Pre GE2025 Wakili Jebra Kambole: Jinsi ilivyo ngumu kumnadi Mbowe; sasa mpitisheni muone itakavyokuwa ngumu kuwanadi wagombea 2025. Mtapita kama mnaaga maiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania Mhe Jebra Kambole amewaonya wanachadema wanaotaka Freeman Mbowe aendelee na Uenyekiti kwa miaka mingine 25 ijayo waache hayo mawazo.

Wakili Jebra Kambole amesema Jinsi ilivyongumu leo kumnadi Mbowe kwenye nafasi ya Uenyekiti hata mara baada ya kumpitisha watakutana na ugumu huo huo kwa Wananchi katika kuwanadi wagombea wote katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 chini ya MBOWE.

Jebra anasema baada ya hayo kila mtu atapita kwenye Mitandao na mitaani kama anaaga maiti yaani haangalii marambili mbili.

 
I'm
 

Attachments

  • Screenshot_20241225-215807.jpg
    186.5 KB · Views: 4
Eti kama wanaaga maiti😆😆😆
 
Hawa ni mojawapo wa wale mawakili wanaomwambia mteja wake, "hii kesi imekukalia vibaya, sijuii labda tuombe Mungu" ulitegemea angeandika nini sasa? Wakili ameandika ushabiki hakuna jipya.
 
Tutakumbuka maneno haya kama Mbowe atashinda. Tutaangalia utasimamia wapi.

Amandla...
 
Mbona muhuni aliyekosa maarifa inaonekana ni wewe!!

Huyo wakili amejenga hoja, wewe umepiga kelele! Get back to your sense if at all one time you had been a sensible creature.

Ameandika ushabiki na wala si hoja kama unavyotaka kumaanisha.

Mbowe hasafishiki, kwani amechafuliwa na nani na kwa sababu zipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…