadharani ni utovu wa nidhamu na sio kawaida yetu.
 
Seriously! Yaani ni kosa kumcheka Rais? Tena picha ya mtu aliekuja kuwa Rais!!! Seriously?
WAtu naona wana toa mapovu mm nilibyoelewa ninkuwa Unaweza ikawa chochote kwenye hiiDunia. Ilimradi uweke nia na kuofanyia kz na zaidi nilichoona nikuwa mwonekano I wako wa zamani haureflect fauna mahusiano na future yako....Picha za namna ile ziko nyingi sana kila mtu anayo na ukitizama leo lazima ucheKE
 
Vijana wa sasa hawana staha hawajui miiko na tamaduni zetu zilizotuunganisha kuwa jamii madhubuti.....utandawazi umewalevya kiasi cha kuiga kizuzu tamaduni za nje wakijihisi ndio maendeleo kumbe ni ufala tu.
Kiongozi, wazazi, na watu waliokuzidi makamo wana heshima zao ambazo wanastahili kupewa. Kuwadhihaki tena hadharani ni utovu wa nidhamu na sio kawaida yetu.
Na usikute wala Jpm hajui chochote UNAMJUA teacher mpamire wa UGANDA
 
Hivi ni mimi tu sijaona hiyo video ya idriss au tuko wengi?

Yani sielewi chochote acha tu nisome comments sina namna.
Ipo clip iddy anacheka mpk chozi Linamtoka
Mpaka anataka kuanguka kwa kucheko
Nahs Hali Ile imeonesha kama Ana mdhiaki rais
Na kwa. Kitendo kile lazima apate dhoruba
Na akitoka sijui kama atarudia

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote uliyoyasema hapa hayana maana kama tu hujaiona picha, in fact alichokifanya Idriss ni kuunganisha picha ya Rais pamoja na video yake akiwa anacheka, niliiona punde tu alipoiweka kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Nakushauri utafute kwanza hiyo video ndipo tuuanze mjadala.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Alafu hajacheka Mara 1 ujue
Matatizo mengine ni ya kujitakia

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufanya kosa sio kosa, kurudia kosa ndio kosa.

Asiefunzwa na *****, ufunzwa na ulimwengu.

We ushaona wahusika awapendi mzaha wa aina yako kumfanyia raisi, umeponea chupu chupu mara ya kwanza unaenda unarudia tena.

Ata kama ni petty issue kwa mtazamo wa wengi (which is) lakini wenye mamlaka awapendi sasa kwanini urudie. Ni vigumu sana kumhurumia mtu kama huyo.
 
Yote uliyoyasema hapa hayana maana kama tu hujaiona picha, in fact alichokifanya Idriss ni kuunganisha picha ya Rais pamoja na video yake akiwa anacheka, niliiona punde tu alipoiweka kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Nakushauri utafute kwanza hiyo video ndipo tuuanze mjadala.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Bado sioni kosa la "kuwekwa rumande bila dhamana" kwenye hali hiyo uliyoielezea hapo; na bado nakushangaa kabisa umepatwa na mkasa gani kuyashangilia haya.
 
Back
Top Bottom