Pre GE2025 Wakili Jebra Kambole: Jinsi ilivyo ngumu kumnadi Mbowe; sasa mpitisheni muone itakavyokuwa ngumu kuwanadi wagombea 2025. Mtapita kama mnaaga maiti

Pre GE2025 Wakili Jebra Kambole: Jinsi ilivyo ngumu kumnadi Mbowe; sasa mpitisheni muone itakavyokuwa ngumu kuwanadi wagombea 2025. Mtapita kama mnaaga maiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania Mhe Jebra Kambole amewaonya wanachadema wanaotaka Freeman Mbowe aendelee na Uenyekiti kwa miaka mingine 25 ijayo waache hayo mawazo.

Wakili Jebra Kambole amesema Jinsi ilivyongumu leo kumnadi Mbowe kwenye nafasi ya Uenyekiti hata mara baada ya kumpitisha watakutana na ugumu huo huo kwa Wananchi katika kuwanadi wagombea wote katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 chini ya MBOWE.

Jebra anasema baada ya hayo kila mtu atapita kwenye Mitandao na mitaani kama anaaga maiti yaani haangalii marambili mbili.

View attachment 3186199
Hizo ndizo lugha Sultani na nyumbu wake wanaweza kuelewa, mtaji wa 2025 wanao sijui kwanini hawataki kuutumia?!. Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
P
 
Viongozi wa dini wako kimya, hakuna hata mmoja aliyejitokeza kuzungumzia siasa za chadema kwa sasa. Basi wakae kimya hivyo hivyo mwanzo hadi mwisho wasije wakajitia kiherehere kumpongeza mbowe kwa ushindi wake wa kujiundia toka kwa wajumbe walevi
 
Mbowe anaweza na ameshaendesha chadema bila kuwa na mbunge, wala diwani. Kwa hiyo msitubabaishe
Wanaahindwa kunadi sera imebaki vitisho tu! Chadema itakosa wanachama, mara Chadema itashindwa uchaguzi ( utafikiri waliishawahi kushinda).
 
Mbona kila wakili anamnadi wakili mwenzao Lissu ?? Wee Jebra Kambole usitubabaishe kama mnataka igeuzeni TLS iwe chama cha siasa mumchukue Lissu awe mwenyekiti wenu au anzisheni chama chenu huyo Lissu awe mwenyekiti wenu full stop.Acheni kutishatisha watu mara oo sijui maiti mara ooh sijui nini !
 
Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania Mhe Jebra Kambole amewaonya wanachadema wanaotaka Freeman Mbowe aendelee na Uenyekiti kwa miaka mingine 25 ijayo waache hayo mawazo.

Wakili Jebra Kambole amesema Jinsi ilivyongumu leo kumnadi Mbowe kwenye nafasi ya Uenyekiti hata mara baada ya kumpitisha watakutana na ugumu huo huo kwa Wananchi katika kuwanadi wagombea wote katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 chini ya MBOWE.

Jebra anasema baada ya hayo kila mtu atapita kwenye Mitandao na mitaani kama anaaga maiti yaani haangalii marambili mbili.

View attachment 3186199
Hakuna kitu kama hicho! Mbowe anachukua uenyekiti bila shida yoyote!
 
Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania Mhe Jebra Kambole amewaonya wanachadema wanaotaka Freeman Mbowe aendelee na Uenyekiti kwa miaka mingine 25 ijayo waache hayo mawazo.

Wakili Jebra Kambole amesema Jinsi ilivyongumu leo kumnadi Mbowe kwenye nafasi ya Uenyekiti hata mara baada ya kumpitisha watakutana na ugumu huo huo kwa Wananchi katika kuwanadi wagombea wote katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 chini ya MBOWE.

Jebra anasema baada ya hayo kila mtu atapita kwenye Mitandao na mitaani kama anaaga maiti yaani haangalii marambili mbili.

View attachment 3186199
Huo ni ukweli mchungu, huku mtaani wanachadema na wasio wanachadema wanamwombea lissu ashinde uwenyekiti wa chadema
 
Mbona kila wakili anamnadi wakili mwenzao Lissu ?? Wee Jebra Kambole usitubabaishe kama mnataka igeuzeni TLS iwe chama cha siasa mumchukue Lissu awe mwenyekiti wenu au anzisheni chama chenu huyo Lissu awe mwenyekiti wenu full stop.Acheni kutishatisha watu mara oo sijui maiti mara ooh sijui nini !
Haahaa mkuu, simu hailambwi, subirini 2025, mpitisheni huyo mbowe...
 
Viongozi wa dini wako kimya, hakuna hata mmoja aliyejitokeza kuzungumzia siasa za chadema kwa sasa. Basi wakae kimya hivyo hivyo mwanzo hadi mwisho wasije wakajitia kiherehere kumpongeza mbowe kwa ushindi wake wa kujiundia toka kwa wajumbe walevi
😂😂
 
Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania Mhe Jebra Kambole amewaonya wanachadema wanaotaka Freeman Mbowe aendelee na Uenyekiti kwa miaka mingine 25 ijayo waache hayo mawazo.

Wakili Jebra Kambole amesema Jinsi ilivyongumu leo kumnadi Mbowe kwenye nafasi ya Uenyekiti hata mara baada ya kumpitisha watakutana na ugumu huo huo kwa Wananchi katika kuwanadi wagombea wote katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 chini ya MBOWE.

Jebra anasema baada ya hayo kila mtu atapita kwenye Mitandao na mitaani kama anaaga maiti yaani haangalii marambili mbili.

View attachment 3186199
Wakili Jebra Kambole,wewe sio mpiga kura! Jukumu la kuchagua Mwenyekiti wa Cha Chadema,waaachie wajumbe,ambao ndio wapiga kura.
Ikifikia kumchagua Rais wa TLS, nasi tutawaachia mfanye mambo yenu!
 
Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania Mhe Jebra Kambole amewaonya wanachadema wanaotaka Freeman Mbowe aendelee na Uenyekiti kwa miaka mingine 25 ijayo waache hayo mawazo.

Wakili Jebra Kambole amesema Jinsi ilivyongumu leo kumnadi Mbowe kwenye nafasi ya Uenyekiti hata mara baada ya kumpitisha watakutana na ugumu huo huo kwa Wananchi katika kuwanadi wagombea wote katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 chini ya MBOWE.

Jebra anasema baada ya hayo kila mtu atapita kwenye Mitandao na mitaani kama anaaga maiti yaani haangalii marambili mbili.

View attachment 3186199
Wasemaji wa mkopo kwa m.kiti mpo au kipindi cha kutolewa kwa mkopo kimeisha au?
 
Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania Mhe Jebra Kambole amewaonya wanachadema wanaotaka Freeman Mbowe aendelee na Uenyekiti kwa miaka mingine 25 ijayo waache hayo mawazo.

Wakili Jebra Kambole amesema Jinsi ilivyongumu leo kumnadi Mbowe kwenye nafasi ya Uenyekiti hata mara baada ya kumpitisha watakutana na ugumu huo huo kwa Wananchi katika kuwanadi wagombea wote katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 chini ya MBOWE.

Jebra anasema baada ya hayo kila mtu atapita kwenye Mitandao na mitaani kama anaaga maiti yaani haangalii marambili mbili.

View attachment 3186199
Tundu Lisu aliwahi kumnadi mgombea gani wa udiwani au ubunge na akashinda uchaguzi, zaidi ya kujinadi yeye binafsi kwa tamaa na uchu wa nafasi aliyokua ana gombea yeye?

hajawahi kuthubutu kupoteza muda wake wa kuropoka ropoka kumnadi mgombea yeyote wa chadema. So, huo anaoufanya huyo muungwana ni upotoshaji kabisa..

Infact,
wagombea uongozi wa nafasi mbalimbali chadema hujitegemea wenyewe na kamwe hawajawahi kumtegemea mwenyekiti wa chadema au mgombea urasi wa chadema.

So,
huyo muungwana aache mdomo na kubwekabweka kama alivyo Tundu Lisu tu.

Ni muhimu kufanya siasa za kujitegemea 🐒
 
Tundu Lisu aliwahi kumnadi mgombea gani wa udiwani au ubunge na akashinda uchaguzi, zaidi ya kujinadi yeye binafsi kwa tamaa na uchu wa nafasi aliyokua ana gombea yeye?

hajawahi kuthubutu kupoteza muda wake wa kuropoka ropoka kumnadi mgombea yeyote wa chadema. So, huo anaoufanya huyo muungwana ni upotoshaji kabisa..

Infact,
wagombea uongozi wa nafasi mbalimbali chadema hujitegemea wenyewe na kamwe hawajawahi kumtegemea mwenyekiti wa chadema au mgombea urasi wa chadema.

So,
huyo muungwana aache mdomo na kubwekabweka kama alivyo Tundu Lisu tu.

Ni muhimu kufanya siasa za kujitegemea 🐒
Unachakupoteza kipi wewe kwa Chadema?
 
Unachakupoteza kipi wewe kwa Chadema?
mimi ni mTanzania,
mchambuzi muandamizi wa masuala ya vyama vya siasa na demokrasia nchini, ambea namshukuru Mungu kunijalia karama ya kusema ukweli kwa ujasiri na bila kificho..

Freeman Aikaeli Mbowe atachaguliwa kwa kishindo kikuu kuiongoza chadema Taifa mpaka mwaka 2030.

Bilashaka yoyote,
atawaagiza wajumbe wote wa mkutano mkuu Taifa, ikiwa ni pamoja na wenyeviti wa kanda zote 10 za kutawala, wenyeviti wa mikoa, wilaya na kata, kujipanga na kuhakikisha wanawasaidia na kuwategemeza kwa hali na mali wagombea uongozi wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu 2025,

na sio kama anavyopotosha huyo wakili mbabaishaji 🐒
 
Back
Top Bottom